Katunge World Wide
JF-Expert Member
- Apr 27, 2022
- 235
- 327
Wengi wao wana inferior visirani vyao wanawaletea wapenzi wao wapyaHio ndio sura halisi ya ma singo Maza hapa tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wao wana inferior visirani vyao wanawaletea wapenzi wao wapyaHio ndio sura halisi ya ma singo Maza hapa tz
[emoji23]Hii nchi uhuru umezidi sana
Huwa anatoa siri za mke wake pia ni mlevi standard one pia ni super mario mmoja matata saanakwa nini unamuita mwenzio tahira??
Ni katika harakati za kutafuta mke mwema tuNimecheka sana Ila jombaa Una nyota ya single maza
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Halafu jambo dogo tu utakuta machozi hayoooo.Wengi wao wana inferior visirani vyao wanawaletea wapenzi wao wapya
Vipi unawatusua na kuwabutua na kuwapalanga mwisho wa lamiHalafu jambo dogo tu utakuta machozi hayoooo.
Ma ex wangu waliniacha kwa mbwembwe na vifijo,nikakaa kimya kijana wa watu.Aisee wameenda huko wamezalishwa halafu no future no matunzo,saa hii wanahangaikia tu na kanitafuta kila saa.Ninachowafanya Mungu anisamehe
naunga hoja mkono.Hakuna mahusiano magumu kama ya single mother na kijana ambae hana mtoto hata mmoja
Single mother huwa wanampima mtu kwa mambo madogo madogo na ya kipuuzi saana (ni wajinga)
Nilikuwa na single mother wa kwanza huyu alikuwa ananirundikia majukumu ya mtoto wake kila siku nilichokuwa kinanikera ni namna ya uombaji wake mfano
"Kama unanipenda mimi na mwanangu tufanyie kitu fulani..." hilo neno KAMA ndio lilikuwa linanikera
Kingine kila siku tukionana alikuwa lazima aniombe hela za matunzo ya mtoto
Huyo end of the day nikaja kumfumania kamvusha rafiki yangu ( naombeni mnisamehe na mimi pia alikuwa ananivushia pale pale kwao namkaza )
Single mother wa pili
Huyu yeye alikuwa na degree kabisa ila alikuwa hajielewi hata kidogo, kwanza kabisa mtoto alikuwa hamjui baba halisi wa mtoto
Huyu hakuwai kumkataa mwanaume yoyote yule baada ya kujifungua
Alichokuwa ananikera ni tabia yake ya kila nikimuhitaji lazima atoe sababu ambayo lazima amuhusishe mtoto kama "mtoto hajalala" au "mtoto anaumwa"
Alikuwa hataki niseme mtoto wako alikuwa anataka niseme mtoto wangu au mtoto wetu anasahau ya kuwa mtoto akifanya jambo la kijinga wanaume huwa tunasema "mama fulani njoo uone mtoto wako" ila mtoto akifanya jambo jema wanaume tunatumia neno "mwanangu"
End of the day aliniacha kisa kauli hizo (Mnisamehe pia kwa kuachwa na single mother)
Single mother wa 3
Huyu alikuwa na miaka 28 alafu ana watoto 3 mimi aliniambia ana mtoto mmoja nikawa nikimuemelea vitu vya mtoto mmoja vya mwezi vinaisha ndani ya wiki moja
Huyu baada ya drama nyingi ni visirani most alikuwa ananiona kama muhuni tu aliamua kurudi kwa mmoja ya watu aliozaa nao
Single mother wa 4 huyu alikuwa kicheche alafu alikuwa kila akipata bwana lazima kwao wajue bad enough mama yake alikuwa anapenda kupewa na wakwe zake sasa akawa ananilinganisha mm na mabwana waliopita wa mwanae
Hapa palinishinda sababu ilitakiwa mimi mtu mmoja nibebe mazuri yote ya walionitangulia yani ilitakiwa nipeleke ukweni mkaa,unga,mchele,mafuta na vitu vingine ili tu mama mkwe anikubali
Huyu nilimuacha sababu alikuwa ana side na mama yake nihudumie familia nzima kisa wengine waliweza nikatoka nduki
Single wa 5 huyu nilimtafutia kazi kulekule kazini akaenda kumpa rafiki yangu mbususu (huyu rafiki yangu hakujua kama huyo binti ni mpenzi wangu
Nimeingia kwenye mahusiano na single mother 11 ni mmoja tu ndio alikuwa perfectly huyo yeye Tulishindana kisa dini tu na kama nisingerudiana na mpenzi wangu wa siku nyingi DEAR KATUNGE basi ningejuta kumpoteza yule single mother japo alienda kuolewa na taira
Note
Sina uandishi mzuri
Ushauri wangu kijana ambae hauna mtoto wala matatizo yoyote usioe single mother na kwenu single mother msikate tamaa tafuteni hela muishi na Viben ten au muolewe na wagane
No... Tumwite SINGLE MOTHER GEGEDER!
SOMETIME huwa wanadai matumizi kwa nguvu mpaka unajiuliza au huyu mtoto ni wanguHalafu jambo dogo tu utakuta machozi hayoooo.
Ma ex wangu waliniacha kwa mbwembwe na vifijo,nikakaa kimya kijana wa watu.Aisee wameenda huko wamezalishwa halafu no future no matunzo,saa hii wanahangaikia tu na kanitafuta kila saa.Ninachowafanya Mungu anisamehe
Some time tunatumia UTU tu lakini ndio hivyo wanatuona mafalaUmefanya yote sawa lakini hapo kwenye kuhudumia mtoto asiye wako umebugi.
Tulishasema kikaoni kuwa singomaza akaoneshe kaburi la baba wa mtoto kwanza na barua ya usajiri wa vifo ndo uhudumie..
Nielekeze namna ya kubadili jina nifanye hivyoNo... Tumwite SINGLE MOTHER GEGEDER!
Nimeshapoa ndugu now nina furaha na amani kwa dear KATUNGEPole
Wengi wao ni pisi kaliWe una mzuka sana na ma single mother
Kukurukakara kimaisha nikatembea na singo Maza watatu kwa mahusiano ya Muda mrefu, mmoja akiwa mjane... nilikuja kujiwekea kanuni ya kutotembea tena na mjane... kutokukuwa na mahusiano ya kudumu na singo Maza,,,,, Neva na eva again!Hakuna mahusiano magumu kama ya single mother na kijana ambae hana mtoto hata mmoja
Single mother huwa wanampima mtu kwa mambo madogo madogo na ya kipuuzi saana (ni wajinga)
Nilikuwa na single mother wa kwanza huyu alikuwa ananirundikia majukumu ya mtoto wake kila siku nilichokuwa kinanikera ni namna ya uombaji wake mfano
"Kama unanipenda mimi na mwanangu tufanyie kitu fulani..." hilo neno KAMA ndio lilikuwa linanikera
Kingine kila siku tukionana alikuwa lazima aniombe hela za matunzo ya mtoto
Huyo end of the day nikaja kumfumania kamvusha rafiki yangu ( naombeni mnisamehe na mimi pia alikuwa ananivushia pale pale kwao namkaza )
Single mother wa pili
Huyu yeye alikuwa na degree kabisa ila alikuwa hajielewi hata kidogo, kwanza kabisa mtoto alikuwa hamjui baba halisi wa mtoto
Huyu hakuwai kumkataa mwanaume yoyote yule baada ya kujifungua
Alichokuwa ananikera ni tabia yake ya kila nikimuhitaji lazima atoe sababu ambayo lazima amuhusishe mtoto kama "mtoto hajalala" au "mtoto anaumwa"
Alikuwa hataki niseme mtoto wako alikuwa anataka niseme mtoto wangu au mtoto wetu anasahau ya kuwa mtoto akifanya jambo la kijinga wanaume huwa tunasema "mama fulani njoo uone mtoto wako" ila mtoto akifanya jambo jema wanaume tunatumia neno "mwanangu"
End of the day aliniacha kisa kauli hizo (Mnisamehe pia kwa kuachwa na single mother)
Single mother wa 3
Huyu alikuwa na miaka 28 alafu ana watoto 3 mimi aliniambia ana mtoto mmoja nikawa nikimuemelea vitu vya mtoto mmoja vya mwezi vinaisha ndani ya wiki moja
Huyu baada ya drama nyingi ni visirani most alikuwa ananiona kama muhuni tu aliamua kurudi kwa mmoja ya watu aliozaa nao
Single mother wa 4 huyu alikuwa kicheche alafu alikuwa kila akipata bwana lazima kwao wajue bad enough mama yake alikuwa anapenda kupewa na wakwe zake sasa akawa ananilinganisha mm na mabwana waliopita wa mwanae
Hapa palinishinda sababu ilitakiwa mimi mtu mmoja nibebe mazuri yote ya walionitangulia yani ilitakiwa nipeleke ukweni mkaa,unga,mchele,mafuta na vitu vingine ili tu mama mkwe anikubali
Huyu nilimuacha sababu alikuwa ana side na mama yake nihudumie familia nzima kisa wengine waliweza nikatoka nduki
Single wa 5 huyu nilimtafutia kazi kulekule kazini akaenda kumpa rafiki yangu mbususu (huyu rafiki yangu hakujua kama huyo binti ni mpenzi wangu
Nimeingia kwenye mahusiano na single mother 11 ni mmoja tu ndio alikuwa perfectly huyo yeye Tulishindana kisa dini tu na kama nisingerudiana na mpenzi wangu wa siku nyingi DEAR KATUNGE basi ningejuta kumpoteza yule single mother japo alienda kuolewa na taira
Note
Sina uandishi mzuri
Ushauri wangu kijana ambae hauna mtoto wala matatizo yoyote usioe single mother na kwenu single mother msikate tamaa tafuteni hela muishi na Viben ten au muolewe na wagane