Single mothers hawajali maneno yenu

Single mothers hawajali maneno yenu

Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Una watoto wangapi?
 
Kila mtoto na babaake au wote ulizalishwa na baba mmoja?
Unazani mimi ni store za kuhifadhi takataka za watu tu . Shame on u . The fact kuwa mnawasema vibaya mshenzi wewe . Ni vizuri.
 
Sema tu tumeshayatimba hakuna namna ila hakuna kazi ngumu kama kulea mtoto pekee yako bwana ,alaf kuzaa kila mtoto na baba yake sio picha nzuri
 
Sema tu tumeshayatimba hakuna namna ila hakuna kazi ngumu kama kulea mtoto pekee yako bwana ,alaf kuzaa kila mtoto na baba yake sio picha nzuri
Mmeshawaharibu akili wao wanachojua nikuendelea kuwapata watoto kwa njia hiyo hiyo . Naanaona nisawa mnadhambi. Mnawazalisha na hamuwaoi mbwa nyie halafu mnakuja kujiongelesha uzwazwa
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Kama chukuwachakomapema kweli! Tena mna rais, ambaye naye ni singo Maza! Anapeta tu!
Walahi wanaume tutakoma!
 
Sijaelew ulitak kuleta ujumbe gani na utufundishe nn
 
Tatizo la single mother wamejawa na stress kutwa kubadilisha wanaume na kunywa pombe hovyo hata malezi ya watoto hawana,
wakijitaidi sana wanakimbilia kwenye makanisa ya kilokole kinafki huku matendo yao ni ya kinafki!!
Single mother ukipata namba yake asubuhi jioni unakula mzigo unavyotaka!
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Pole
 
Nyie hamji na maneno mazuri ndio maana haipendezi mnakuja na kauli tata.


OK jitahidi uwe na EI itakusaidia maana kuita watu Mbwa haipendezi

Don't get older only but grow mentally

Kwa style hii utashindwa Kuwa na Good relationship na WATU so be positive

From ashes will arise again
From single mom into legally marriage is possible
 
Tatizo la single mother wamejawa na stress kutwa kubadilisha wanaume na kunywa pombe hovyo hata malezi ya watoto hawana,
wakijitaidi sana wanakimbilia kwenye makanisa ya kilokole kinafki huku matendo yao ni ya kinafki!!
Single mother ukipata namba yake asubuhi jioni unakula mzigo unavyotaka!
Nko na single mother hapa anajitahid kunionyesha kuw ameenyooka lakn akil inakataa kwakuw jamaa ake bado ajafa

Ila single mother wanajua kututeka yaan unapew tulizo hadi unajisahau unakuw unashtuka mara 2/3 nioe au niache
 
OK jitahidi uwe na EI itakusaidia maana kuita watu Mbwa haipendezi

Don't get older only but grow mentally

Kwa style hii utashindwa Kuwa na Good relationship na WATU so be positive

From ashes will arise again
From single mom into legally marriage is possible
🤣🤣🤣🤣🤣 mnashida sana humu mnastress sana EL msomi nini mtu wa mtu sina watoto naye because hajanioa nimpe k vizuri tuzae bt anawatoto nje ya urafiki
 
Nko na single mother hapa anajitahid kunionyesha kuw ameenyooka lakn akil inakataa kwakuw jamaa ake bado ajafa

Ila single mother wanajua kututeka yaan unapew tulizo hadi unajisahau unakuw unashtuka mara 2/3 nioe au niache
Jichanganye kuishi naye ndiyo utajuwa kwanini alizalishwa akaachwa, na single mother wengi ni wabinafsi balaa, yaan mnaweza mkaishi ndani ila naye anamipango yake ya siri! Hata akupe mapenzi vipi jua tu ni malaya!
 
Jichanganye kuishi naye ndiyo utajuwa kwanini alizalishwa akaachwa, na single mother wengi ni wabinafsi balaa, yaan mnaweza mkaishi ndani ila naye anamipango yake ya siri! Hata akupe mapenzi vipi jua tu ni malaya!
Atakiona
 
Vita ni kushinda , ukishindwa pandisha kitambaa cheupe.
 
Back
Top Bottom