Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo na uzee wote huo unatka kusema hujaoa?!Nitavumilia kuzishinda changamoto.Sitakuwa legelege kama mleta uzi[emoji120][emoji120][emoji120]
Pitia hio utajifunza kituZa jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu
Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia Siku mzima
Akinisemesha najibu mbovu tu,kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao.
NB mahusiano yana almost 2yrs
ThanksPitia hio utajifunza kituView attachment 1799697
Hyu single faza anazengua tuNchi ngumu hii
Namvizia vizia mzee mwenzangu Sky Eclat akiachika niingie mimi🏃🏃🏃Kwahiyo na uzee wote huo unatka kusema hujaoa?!
Kila mtu anashughulika na stress kwa namna yake. Yawezekana kabisa stress za maandalizi zinawasumbua na kila mmoja anaona mwenzake ndio tatizo.Za jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu..