Shukrani shukraniMashallah wallah nimefarijika Sana na Maneno yako mazuri
Umeonyesha ukomavu mkubwa Sana na kujitambua na kubwa hakuna sababu ya Kuwa wanyonge Kwa maneno ya Wavulana wasio jitambua.
Kongole kwako Sana Tu .
Mbaya zaidi, utanipa hadhi ya juu mbususu yake. Cha kusikitisha unasikia jamaa Fulani mme wa mtu anakula. Ukiwa Kama kijan hujaoa inauma sana. Jamaa lenyewe ukilicheki limempenda kwa kua wewe unamtumza, anapendeza vizuri. Ukiliachia majukumu linalala mbele anabaki hajui afanye niniS/mother’s wengi/wote wameshaharibika mfumo wao wa ufikili
Hi ni kutokana na jamii inavyowaona/mfano ni hapa jukwaani pia kila siku tunawaongelea na kuwasema, japo sababu kubwa ni wao wenyewe!!
Hivyo wao ndio sababu ya haya yote
Utamchukua leo mtaanza maisha
Utajitoa na kumpenda kama mkeo..
Anasuka na kupendeza...
Kwa bahati mbaya nowadays kuna mitandao ya kijamii inatuunganisha!!
Anaweka picha zake huko ,jamaa anamuona anamtamani
Anaanza kumtongoza[emoji3]
Kwasababu wanakiunganishi(mtoto wao) inakua ngumu kumblock
Atakataa leo,kesho na keshokutwa....mtondogoo atakuja na gia ya mtoto
My brother umekwisha!!!
Na kwasababu hiyo inatuwia vigumu sana kuwachukua
Je hapa nan tatizo
Yeye anajua yupo na mimi iweje tena aende huko?
Asante mkuu Kwa kufungua codeS/mother’s wengi/wote wameshaharibika mfumo wao wa ufikili
Hi ni kutokana na jamii inavyowaona/mfano ni hapa jukwaani pia kila siku tunawaongelea na kuwasema, japo sababu kubwa ni wao wenyewe!!
Hivyo wao ndio sababu ya haya yote
Utamchukua leo mtaanza maisha
Utajitoa na kumpenda kama mkeo..
Anasuka na kupendeza...
Kwa bahati mbaya nowadays kuna mitandao ya kijamii inatuunganisha!!
Anaweka picha zake huko ,jamaa anamuona anamtamani
Anaanza kumtongoza[emoji3]
Kwasababu wanakiunganishi(mtoto wao) inakua ngumu kumblock
Atakataa leo,kesho na keshokutwa....mtondogoo atakuja na gia ya mtoto
My brother umekwisha!!!
Na kwasababu hiyo inatuwia vigumu sana kuwachukua
Je hapa nan tatizo
Yeye anajua yupo na mimi iweje tena aende huko?
Mkuu mimi ninavyo jua Single mother ni yule mwanamke aliye zalishwa bila kuolewa, Kwaiyo ina maana mwanamke aliye pewa talaka na mume naye anaitwa single mother na siyo mjane ?Mwanamke Bora aolewe then Apate taraka yake kihalali then aanze kuwa single mother , kuliko Mtu kupewa mimba na kuzalia kwao hiyo haifai kabisa
Hii mkuu nayo ni code mpyaMkuu mimi ninavyo jua Single mother ni yule mwanamke aliye zalishwa bila kuolewa, Kwaiyo ina maana mwanamke aliye pewa talaka na mume naye anaitwa single mother na siyo mjane ?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mjane Ni Mwanamke aliyefiwa na mme wakeMkuu mimi ninavyo jua Single mother ni yule mwanamke aliye zalishwa bila kuolewa, Kwaiyo ina maana mwanamke aliye pewa talaka na mume naye anaitwa single mother na siyo mjane ?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona wa Zanzibar wao mwanamke aliyeolewa bahati mbaya akapewa talaka( akaachwa) wao wana muhita mjane, na mwanamke aliyefiwa na mume we wanamuita kizuka.Mjane Ni Mwanamke aliyefiwa na mme wake
Nimecheka sana aisee wewe jamaa kiboko...Wana msemo mwingine et KUOA SINGO MAZA NI SAWA NA KUNUNUA GAZETI JIONI
Mkuu tuwe WA kweli je mwanamke bikra ndio uhakika kuwa atakuwa Msafi?
Mjane- Ni mwanamke aliyefiwa na mumeweMkuu mbona wa Zanzibar wao mwanamke aliyeolewa bahati mbaya akapewa talaka( akaachwa) wao wana muhita mjane, na mwanamke aliyefiwa na mume we wanamuita kizuka.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Noma sana!Wana msemo mwingine et KUOA SINGO MAZA NI SAWA NA KUNUNUA GAZETI JIONI
Na hizo changamoto wanajitakia. Hata ukiwabeba kiasi gan, ipo siko watakata hiyo mbeleko, kuonesha na wao wapo. Just kuonesha tu watambulike na wao. Logic behind, unakuta haipo. Ni just kaamua tu.Ila tuache utani washkaji wanawake wanapitia changamoto nyingi sana
Wewe Ni mzanzibari? MkuuMkuu mbona wa Zanzibar wao mwanamke aliyeolewa bahati mbaya akapewa talaka( akaachwa) wao wana muhita mjane, na mwanamke aliyefiwa na mume we wanamuita kizuka.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Chief hapa tunaongopeana, hata kwa upande wa dini yangu ya kikristo bado unatuongopea.Asante kwa maneno yako na maoni yako
Wewe ni Kati ya Wavulana ambao nimewaongelea hapo,huwa hamkosi sababu maadam Tu mhalalishe uvulana wenu.
Hakuna kitu cha kijasiri kama kumpenda mwanamke mwenye mtoto,upo tayar kulea mtoto wake na kumfanya wako,hakika hayo ni mapenzi makubwa Sana na inaonyesha jinsi gani mwanaume huyo ni husband material,anaweza kushow love Kwa familia yake,ndio maana nikasema Wanaume waishi Maisha marefu coz hawa ndio wanafanya jamii iwe katika uangalizi wao.
wavulana hata mkimpa mimba binti Tu mnakimbia,je ufaza mtauweza wapi?
kongole Kwa wanaume wote!