Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Unamaanisha mwanamke akitofautiana na mwanaume mmoja basi hafai kwa wanaume wote!!!Kwaiyo huo uwezo mzazi mwenzake hakuuoana mpaka wewe ndio ukauone [emoji23][emoji23][emoji23] wengi baada ya kuachwa huwa wanaigiza tu tabia then ukimuweka ndani unaona sura halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuhalisia mambo hayapo hivyo; usipoelewana naye wewe kuna ambao watamuelewa. Tunaita chemistry.
Usilazimishe wote wasielewane naye.