Single mothers nawaibia siri nyingine

Hivi wasio singo maza wameisha duniani? Kwanini ujitwishe gunia la misukari bila sababu ya msingi. Kafie mbali na ushauri wa kisimbe
Kwani hao singo maza hizo mimba walijipa wenyewe? Mbona mnawanyanyapaa hivyo jamani?
 
Mmmmh hujanishawishi bado kununua shamba lenye kesi mahakamani. Labda kama ni mjane hapo sawa lkn lijitu lipo na lina piga simu hata usiku ukiwa na mkeo hapana kabisa.
 
Single mother ni hatari mkuu Hana Imani na wanaume kama alishatendwa analazimika kukupenda ilimradi umsaidie anachokitaka ili kama ana watoto basi wapate huduma malengo yake yakitimia tu umekuwa!

Wanawake wamejaa kibao why ujiingize kwenye matatizo ? Yaani matatizo tumeyasabisha wanaume wenyewe kwa kuondoka kwenye misingi waliyotuwekea babu zetu mwanamke kitendo tu cha kutokuwa bikra kilimfanya akose sifa ya kuolewa au aitie aibu familia yake sembuse huyu aliyuekwisha kunyanduliwa mpaka basi na kuzaa watoto ?

Single maza muoe walifiwa na waume zao( wajane) tofauti na hapo mnaoa wake za watu na ni zinaa maana katika ukristo hakuna kuachana mpaka kifo kiwatenganishe!
 
Lini utatuandikia na sisi ma single father?
 
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombΨΉ kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Sio kwamba unaongea tu hapa! Akikubananisha vizuri kwenye engo nzuri utachomoa kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke Ni mtu anaepitia mengi Sana katika Safari yake ya mahusianao na mapenzi.
Siwezi kumlaumu moja kwa moja au kumhukumu, kumkejeli, Wala kumcheka.
Kwani sababu zinazopelekea kupata matokeo hayo ya kuwa single mother ni nyingi Sana.
Nyingine zinakuwa Ni nje ya uweza wake kabisa, ila kwa kuwa yeye Ni mwanamke anakua hana namna ya kufanya ili kukubali matokeo yanayoandamana naaumivu mengi.

Mi nawatakieni wingi wa uvumilivu, nawatakieni moyo wake kujifunza kutokana na makosa na ikiwezekana kule kukosea kwako kukawe sababu ya wewe kuinuka kwa viwango vingine.

Lakini pia jaribuni sana kutaka nasaha kutoka kwa waliowatangulieni, yaani mama na Bibi zenu, haswa Bibi maana ye amepitia mengi na yamemjenga hivyo hutakosa la kuondoka nalo.

Kubwa kuliko yote takeni Sana hekima za kimungu kila wakati.
 
Mwanaume yeyote anayemtaliki mkewe na kumwoa mke mwingine anazini. Na mwanaume anayeoa mwanamke aliyetalikiwa anazini pia.”
 
SABABU ZANGU NI HIZI.

1. Single girls wengi ni Mama wa Marehemu,Wengi hawana watoto ila wameua watoto wengi kwa abortion.Kama ameweza kuua kiumbe chake tumboni sembuse wewe Mtoto wa mama mkwe.Kuthibitisha hili angalia uliposoma chuo ni wanafunzi wangapi walioana kichuo na kuishi kama mume na mke ,Ni mimba ngapi walizitoa alafu baada ya chuo kila mmoja akashika njia yake.

2. Single girls wengi ni mabingwa wa kutumia P2.Yaani vizazi vyao vimejaa P2.Ukimuoa huyo kuja kupata nae Mtoto ni lazima MWAMPOSA afunge miezi 9 bila kula wala kunywa.Kizazi kilishalegea kama nyavu za ndondo Cup.Bed rest ni January to September.

3. Single girls asilimia kubwa wana wanaume wengi sana.Yaani wapigaji ni wengi.Ukioa single girl utachapiwa na wengi sana.Wote waliowahi kumpa mimba na kuzichomoa wataendelea kujipigia.

4. Asilimia kubwa ya single girls ni ma-slay queen.Hakuna lolote analojua kwenye maisha.Wao bata j3-j3.

NAWASHAURI VIJANA OENI MA SINGLE MOTHER. WANAJIELEWA KATIKA MAISHA NA UTAFUTAJI.
 

Sina mengi ya kuongea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…