Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Cc.
Nyasubi ndani ya MBANYU
nacha
 
Sasa wewe si ulisema unaingiza Milion 100 Kwa mwaka?
Ambayo ni sawa na makadirio yafuatayo..
Ambayo ni sawa na Milion 8.4 Kwa mwezi?
Ambayo ni sawa na 1,946,000/- kwa wiki?
Ambayo ni sawa na 278,000/- kwa siku?
Ambayo ni sawa na Tsh 11,590/- kwa saa?
Ambayo ni sawa na makadirio ya Tsh 200 kwa Dakika?

Sasa kilio cha Nini Mkuu,Unatka kumchosha mtoto wa watu wakati pesa Ipo ajiri Watu wafanye kazi nyumban Mke Ni pambo!
 
Sijajua unaposema mvivu unamaanisha nini hasa

Mvivu hafanyi kazi za nyumbani?

Au unamwita mvivu kwa sababu hana kazi au shughuli yoyote ya kumuingizia kipato ni mama wa nyumbani?

Kama sababu ni ya pili mtafutie mtaji ajishughulishe

Kama ni sababu ya kwanza kaa naye myajenge umwelekeze abadilike.

Mke anahitaji kuongozwa na mume wake hii ndio maana ya MUME KUWA KICHWA CHA MKE WAKE, mwanamume hakimbii matatizo
 
Ukimrudisha kwao huwezi kukeep furaha ila utaendelea na kuwa mpweke hadi mwisho wa maisha yako.

Kama ulivyosema umekurupuka kumuo basi ukikurupuka kumuacha basi umeisha.

Wacha wengi mkuu mchezo hautaji papala.
 
Mkuu Jitahidi Kumtafutia Shughuli Ya Kufanya Ila Zungumzeni Wote Kwa Pamoja Msikilize Yeye Anatamani Kufanya Nini (Passion) Katika Utafutaji.

Ndoa Ina Changamoto Zichukulie Positive Way Kusonga Mbele Na Kujenga Familia Iliyo Bora.


Wanawake Wote Wanafanana Unaweza Kuwaza Umekosea Kumbe Huyo Ndio Perfect Match Yako Brother Sema Hujaweka Mifumo Vyema.


Angalia Wapi Inaleta Hayo Yanayosababisha Kutopenda Na Kuchukia Ndoa Yako.
 
Hukutusikiliza vijana wa kataa, ndoa pole mkuu.

Ingawa pia nimechoka kulala peke yangu, Kuna mtoto wakizigua naona kabisa anaweza nitoa kwenye kundi la kataa ndoa. Lakini bado nahofu nae ngoja niendelee kuvuta subira
Mwanaume unalalaje peke yako🤣🤣🤣🤣??
Mmh mwanaume anayekula anashiba anafanya kazi, unalala peke yako?
Hakuna namna zaidi ya punyeto.🤣🤣🤣pole Sana nenda mitaa ya kwa mama bonge
 

Pale unapooa for looks, madhara yake ndio haya
Kwenye uchumba mlikaa muda gani? Alikuwa hivi?

Umeshaongea nae kuhusu tabia yake
 
Una maana yeye ni msimamizi wa "kura"? Au ndiyo shule ulienda kusomea ujinga?
 
Mvivu kufanya nini? Hana bidii ya ndoa kunako sita kwa sita?
Mengine ni kumpangia cha kufanya halafu asipofanya kazi na kula asile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…