Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Punguza kujieleza sanaUnanifokea sasa una shida gani nijilazimishe kitu sina umri sio kigezo chakuwa single mother so siwezi utajua mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kujieleza sanaUnanifokea sasa una shida gani nijilazimishe kitu sina umri sio kigezo chakuwa single mother so siwezi utajua mwenyewe
😂 😂 😂Yupi huyoo njoo kulee uniambie mdogo wangu
Siwezi kukwambia wanaume tuliumbwa na hii Adam's apple ili tutunze siriYupi huyoo njoo kulee uniambie mdogo wangu
NIjielezee wewe nani unanipa nini?? HAKUNAPunguza kujieleza sana
Mwenye elimu na alisome na kulielewa neno hili.Sawa unajua kujifariji sio kosa kikatiba na kibiblia,
Thamani ya mwanamke iko katika uchi wake, tofauti na mwanaume.
Kila mtu anafanya matusi kwa sana tu, sema ukizaa mtoto kabla ya ndoa ni doa!
Ni ishara ya;
-kutoka kwenye malezi mabaya ya wazazi/walezi wako
-utukutu/jeuri/kiburi cha kushindwa kusikiliza wazazi/walezi wako
-kufanya mapenzi holela na watu hovyo, na ndio maana hawajakuoa
Na hivyo;
-Watu wa kwanza kukupinga ni wa nyumbani kwako, wazazi/walezi wanakua na uchungu na wewe. hata mifano mibaya unatolewa wewe.yale makosa ya kawaida, kwako itaonekana makubwa zaidi.
-Watu wa pili ni wenzi watarajiwa; kutunza mtoto wa mwingine ni changamoto za kujitakia. usisahau kuna watu wana toka koo zenye roho na tabia za kurithi, zinaweza kuwa mbaya au nzuri.
-mtu wa tatu ni wewe, hata wewe huwezi kufurahi kijana wako wa kiume akuletee mke mwenye watoto!.(Ebu jifanye kukataa)
Kwamba vyema, muhimu na lazima kukwepa kuzaa mtoto/watoto kabla ya muda muafaka, kwepa kuzaa na kulea mwenyewe.
Kuna magumu mengi watu wanayapitia na hawasemi! Mitandaoni watu wanaonyesha furaha tu, ya moyoni wanayajua wao.
Hili la single maza liko kwenye kila familia, hii sio fasheni jamani Hivyo hatuwasemi kwa ubaya.
Mjumbe tumvute Ms R ajongeee jukwaani😂 😂 😂
Uko poa lakini? Maana huu uzi umeandika kwa kujilazimisha na huzuni sana
Kuna rika lako hapa hajawahi kupata mimba, p2 kanywa mara 1Kwa umri wangu binti wa rika langu akinambia Sina mtoto napata wasi wasi ila akinambia anae naamini haraka
Nisamehe sana Msela Roja 🤜🤛Asante sana😂
Kama umeamua mwenyewe kuolewa na mwehu, kosa la nani?Kuolewa sio taji, umewahi kusikia single mother waliondani ya ndoa? Kila kitu wewe. Utatamani ulee tu peke yako ujue moja🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️
au sioKwa umri wangu binti wa rika langu akinambia Sina mtoto napata wasi wasi ila akinambia anae naamini haraka
Kwani we unajua Rika langu?Kuna rika lako hapa hajawahi kupata mimba, p2 kanywa mara 1
Bora dada umesema sasa wote wakiolewa mashangazi tutayatoa wapi. endelea kuzaa nje ivo ivoUnajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.
Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .
Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .
MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .
Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Sijui😁au sio
Umetumwa na ccm kuhusu uchaguziUnajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.
Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .
Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .
MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .
Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
😂 😂 😂Kuna rika lako hapa hajawahi kupata mimba, p2 kanywa mara 1
ukijisamehe mwenyewe inatosha mkuu,,nilikusalute sana ila umeni drop sanaNisamehe sana Msela Roja 🤜🤛
mtuache basi wajameni mbon hatuli kwenu😂😂Sijui😁
ukijisamehe mwenyewe inatosha mkuu,,nilikusalute sana ila umeni drop sana
Kwani ushawahi niona naattack single mumamaz?mtuache basi wajameni mbon hatuli kwenu😂😂