Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
- Thread starter
- #121
Utakuta mtoto anafanya juu chini kuwaunganisha Baba na mama.Utakaza na baada ya miaka mingi dogo anafanya harakati za kumtatuta Baba yake na wanatengeneza bond nzuri tu, sasa sijui utakunywa simu ufe..
Wakati Baba yake kaoa na mama kaolewa tayari.