Mo shyner
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 464
- 1,114
Kwani wewe una mvuto..?Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe una mvuto..?Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
OkayPicha zinapigwa ki-ujanja sana
Awe na mvuto kwani amesema anataka kukuoa?.Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
Wakakupime.Acheni media ziripoti habari zake. Ndio mjue watu wanataka maendeleo yao zaidi sio vitu kama ndege
Mwaka huu inaonekana hawana hela za kuajiri askari polisi maana ccp hakuna kuruti paleKwa huu ukosefu wa ajira, wanaweza ku-recruit askali zaidi ya million kwa siku. Maana shida, ubaguzi, chuki zimezidi kwenye huu utawala.
Kwani alikuambia anataka kuoa mke wa pili?Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
Hahahaaa hii ni hatari kubwa sana
Bibi mwenyewe uso umemkomaa kama ngozi ya tako.....huo wa CCM ana mvuto gani?Kisarawe hoyeeeeeee!!Kwani alikuambia anataka kuoa mke wa pili?
Pambana na hali yako we bibi
Hahaa hii nchi hiiAfande Sirro alitisha sana...eti wanasikia yupo ila hawamuoni!🙂
Yaani hali imebadilika sana ..ccm hawaamini kabisaLissu kabadilisha kabisa upepo wa kisiasa wa nchi yetu..!!! Mbeba maono kaingia !!
Hahaa safi sanaKwani alikuambia anataka kuoa mke wa pili?
Pambana na hali yako we bibi
Dikteta?Uchwara tumbo halitulii walahi!!
Sema nyie ccm usitujumuishe sisi wananchi Basi.....Sasa umesema mama,na ili Huyo lopolopo ashinde urais anahitaji watu mamilioni,
Mwacheni aendeleee kutembeza homa juani,hakuna atakachoambulia,watanzania sio mafara kama yeye
Dogo inaonekana una genye sanaPicha yenyewe ya kuunganishanisha. Upuuzi wa kiwango cha juu sana huu. Kama hukubaliki hukubaliki tu. Kwanini kutumia nguvu zote hizo?