Single mothers nawaibia siri nyingine

Kwaiyo huo uwezo mzazi mwenzake hakuuoana mpaka wewe ndio ukauone [emoji23][emoji23][emoji23] wengi baada ya kuachwa huwa wanaigiza tu tabia then ukimuweka ndani unaona sura halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha mwanamke akitofautiana na mwanaume mmoja basi hafai kwa wanaume wote!!!

Kiuhalisia mambo hayapo hivyo; usipoelewana naye wewe kuna ambao watamuelewa. Tunaita chemistry.

Usilazimishe wote wasielewane naye.
 
Kwaiyo huo uwezo mzazi mwenzake hakuuoana mpaka wewe ndio ukauone [emoji23][emoji23][emoji23] wengi baada ya kuachwa huwa wanaigiza tu tabia then ukimuweka ndani unaona sura halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Na walioolewa na kuachwa je? Kuna ndugu yangu anataka kuoa mwanamke mwenye watoto wa 3 kaachana na mumewe. Familia inampinga sana lakini kakomaa tu. Huyo dada alikuwa anasubiria mgao wa mali mahakamani lakini kapigwa chini ,mali kaambiwa ni za watoto.
 
Kwanini aachwe ?
Mwanaume anaweza kumuacha mwanamke mwenye akili na anaejiheshimu?

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine ni wengi huwa wanalenga kuvunja ndoa za watu.

Yani akiwa mchepuko wako atakuroga Mwanaume ili mfarakane na mkeo hadi muachane ili yeye umpe kipaombele.
 
Kauli kama "kipimo cha uanaume",, "ukomavu wa akili", "ukomavu wa hisia" na takataka nyingine zinazofanana na hizo..

Hizi ndio zinafanya vijana waishie kufa kwa stress wakiaminishwa wanachofanya ndio uanaume...

Nini faida kufa na stress,,nani atakupongeza kisa umekuwa mkomavu wa akili,,, Yote hayo yafaa nini ilihali nafsi yako haina amani...

Ukioa Singo Maza na ukaona maisha yanaenda fresh, hapo it's Ok , Enjoy the Life.. and vice versa

Mwanaume zingatia sana furaha yako,, nasisitiza hili.... Kama single maza anakupa hio furaha.. Continue...

Mwisho niseme haipendezi kuimba huku unatafuna karanga, kujaribu sumu kwa kuilamba au kujaribu makali ya panga kwa shingo...
 
Nilidhani wanaonewa au wanasingiziwa lakini ukweli ni kwamba %kubwa single moms hawana upendo wa dhati, nina uhakika na hilo. Wanatafuta msaada wa malezi ya watoto tu hakuna lingine

Hi comment iwe punned pale juu


Nanukuu kauli ya yule dada( sitaman hata kuishi nae na simpendi) ila now wanakaa wote[emoji28]
 

Naunga mkono hoja!
 
Kama kuna mtu alikua anakwepa nyuzi hizi ni mimi!
Kwakweli ni tofauti
Na ukitaka kujua radha ya ngoma ingia ucheze
Nliwah kujisemea mwenyewe kua technic ya kumuingiza nyumban nmpe mimba afu iende taarifa na sio wazo kama namtaka
Yan nlishaamua hivyo
Ila baadae nlianza kuona mambo kama hayako okey
Ukitaka kuwala hawa wadada wenye watoto basi mpende tu mwanae
Utaamua wewe tu
Wengi wao hawana upendo hata 100! Yalinikuta ndugu zangu
Bora nionekane nna roho mbaya ila single mother’s hapana staki
 
Hata mimi napenda singo maza. Tunatiana huku tunapeana akili za maisha. Sio vitoto kinataka kunichatisha 24/7
 
Wanaume:::::Wanawake ambao awajaolewa watafute mabwana waolewe............ Wanawake:::::::si lazima tuolewe, si lazima tuolewe
 
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Umenena kweli. Single mother wengi msimamo umewashinda. Wapo very cheap sijui tatizo ni nini.?
 
Mwaka sasa bado uzi unatrend tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…