- Thread starter
- #61
Alikutongoza.Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikutongoza.Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
We ng'ombe jana ulisema hapati hata 10%ya kura leo unasema hapati 20%........Kesho utasemaje??Lisu hapati hata asilimia 20 ya kura! Mbona mnajisumbua sana?
Pulling....Hivi mvuto kwa kiingereza ni nini?
Aende tu mazima maana anatuharibia nchi na watu wakeDaaahh hii habari ikimfikia meko s
Lazima a-faint
Wewe acha kupanic! Lisu akipata walau kura asilimia 20 nahama nchiWe ng'ombe jana ulisema hapati hata 10%ya kura leo unasema hapati 20%........Kesho utasemaje??
Maccm yana akili mbovu wn
Tutaelewana tu[emoji123][emoji123]
kama hana mvuto mbona mlitaka kumuua?!.Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
Haisaidii,huyu akipata 05% ya kura zote nahama nchiKura yangu kashaichukua Lissu!
Heri wenye macho na masikio. TAL ubarikiwe.Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwasalimia mamia ya wananchi katika Mji wa Shelui, Jimbo la Iramba, leo Jumanne Agosti 11, 2020 waliosimama barabarani na kumzuia kwa muda wakimtaka asimame na kuwahutubia kwanza kabla hajaendelea na safari.
View attachment 1534035
Mumeo Patrobas Katambi hajambo?Lissu hana mvuto. Anajisumbua tu
...for hellMAGUFULI4LIFE.
Jana mvuto Kama wewe!
Kwenye kampeni zenu , wananchi wanakuja kuwaangalia, WASAFI, KONDE GENG, ALIKIBA. na kusikiliza sex story za Bwana yulE.Haisaidii,huyu akipata 05% ya kura zote nahama nchi
Haa! huyu ananikumbusha kwamba huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono
Lisu is a game changer in tanzania politicsLissu kabadilisha kabisa upepo wa kisiasa wa nchi yetu..!!! Mbeba maono kaingia !!