Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kumbe ni kale kawivu ka kike!Hivi na wewe hujui roho za ki-maskini? Unadhani mtu ukiwa na uwezo kidogo katikatika ya maskini halafu ukiteleza watasikitika? Tena nchi yenyewe Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni kale kawivu ka kike!Hivi na wewe hujui roho za ki-maskini? Unadhani mtu ukiwa na uwezo kidogo katikatika ya maskini halafu ukiteleza watasikitika? Tena nchi yenyewe Tanzania?
Samahani mkuu! Naomba radhi.kwahyo mimi Kahaba mkuu....
sema nn tuendelee kunywa bia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Inategemea ntu na ntu! kUna jamaa mmoja alinikuta kiwanja chenye watoto wakali anacheka sana na kuniambia niongozane naye akanionyeshe chenye watoto wakali. Kwenda nikakuta ni madungayembe tu.Si kwel...kunA madem wa sura za pombe tu pale..nyuso zmeivaa..sjui unanielewa lakin??
Eduard na Davis ni jina moja?nway tuyaache tu.Si unaona ni jina moja mkuu?
never mind mkuu....usiku mwemaSamahani mkuu! Naomba radhi.
Siwezi wasemea aisee maana wao sijui wana issue gani. Na sitapenda funguka sana juu ya issue yetu ila ni jambo linaloeleweka.. ni 3rd part ameongezeka ndo analeta changamoto. Kama anamboost jamaa. Hata sikafurahia. Janga la moto tuko experienced nalo sitacheka. Na maybe si yeye davie amekosana na wanaofurahia maybe ni watendaji wake so siwezi semea neno.Ila majority ni kama wamefurahi jamaa kuanguka sababu wana grudges nae. Sijajua hili unalizungumziaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikutana nao asubuhi make up imefagiwa na jasho la usiku kucha unaweza kuhisi ni wachezaji wa mpira wa Njombe mji. [emoji16][emoji16]
Maisha haya nyie! Tuacheni tu.
Ameinbest sanaAsee! Kumbe alitupia hela pale?
Mh...! Fedha haina kabila, fedha haina dini, fedha haina baba, fedha haina mama, fedha haina mke/mume. Kwenye mambo ya fedha usimwamini mtu yoyote na wkati wowote. Pigia mstari haya maneno. Mimi nilidhulimiwa na mnyasa (watu wanasema ni watu wapole) na alinikana kwa macho makavu kabisa bila kutetereka.Kwa uchache tu inaonesha ana asili ya udhulumati kama kawaida ya wachaga wengi kurusha hela za wenzao!
Nani ameongea mambo ya uhasibu? Niliposema b ulielewa nini?si kweli. mama yako ni mhasibu pale? si kweli kabisa
hahahahahahahaahahah kmmmmmkDada zangu Makahaba waliochunda nao wamelewa balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki mimi ngoja nikalale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahahahahahaahahah kmmmmmk
kwahyo mimi Kahaba mkuu....
sema nn tuendelee kunywa bia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Weka bana acha uoga watu tunamuuzia vipuli Elon Musk tukibandika figa si utazimia kabisaAnayeendesha biashara ni eduard david urio... namhurimia sana. Hela aliyoweka hapo si mchezo. Nikiitaja watu watasema naweka fix. Ila ni pesa ndefu. Najiuliza mbona ni juzi tu marekebisho yalifanyika. Sitaki kufikiria sana kama ni mambo ya bima aisee.
Sema mmoja akienda tofauti mbeleni tatizo ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu mchezo unakula na meneja wa bima husika