Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Mkuu wewe huogopi?
Unawajua hawa jamaa!!

Sasa hivi tu nyumba inafuka Moshi
 
dini nyingi tumeingizwa mkenge
tunafuata tu mkumbo
mwarabu akiwaambia watunchinje wanachinja tu
mtaliano akiwambia wanaume waoane wanaoana
Mwarabu hajawaambia waamshane saa 10 usiku. Waulize waliofika Dubai. Azana ni saa 12 kasoro robo alfajiri. Sijui hii ya saa 10 usiku ikoje. Sielewi nchi zingine za kiarabu wanaazini muda gani. Sas ikiwa ni kufuata muda wa azana wa Mecca mbona uingereza itaanza sa 3 au 4 usiku na marekani labda saa 7 ya usiku huko kwao? Ndio sababu ulaya wamekataza azana na kengele za kanisani usiku.
 
Fanya ya kwako ya wengine waachiwe wao.Kwanini unaamka mapema..???
Usiwachoshe watu hama sehemu hiyo...Period
 
Nonsense!!! Hata baiskeli huna unatupanga tu biiiich...
Yani wazibe njia Ili iweje...watch your rotten mouth!
 
ZILE SIO KELELE ISIPOKUWA ULE NI WITO, AMBAO HUTOLEWA KILA WAKATI WA SWALA KWA AJILI YA WAUMINI KWENDA KUABUDU, TAMBUA KWAMBA UISLAMU NI MFUMO HII SIO DINI YA MAIGIZO.
Ule ni ukumbusho ambaye anaupuuza au kuubeza ni kwa akili yake mbaya.Siku ya siku hatakuwa na jibu kwanini hakufanya ibada.
Kama ni muislamu jee hakusikia wito na kuenda kuabudu.Kama ni dini nyengine jee uliposikia kila siku hukujiuliza maswali na kuzingatia >
 
Makafiri mna taabu, mmebakia kuua walemavu wa ngozi ili mtoe kafara kwa miungu yenu mitatu
 
Wakristo ni jamii wenye chuki mno,
 
Wewe sio muislam,toa ujinga wako
 
Sina ubaya na adhana...
Ubaya upo kwa wale mashehe wanaotangaza muda dakika kwa dakika.. kuanzia saa 10 alfajiri,

Amkeni! Jiandaeni kuswali,
Amka! Amka!
Hivi sasa ni saa 10 dakika kumi,
Amkeni...

Hii ndio adhana?
Sio adhana bali makalio yako
 
Sahihi
 
Sina ubaya na adhana...
Ubaya upo kwa wale mashehe wanaotangaza muda dakika kwa dakika.. kuanzia saa 10 alfajiri,

Amkeni! Jiandaeni kuswali,
Amka! Amka!
Hivi sasa ni saa 10 dakika kumi,
Amkeni...

Hii ndio adhana?
Mambo ya ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…