Sintosahau nilivyosota miaka miwili bila kukutana kimapenzi na mama mtoto wangu

Siyo makosa yako, mwanamme yeyote anayetunzwa na mwanamke huwa hana akili, umaskini wa akili kipato mpaka morals.
Ni laana kutunzwa kila kitu na ke.

nb: hakuna haja ya kumalizia.
Nilimuachia Mke wangu nyumba... Kuna Uzi niliweka humu.... Watoto nikawa nasomesha na nyumba nimemuachia ... Nikaanza upya.... Acheni tu...makosa yake sikupeleka kwetu Wala kwao.... Ila tu nikahama nyumbani.... Ndio alijua Nini maana ya "Mume" na "Bwana"... Tumezaaa watoto wa4 ..Mkubwa wa kiume wengine wa kike.... Nasomesha wote shule za kulipia .... Ni mwezi wa nane Sasa .... Anaomba tukapime ......nshamwambia naishi Kwa ajili ya watoto.... Sio wewe... Najitafuta Bado maana hata kama sio wa kwangu.... Maana alichonifanyia .. nyieeeee.... Bado najitafuta.... Uzuri watoto wote nimewalea tangu wanazaliwa.... Ila wanawake Mungu anawaona.... Hawa watoto naamini ni wangu hata Kwa nililo mkuta anafanya.... Ameshajaribu kujiua mara mbili tunamuwahi...
 
sio kosa ila ulikuwa ni wakati wa shetani kutawala maisha yangu ndo maana mamb yalikua sio mambo

Watu wanatukaana, as if hawacheat au hawatamani nje ya mahusiano yao,

Halafu hawakemei wewe kufanya mapenzi na mtu ambaye sio mkeo,

Yajayo yanafurahisha.
 
NILIKUBALI KUACHIKA NA NIKAANZA MAISHA MAPYA CHUO KIKUU....

Mnamo mwaka 2016 nilianza rasmi masomo yangu ya chuo kikuu katika moja ya vyuo vikuu kongwe sana hapa Tanzania.
Hapo unaweza jiuliza kwanini nilimaliza elimu yangu ya kidato cha sita 2015 na nikaingia chuo kikuu 2016?. Mimi ni mmoja kati ya wale vijana waliobahatika kupata ufadhili wa serikali ya Tanzania kwa ajiri ya kupata masomo yangu nje ya nchi,(SCHOLARSHIP). Tulikua kama wanafunzi 43 ambapo kulikua na mpango unaitwa (TAMOSE- TANZANIA AND MOZAMBIQUE STUDENTS EXCHANGE) hapo wanafunzi wa Tanzania walipata nafasi ya kwenda kusomea Msumbiji na wale wa Msumbiji walikuja Tanzania.
Tulitakiwa kuondoka mwezi wa kwanza mwaka 2016 na hatua zote za kusafiri zilikua ukingoni kwani tulipata hati ya kusafiria ya kimatiafa na pia tulikua tumeshachoma chanjo ya homa ya manjano( YELLOW FEVER VACCINATION) kilichokua kimebaki ilikua ni VISA tu.
Wiki mbili kabla ya safari likitoka tangazo kwenye ukurasa wa TCU ukitoa taarifa kua hiyo safari imeahirishwa kutokana na sababu zilizokua nje ya wao.
Hivyo ikanibidi nikae benchi la ufundi kusubiria udahili wa chuo kikuu mwaka wa masomo 2016.

Kiukweli kati ya watu ambao hawakuwafaidi wadada wa chuo kikuu mimi ni mmoja wao kwani nilikua bado naugulia maumivu ya kuachwa ndani kwa ndani (appetite ya mapenzi ilizima kabisa). Muda mwingi niliutumia kusoma, mazoezi( gym) na pia nilikua napendelea sana kuogoela kila mwisho wa wiki.
Yule mpenzi wangu akawa ananitafuta sana mara kwa mara ananililia hali na mimi nilikua nampa pesa (boom ikitoka tu) bila hiyana ila nikiwa na minadhiri ya kua labda tutayaweka sawa mambo ili niendelee kua nae. Kumbe nilikua najidanganya tu kwani kila nilipokua ninamtumia pesa wala alikua hasemi asante wala kunitaarifu kua pesa ameipata. Ukimpigia simu atakujibu nimeipata na hatakua na muda wa kukutafuta wala kupokea simu zako tena, (hili jambo lilizidisha uchungu ndani ya moyo wangu).

NILIZISHINDA HISIA ZANGU NA NIKACHUKUA MAAMUZI MAGUMU.

Nilikua na tabia ya kusoma sana vitabu (fictitious & motivational books) na vilichangia sana kuiweka saikilojia yangu katika hali ya utulivu na kuamua kufanya maamuzi magumu, hasa kitabu cha Dale Carnegie,"HOW TO STOP WORRYING AND START LIVING".

Yule bi mdada kila alipokua akinipigiaga simu moyo wangu ulikua unalipuka yaani nitaipokea kwa bashasha zote na nitamsikiliza kwa umakini sana. Ilitokea siku moja nilishituka kutoka usingizini usiku wa manane, nilikaa kitandani nikawaza kwa kina sana juu ya muskatabali wa maisha yangu kuhusu huyu mwanamke kwani nikishamblembeleza sana lakini nilikua naambulia maumivu tu. Nikapiga moyo konde na nikajiapiza kua sintomtafuta tena na hata akinitiafuta sintompokelea simu zake.
Baada ya kama siku mbili hivi alinipigia simu nilikua maktaba nikajisemea nikitoka tu nitamtafuta. Nilipomaliza nilichokua nakifanya maktaba nikatoa simu nimpigie ila kuna taa nyekundu ya tahadhari kichwani mwangu ikanambia wewe unataka kufanya nini sasa?? Nilienda kwenye namba zilizopigwa na hazikupokelewa nikaifuta no yake ijapokua moyoni nilikua najisikia vibaya sana. Nilijipa moyo hili nalo litapita tu.
Zilipita karibu wiki tatu simpokelei simu wala sikumjibu meseji zake(kwani nilikua nazifuta pasipo kuzisoma alichoandika) na alipokua akitumia namba mpya nikigundua ni yeye tu naikata simu sintoipokea tena hiyo namba.
Ilitokea siku moja alitumia namba ngeni akaniambia kua yuko na shida kubwa sana na anahitaji msaada wangu wa hali na mali kwani anaamini mimi tu ndo mtu pekee nitakaye mtatulia hiyo shida yangu. Nilipoiona hiyo meseji moyo wangu ukajaa huruma na nikaamua kumpigia simu. Tuliongea mengi sna na aliniomba msamaha kwa yale aliyokua ananifanyia hivo tukapanga kesho yake aje ninapoishi kwa mazungumzo zaid(hostel). Hiyo siku sikulala kabisa yaani ni kama petroli imesogezwa karibu na moto mwenzenu nikajikuta naanza kumuwaza tena.
Kesho yake alikuja kwenye mida ya saa nne asubuhi na alikua amependeza kinoma hadi. Ile tumefika ndani tu haikuchukua muda mwenzenu nikapewa tunda la roho. Nilikua nimemmisi sana mpenzi wangu yaan ilikua kama kichaa kapewa rungu aisee niliupakua mzigo hadi roho yangu iliposema inatosha sasa.

Baada ya Derby ya Kariakoo akaenda kuoga na alichukua muda mrefu kutoka bafuni ikabidi nimfuate. Nilimkuta amesimama tu maji yanamwagika mwilini kutoka kwenye bomba la mvua, nikamsogolea na kumuuliza,"nini tatizo mama angu??" Hakunijbu akanifuata akanikumbatia na kuanza kunipa denda. Gari yangu huaga ipo kwenye gia tu yaan alivyonipa juice ya Muscat nikaanza kula tunda tena humo humo bafuni.

Baadae tukarudi kitandani ndo akanambia kilichokfanya akae bafuni muda wote huo,"Prince naomba unisamehe sana kwa kutokusiliza pindi ulipokua unaniomba msamaha kwani uliniumiza sana moyo wangu hadi nikahisi kuwachukia wanaume wote duniani", akaanza kulia tena!!! Baadae akaendelea..."nilipoachana na na wewe nilitembea na wanume wengi sana nikijaribu kutafuta faraja ya moyo wangu hadi ikafikia hatua nikabeba mimba,ilipofika miez 3 ikanibidi niitoe hiyo mimba kwani sikuona haja ya kuzaa na mwanaume nisiyempenda wakati nilikua na wewe zaid ya mwaka na sikubeba ujauzito(tulikua tunatumia kalenda kuhesabu mzunguko wa hedhi). Na hiyo mimba nimeitoa wiki iliyopita tu kwahiyo nimefanya mapenzi kukuridhisha tu ila mi viungo vyangu vya uzazi bado havijapona kabisa".
Dah!! Asikwambie mtu niliumia mnoo ila sikua na jinsi hivyo nikamwambia kua upendo wangu unazidi madhaifu na changamoto zako zote hivo mimi ni wako daima na nitakupenda milele, karibu tena katika maisha yangu. Akanikumbatia kwa nguvu sana huku machozi yakimtoka...

NITAENDELEA NDUGU ZANGU...🚶🏽‍♂️"MAPENZI YANA NGUVU SANA NA ANAYEPENDA HAONI"
 
"Niliwaburuza mbaya mbovu sio kina mama sio mabint yaan nilisaga kama Crusher linavyosaga mawe "

CHAI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…