Single mothers hawajali maneno yenu

Single mothers hawajali maneno yenu

Yupi huyoo njoo kulee uniambie mdogo wangu
Siwezi kukwambia wanaume tuliumbwa na hii Adam's apple ili tutunze siri
dbedb7_c73218bbd3c245da8780535640c25108~mv2.jpg
 
Sawa unajua kujifariji sio kosa kikatiba na kibiblia,
Thamani ya mwanamke iko katika uchi wake, tofauti na mwanaume.
Kila mtu anafanya matusi kwa sana tu, sema ukizaa mtoto kabla ya ndoa ni doa!

Ni ishara ya;
-kutoka kwenye malezi mabaya ya wazazi/walezi wako
-utukutu/jeuri/kiburi cha kushindwa kusikiliza wazazi/walezi wako
-kufanya mapenzi holela na watu hovyo, na ndio maana hawajakuoa

Na hivyo;
-Watu wa kwanza kukupinga ni wa nyumbani kwako, wazazi/walezi wanakua na uchungu na wewe. hata mifano mibaya unatolewa wewe.yale makosa ya kawaida, kwako itaonekana makubwa zaidi.
-Watu wa pili ni wenzi watarajiwa; kutunza mtoto wa mwingine ni changamoto za kujitakia. usisahau kuna watu wana toka koo zenye roho na tabia za kurithi, zinaweza kuwa mbaya au nzuri.
-mtu wa tatu ni wewe, hata wewe huwezi kufurahi kijana wako wa kiume akuletee mke mwenye watoto!.(Ebu jifanye kukataa)

Kwamba vyema, muhimu na lazima kukwepa kuzaa mtoto/watoto kabla ya muda muafaka, kwepa kuzaa na kulea mwenyewe.
Kuna magumu mengi watu wanayapitia na hawasemi! Mitandaoni watu wanaonyesha furaha tu, ya moyoni wanayajua wao.
Hili la single maza liko kwenye kila familia, hii sio fasheni jamani Hivyo hatuwasemi kwa ubaya.
Mwenye elimu na alisome na kulielewa neno hili.
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Bora dada umesema sasa wote wakiolewa mashangazi tutayatoa wapi. endelea kuzaa nje ivo ivo
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Umetumwa na ccm kuhusu uchaguzi
FB_IMG_1721410555941.jpg
 
Back
Top Bottom