Mkuu wewe bado sana yaani, wanawake ni maua tu kwenye nyumba kama ulioa upate msaidizi ni kweli ulikurupuka, sisi tuliomaliza kitabu cha mapenzi na kuhitimu kitabu cha wanawake hao ndio mademu tunaowataka sema bahati tu hatunayo ya kupata mademu wa hivyo, tunaishia kupata mafeministi wanatupelekesha kishenzi hatunywi hata maji, kama unaachana nae tafadhali sana[emoji120][emoji120][emoji120] mpe namba yangu nijipakulie minyama bro wako, mimi demu ninaemtaka ni yule ambaye nikishamzagamua cha asubuhi alale weeee mpaka usingizi umuogope, akiamka anywe supu alioandaliwa na beki 3 kisha aendelee kulala, akiamka apige msosi wa nguvu kisha aendelee kulala aamke jioni akoge, anisubiri kwa mzagamuo wa usiku, hayo ndio yatakuwa maisha yake ampaka apate mimba anizalie watoto wazuriii, pisi kale na madume shababi, hiyo ndio kazi yake nitakayompatia, na nitampatia zawadi akirudi tu hospitali kujifungua