Single mothers nawaibia siri nyingine

Single mothers nawaibia siri nyingine

Wengi wao wana inferior visirani vyao wanawaletea wapenzi wao wapya
Halafu jambo dogo tu utakuta machozi hayoooo.

Ma ex wangu waliniacha kwa mbwembwe na vifijo,nikakaa kimya kijana wa watu.Aisee wameenda huko wamezalishwa halafu no future no matunzo,saa hii wanahangaikia tu na kanitafuta kila saa.Ninachowafanya Mungu anisamehe
 
Halafu jambo dogo tu utakuta machozi hayoooo.

Ma ex wangu waliniacha kwa mbwembwe na vifijo,nikakaa kimya kijana wa watu.Aisee wameenda huko wamezalishwa halafu no future no matunzo,saa hii wanahangaikia tu na kanitafuta kila saa.Ninachowafanya Mungu anisamehe
Vipi unawatusua na kuwabutua na kuwapalanga mwisho wa lami
 
Hakuna mahusiano magumu kama ya single mother na kijana ambae hana mtoto hata mmoja
Single mother huwa wanampima mtu kwa mambo madogo madogo na ya kipuuzi saana (ni wajinga)

Nilikuwa na single mother wa kwanza huyu alikuwa ananirundikia majukumu ya mtoto wake kila siku nilichokuwa kinanikera ni namna ya uombaji wake mfano
"Kama unanipenda mimi na mwanangu tufanyie kitu fulani..." hilo neno KAMA ndio lilikuwa linanikera

Kingine kila siku tukionana alikuwa lazima aniombe hela za matunzo ya mtoto

Huyo end of the day nikaja kumfumania kamvusha rafiki yangu ( naombeni mnisamehe na mimi pia alikuwa ananivushia pale pale kwao namkaza )

Single mother wa pili
Huyu yeye alikuwa na degree kabisa ila alikuwa hajielewi hata kidogo, kwanza kabisa mtoto alikuwa hamjui baba halisi wa mtoto

Huyu hakuwai kumkataa mwanaume yoyote yule baada ya kujifungua

Alichokuwa ananikera ni tabia yake ya kila nikimuhitaji lazima atoe sababu ambayo lazima amuhusishe mtoto kama "mtoto hajalala" au "mtoto anaumwa"

Alikuwa hataki niseme mtoto wako alikuwa anataka niseme mtoto wangu au mtoto wetu anasahau ya kuwa mtoto akifanya jambo la kijinga wanaume huwa tunasema "mama fulani njoo uone mtoto wako" ila mtoto akifanya jambo jema wanaume tunatumia neno "mwanangu"

End of the day aliniacha kisa kauli hizo (Mnisamehe pia kwa kuachwa na single mother)

Single mother wa 3
Huyu alikuwa na miaka 28 alafu ana watoto 3 mimi aliniambia ana mtoto mmoja nikawa nikimuemelea vitu vya mtoto mmoja vya mwezi vinaisha ndani ya wiki moja
Huyu baada ya drama nyingi ni visirani most alikuwa ananiona kama muhuni tu aliamua kurudi kwa mmoja ya watu aliozaa nao

Single mother wa 4 huyu alikuwa kicheche alafu alikuwa kila akipata bwana lazima kwao wajue bad enough mama yake alikuwa anapenda kupewa na wakwe zake sasa akawa ananilinganisha mm na mabwana waliopita wa mwanae
Hapa palinishinda sababu ilitakiwa mimi mtu mmoja nibebe mazuri yote ya walionitangulia yani ilitakiwa nipeleke ukweni mkaa,unga,mchele,mafuta na vitu vingine ili tu mama mkwe anikubali

Huyu nilimuacha sababu alikuwa ana side na mama yake nihudumie familia nzima kisa wengine waliweza nikatoka nduki

Single wa 5 huyu nilimtafutia kazi kulekule kazini akaenda kumpa rafiki yangu mbususu (huyu rafiki yangu hakujua kama huyo binti ni mpenzi wangu

Nimeingia kwenye mahusiano na single mother 11 ni mmoja tu ndio alikuwa perfectly huyo yeye Tulishindana kisa dini tu na kama nisingerudiana na mpenzi wangu wa siku nyingi DEAR KATUNGE basi ningejuta kumpoteza yule single mother japo alienda kuolewa na taira

Note
Sina uandishi mzuri
Ushauri wangu kijana ambae hauna mtoto wala matatizo yoyote usioe single mother na kwenu single mother msikate tamaa tafuteni hela muishi na Viben ten au muolewe na wagane
naunga hoja mkono.
 
Halafu jambo dogo tu utakuta machozi hayoooo.

Ma ex wangu waliniacha kwa mbwembwe na vifijo,nikakaa kimya kijana wa watu.Aisee wameenda huko wamezalishwa halafu no future no matunzo,saa hii wanahangaikia tu na kanitafuta kila saa.Ninachowafanya Mungu anisamehe
SOMETIME huwa wanadai matumizi kwa nguvu mpaka unajiuliza au huyu mtoto ni wangu
Akimuona baba wa mtoto ana demu mwingine anakununua wewe [emoji26][emoji26]
 
Umefanya yote sawa lakini hapo kwenye kuhudumia mtoto asiye wako umebugi.

Tulishasema kikaoni kuwa singomaza akaoneshe kaburi la baba wa mtoto kwanza na barua ya usajiri wa vifo ndo uhudumie..
Some time tunatumia UTU tu lakini ndio hivyo wanatuona mafala
 
Umenichekesha hapa " ningejuta kumpoteza yule single mother japo alienda kuolewa na taira" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna mahusiano magumu kama ya single mother na kijana ambae hana mtoto hata mmoja
Single mother huwa wanampima mtu kwa mambo madogo madogo na ya kipuuzi saana (ni wajinga)

Nilikuwa na single mother wa kwanza huyu alikuwa ananirundikia majukumu ya mtoto wake kila siku nilichokuwa kinanikera ni namna ya uombaji wake mfano
"Kama unanipenda mimi na mwanangu tufanyie kitu fulani..." hilo neno KAMA ndio lilikuwa linanikera

Kingine kila siku tukionana alikuwa lazima aniombe hela za matunzo ya mtoto

Huyo end of the day nikaja kumfumania kamvusha rafiki yangu ( naombeni mnisamehe na mimi pia alikuwa ananivushia pale pale kwao namkaza )

Single mother wa pili
Huyu yeye alikuwa na degree kabisa ila alikuwa hajielewi hata kidogo, kwanza kabisa mtoto alikuwa hamjui baba halisi wa mtoto

Huyu hakuwai kumkataa mwanaume yoyote yule baada ya kujifungua

Alichokuwa ananikera ni tabia yake ya kila nikimuhitaji lazima atoe sababu ambayo lazima amuhusishe mtoto kama "mtoto hajalala" au "mtoto anaumwa"

Alikuwa hataki niseme mtoto wako alikuwa anataka niseme mtoto wangu au mtoto wetu anasahau ya kuwa mtoto akifanya jambo la kijinga wanaume huwa tunasema "mama fulani njoo uone mtoto wako" ila mtoto akifanya jambo jema wanaume tunatumia neno "mwanangu"

End of the day aliniacha kisa kauli hizo (Mnisamehe pia kwa kuachwa na single mother)

Single mother wa 3
Huyu alikuwa na miaka 28 alafu ana watoto 3 mimi aliniambia ana mtoto mmoja nikawa nikimuemelea vitu vya mtoto mmoja vya mwezi vinaisha ndani ya wiki moja
Huyu baada ya drama nyingi ni visirani most alikuwa ananiona kama muhuni tu aliamua kurudi kwa mmoja ya watu aliozaa nao

Single mother wa 4 huyu alikuwa kicheche alafu alikuwa kila akipata bwana lazima kwao wajue bad enough mama yake alikuwa anapenda kupewa na wakwe zake sasa akawa ananilinganisha mm na mabwana waliopita wa mwanae
Hapa palinishinda sababu ilitakiwa mimi mtu mmoja nibebe mazuri yote ya walionitangulia yani ilitakiwa nipeleke ukweni mkaa,unga,mchele,mafuta na vitu vingine ili tu mama mkwe anikubali

Huyu nilimuacha sababu alikuwa ana side na mama yake nihudumie familia nzima kisa wengine waliweza nikatoka nduki

Single wa 5 huyu nilimtafutia kazi kulekule kazini akaenda kumpa rafiki yangu mbususu (huyu rafiki yangu hakujua kama huyo binti ni mpenzi wangu

Nimeingia kwenye mahusiano na single mother 11 ni mmoja tu ndio alikuwa perfectly huyo yeye Tulishindana kisa dini tu na kama nisingerudiana na mpenzi wangu wa siku nyingi DEAR KATUNGE basi ningejuta kumpoteza yule single mother japo alienda kuolewa na taira

Note
Sina uandishi mzuri
Ushauri wangu kijana ambae hauna mtoto wala matatizo yoyote usioe single mother na kwenu single mother msikate tamaa tafuteni hela muishi na Viben ten au muolewe na wagane
Kukurukakara kimaisha nikatembea na singo Maza watatu kwa mahusiano ya Muda mrefu, mmoja akiwa mjane... nilikuja kujiwekea kanuni ya kutotembea tena na mjane... kutokukuwa na mahusiano ya kudumu na singo Maza,,,,, Neva na eva again!
 
Back
Top Bottom