Sio kila mtu ni muandishi mzuri wa thread..

Daughterrr kazi kwako.....


Ila kuna jambo moja limesahaulika na umuhimu hapa ambalo ni UNA MATAKO? Bila ya hivyo hata kukuona hatutaki
 
Kwa hiyo kwa hesabu za haraka haraka ulitaka kutufahamisha kijanja kwamba kuna wana JF wanne wanakujua unafananaje ukiwa uch!.

Natania???
 
Jamani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…mimi nilidhani ntapata mume humu, kama mambo yenyewe ndo haya πŸ™ŒπŸΌπŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ongea mapema. leta vigezo. watu waanze audition/ interview. CV utapokea PM😁
 
Hao wanaokuja kwako washakuona mnaendana so endelea tu kutafunwa mpk uchake
 
Ngoja waje
 
Haya ndo maisha ya kizazi "Z"
 
Pole naona unapishana na watu sahihi binafsi sipo ivo
 
Hii pia nshakutana nayo aisee ni kama unalazimishwa vile yaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…