Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Mkuu wewe bado sana yaani, wanawake ni maua tu kwenye nyumba kama ulioa upate msaidizi ni kweli ulikurupuka, sisi tuliomaliza kitabu cha mapenzi na kuhitimu kitabu cha wanawake hao ndio mademu tunaowataka sema bahati tu hatunayo ya kupata mademu wa hivyo, tunaishia kupata mafeministi wanatupelekesha kishenzi hatunywi hata maji, kama unaachana nae tafadhali sana[emoji120][emoji120][emoji120] mpe namba yangu nijipakulie minyama bro wako, mimi demu ninaemtaka ni yule ambaye nikishamzagamua cha asubuhi alale weeee mpaka usingizi umuogope, akiamka anywe supu alioandaliwa na beki 3 kisha aendelee kulala, akiamka apige msosi wa nguvu kisha aendelee kulala aamke jioni akoge, anisubiri kwa mzagamuo wa usiku, hayo ndio yatakuwa maisha yake ampaka apate mimba anizalie watoto wazuriii, pisi kale na madume shababi, hiyo ndio kazi yake nitakayompatia, na nitampatia zawadi akirudi tu hospitali kujifungua
ukikua utajitambua
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu
 
Acha ujinga mwanamke hubadilishwa kutoka tabia flani mpaka vile, kwaio anza kuweka mipangilio katka ndoa yenu aache kuishi kama yupo kwao, aache ujinga nayeye aamke asubuhi awaze majukum sio kuamka kuwaza mapenz

ova

Geita moja
 
Kuna ushauri mmoja wa muhimu hapa. Nenda kamwambie huu ujumbe umeandika hapa kwa kumjulisha hisia zako juu yake.

Kwa huku naona ni kama tuko kwa kumsengenya tu. Rudi kwake useme naye, kwani kasoro hizo naona zinaweza kurekebishika tu.

Ova
Lakini b... kuna point ya msingi sana hapo hujaizingatia... hana hisia ya mapenzi tena kwa mkewe.
Katika mahusiano/ndoa, ukipoteza hisia ni point of no return. Ni ngumu sana kurudisha.

Na kupoteza huko hisia ndiko kumemfumbua macho ya kasoro hizo anazozisema juu ya mkewe.
Mapenzi upofu, eti?
 
Ukiona muda wa breakfast mwanaume unawazia ndoa yako kweli umekamatika..

Pole mkuu ila jaribu kuongea nae kama ni muelewa maana naamini, hadi unafikia kumuoa, lazma ulikuwa na strong reasons za kufanya hivyo. Kwa hiyo katika sehemu uliyofikia ambayo unaliona dhaifu moja la mtu, usijisahaulishe mengine yote uliyoyaona kwa kulinganisha na ndoa za wengine au matarajio yako

Naamini bado unaweza kuongea nae mkuu maana mti usiokupa matunda unaweza usiukate kwa sababu unakupa kimvuli.. Msemo wa zamani nilipewa [emoji16]

Pole mkuu
"mti usiokupa matunda unaweza usiukate kwa sababu unakupa kimvuli.."

This is an old notion and it doesnt apply in modern world, kazi ya mti ni kunipa matunda, nikitaka kivuli ntajenga tent. Enzi hzo kulikua hakuna tents ndo mana waliamini huu msemo!!
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Kula chuma hicho
 
Mkuu wewe bado sana yaani, wanawake ni maua tu kwenye nyumba kama ulioa upate msaidizi ni kweli ulikurupuka, sisi tuliomaliza kitabu cha mapenzi na kuhitimu kitabu cha wanawake hao ndio mademu tunaowataka sema bahati tu hatunayo ya kupata mademu wa hivyo, tunaishia kupata mafeministi wanatupelekesha kishenzi hatunywi hata maji, kama unaachana nae tafadhali sana[emoji120][emoji120][emoji120] mpe namba yangu nijipakulie minyama bro wako, mimi demu ninaemtaka ni yule ambaye nikishamzagamua cha asubuhi alale weeee mpaka usingizi umuogope, akiamka anywe supu alioandaliwa na beki 3 kisha aendelee kulala, akiamka apige msosi wa nguvu kisha aendelee kulala aamke jioni akoge, anisubiri kwa mzagamuo wa usiku, hayo ndio yatakuwa maisha yake ampaka apate mimba anizalie watoto wazuriii, pisi kale na madume shababi, hiyo ndio kazi yake nitakayompatia, na nitampatia zawadi akirudi tu hospitali kujifungua
Bado kijana mdogo. Ukiwa mtu mzima utaelewa.

Hili unaloota hata uarabuni huko wanapofuga wanawake sidhani kama ni kwa kiwango hicho.
 
Pale unapooa for looks, madhara yake ndio haya
Kwenye uchumba mlikaa muda gani? Alikuwa hivi?

Umeshaongea nae kuhusu tabia yake
Tunapowaambia kuna haja ya kufanya probation na watoto wa kike kabla hujafikia uamuzi wa kuoa nyie mnaona wakija weekend inatosha. Wanawaaigizia maisha mnajaa😂😂😂
 
Back
Top Bottom