Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Katika hili almaruhum Mohamed Said una maoni gani?
 
Hizi dini zote zipigwe marufuku Tanzania 🇹🇿
 
Muumini lazma anajua ratiba za Sara yake sio lazma aamshwe kama analazimishwa.anakuwa anaenda for show off.
Ilakama ni siku ya ibada ijumaa au mahubiri sauti kwenda mbali sioni shida.nakuja upande wa imani nyingine kuna vizehebu kupiga kelele usku na mapambio kwanini msiweke sound proof.ila j2 tunazpokea hzo kelele kiubinadamu.
 
Niliwahi kuishi Tanga Pangani, kule ndo hizi Adhana utazichukia yaani.
 
Wewe ndio unafuatilia hizo sauti , mimi hata uwashe mashine ya kusaga nalala chumba hicho hicho .
Chief nimecheka sana na umenikumbusha kuna siku nimemsindikiza mshikaji wangu dj wa kwenye madisko vumbi huwezi nililala usingizi wa maana hatua tatu kutoka kwenye spika iliyokuwa inapiga sound nzito hatari
 
Mkuu katika uislamu hamna siasa kali wewe sio muislamu, hayo maneno unayo tumia hutumika na makafiri adui wa uislamu.
Babu yangu muislam,Bibi yangu muislam,Baba & Mama waislam wewe ni nani wa kunikatalia uislam wangu ?.

Kelele za adhana hazifuti uislam wangu.
 
Babu yangu muislam,Bibi yangu muislam,Baba & Mama waislam wewe ni nani wa kunikatalia uislam wangu ?.

Kelele za adhana hazifuti uislam wangu.
Ila wewe umesha kua murtadi huwezi kupinga/ kukerwa na tabia au sunna ya mtume( saw) af ukabaki kua muislamu %100 wewe utakua murtardi tangu nizaliwe sijawahi kuona muuslamu wa kuchukia adhana ata yule muislamu mlevi hawezi kukereka na adhana, inakua je wewe? Uwe muislamu?
 
Sichukii adhana.Nachukia sauti kubwa kupita kiasi.
 
Miaka gani hiyo mkuu mimi nimeishi north east LONDON kwa miaka saba adhani inaitwa tu vizuri na wazungu wanaiheshimu ni mesafiri paris mbona adhani ipo mkuu.
2015 na 2016 mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…