Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume utakula kwa jasho.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
furaha hutengenezwa haiji tuWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Ulipomzoeza kwenda kula chips kuku, mishikaki na bia haukutuomba ushauri, nikusaidie kidogo fungua geti tupa nje au likipita gari la takataka wape na hilo dubwasha.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Miezi minne unalalama?. Si bajo mpo haney Moon. Subiri mzae kwanzaWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Subira yavuta heri Mkuu. Kuwa mpole kwanza, usije lia lia kama mleta uzi.Hukutusikiliza vijana wa kataa, ndoa pole mkuu.
Ingawa pia nimechoka kulala peke yangu, Kuna mtoto wakizigua naona kabisa anaweza nitoa kwenye kundi la kataa ndoa. Lakini bado nahofu nae ngoja niendelee kuvuta subira
Mnatuchanganya mlisema mnataka golikipa
Sasa hivi mnaelemewa..
Hahaha!Mnatuchanganya mlisema mnataka golikipa
Sasa hivi mnaelemewa..
Mkorofi sana rafiki.Tako analo?? kama hana basi umekula hasara mara 2
Alimfanyia interview ya Reproduction tu akatangaza ndoa.Kwani haukumfanyia interview kabla ya kuamua kumuoa?
amesha yaoga asubiri mafutaMkorofi sana rafiki.
Mimi sio mvivu na sio feministUvivu ni hulka ya mwanamke yeyote aliyekuwa hajabadilika, akiacha uvivu anakuwa femenist, wewe uko upande gani?
😂😂😂😂Alimfanyia interview ya Reproduction tu akatangaza ndoa.