Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Madhara ya kuchukua mtoto mkali ,
Chukua kwasukwasu linakua linaogopa kuachwa , kazi kwenda mbele.
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Pole sana.

Sababu ipi, au sababu zipo zilikupelekea kuoa? Na je, matarajio yako yalikuwa nini baada ya ndoa?

Kwa mtazamo wangu, hali unayoipitia ni ya kawaida sana.
Kabla ya ndoa, kila mmoja wenu ali fake. Hata wewe ulifake kwake kama unamvumilia mapungufu yake. Hata kama huku fake, huenda ulijipa moyo kwamba ukishamuoa atabadilika.

Pambana mkuu,
Hakunaga mkamilifu kwenye safari ya maisha ya ndoa. Ukimuacha huyo, utampata anayekesha macho, pia atakukera.
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Sijui uvivu una maanisha nn,ila kwangu mie kama mwanamke ni msafi,ananipenda na muaminifu (hagongwi nje),anazaa na anaangalia watoto vzr,mengine ya kutafuta pesa unapambana nayo ndo maana ya kuitwa mwanaume bablai.
 
"mti usiokupa matunda unaweza usiukate kwa sababu unakupa kimvuli.."

This is an old notion and it doesnt apply in modern world, kazi ya mti ni kunipa matunda, nikitaka kivuli ntajenga tent. Enzi hzo kulikua hakuna tents ndo mana waliamini huu msemo!!
😁😁😁 mkuu issue sio msemo ila ni maana nyuma yake ni sawa yule asemae, chumvi itakufaa wakati wa chakula ila sukari itakufaa kwa wakati wa chai. Ikimaanisha, kisichokufaa kwa matumizi flani kina sehemu ya matumizi mengine katika maisha yako.
 
Sijajua unaposema mvivu unamaanisha nini hasa

Mvivu hafanyi kazi za nyumbani?

Au unamwita mvivu kwa sababu hana kazi au shughuli yoyote ya kumuingizia kipato ni mama wa nyumbani?

Kama sababu ni ya pili mtafutie mtaji ajishughulishe

Kama ni sababu ya kwanza kaa naye myajenge umwelekeze abadilike.

Mke anahitaji kuongozwa na mume wake hii ndio maana ya MUME KUWA KICHWA CHA MKE WAKE, mwanamume hakimbii matatizo

Sio kila mtu anaweza kufanya biashara.

Shughuli nyingi zinahitaji utayari wa mtu mwenyewe.
Yaani ile hali ya kuwa na passion/ambitious

Kuna watu unawaona kabisa ukimpa Hela ya Mtaji wa kuanza biashara ni Kwamba umeamua hiyo Hela ukaizike.

Hata Shule kulipia ada kuna mwanafunzi unamuona kabisa kabisa ada unayolipa ni kama unaitupa tu.
 
Sio kila mtu anaweza kufanya biashara.

Shughuli nyingi zinahitaji utayari wa mtu mwenyewe.
Yaani ile hali ya kuwa na passion/ambitious

Kuna watu unawaona kabisa ukimpa Hela ya Mtaji wa kuanza biashara ni Kwamba umeamua hiyo Hela ukaizike.

Hata Shule kulipia ada kuna mwanafunzi unamuona kabisa kabisa ada unayolipa ni kama unaitupa tu.
Basi kama sababu ni hiyo asilalamike
 
Hukutusikiliza vijana wa kataa, ndoa pole mkuu.

Ingawa pia nimechoka kulala peke yangu, Kuna mtoto wakizigua naona kabisa anaweza nitoa kwenye kundi la kataa ndoa. Lakini bado nahofu nae ngoja niendelee kuvuta subira
Umemuuliza yeye anataka kufanya nn kwenye maisha yake ? Umempa mtaji amekataa kufanya biashara??? Au ulimtafutia kazi kakataa kufanya ?? Au hujampenda tu
 
Ulikuja bila Gadi. Sasa unagawiwa wastani kwa idadi..

Ulimpendea tako?
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Dah! Sasa itakuwaje?
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Pale unapoa kwa kigezo cha kupenda matako 😀😀
 
Uzi ndio nauona leo....inamaana mpaka unaona that means uliona vigezo vyote ....sasa imekuaje hata kama ni kukurupuka ?? Kuna vitu bhana acha tu viendelee kua fundisho sasa unakuja huku mambo ni kama yameharibika tu hayo sasa
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Maisha y ndoa rasmi yanaanza nyege zinapoisha😀😀
 
Back
Top Bottom