Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Kua na aibu uhuru wa kuabudu ni haki ya kla mtu
Km upend sauti za msikitini usijenge au panga mbali na msikiti

Kubwa kulko yote kwa umri wako bado ujazoea tu maana kuna vitu ningne inabidi uvizoee
 
Hakuna cha amri wala nini! Adhana inasababisha noise pollution. Full stop.
UISLAMU HAUONGOZWI NA MFUMO ULIOWEKWA NA WATU, UISLAMU UNAONGOZWA NA MFUMO ULIOWEKWA NA MWENYEZI MUNGU. SISI HATUIGIZI TUNAFANYA NA KUTEKELEZA KILE KILICHO SAHIHI.
 
Tatizo ni kukosa mipango miji.
Katika mipango miji maeneo ya makazi huwa yanatengwa na maeneo ya Ibada, biashara, viwanda, michezo nk.
Mi binafsi ziwez kununua kiwanja bila kuangalia hali ya eneo.
Kama kwa Bahari mbaya baada ya kumaliza ujunzi watu wakajenga hapo karibu taasisi inayokera, nahama na napangisha hiyo nyumba.
 
Wazee mnasikia huku? Anakuambia kuna mfululizo wa vipaimara. Vipaimara si mnavijua lakini? Au mwanetu yetu neno "mfululizo" lina maana nyingine kwako.

Unajua wengi wa wanaopinga dini wanatumia kigezo kwamba inawanyima uwezo wa kufikiri. Kwa mfano hapa mada ni kelele za adhana ila unaingizia kipaimara?

Hivi unajua unapotoa reference kelele za kipaimara unakubali pia adhana ni kelele pia?
Ulivyo wa hovyo zaidi unafananisha kelele za club na adhana, unakubali kabisa zote ni kelele.
Au dini imekutia upofu kiasi huelewi ulichoandika?
Niamini mimi kwenye kesi kama hii unachoweza fanya ni kuwahimiza majirani waliokaribu na misikiti kuwa na uvumilivu wa kiimani since adhana haidumu hata dakika mbili.
Nashukuru nipo kwenye dini yangu na nina uwezo wa kusema hiki ni sahihi na hiki sio sahihi. Mungu yupo juu wanadamu wapo chini. Wanadamu hawajawahi kukamilika na ndio wanasimamia dini.
Kwanini kama kuna kitu hakiendi sawa msiseme.
 
Mimi ni mkristo ila sijawahi kukerwa na adhana. Tena hiyo ya asbh inasaidia sana sisi wavivu kuamka. Na kabla ya adhana wanakuwa na mawaidha yao ambapo huwa ni vitisho vitupu kwa watenda dhambi πŸ˜„. Wale walokole wanaokesha ndo wanastahili hata kipigo.
 
Ona ulivyokuwa mjinga , vipaimara wanapiga mziki point ni kelele acha kuwa limbukeni .

Sasa huoni anaktaa adhani ni kelele , kama sio kelele kwani inamuhusu yeye ?

Dini ipi uliyokuwa nayo wewe mpaka unafuatilia adhana mbona hatujui hayo mapambio yenu , hata uimbe tuko bussy hawatuwezi kufuatilia ujinga wenu .

Kwamba unataka tuseme ili iweje kwani kila si yupo kwao , kuwa na dini yako sio kosa fanya kohoji ili usiingie kwenu mipaka ya wenzio .Huwezi ukawa na akili ukafuatilia kila kitu cha wengine .

Kuna mahubiri mpaka vituo vya daladala na spika nenda pale mnazi mmoja , watu wote wale mimi ndio nandike uzi kama sio ujinga!? siwezi kufuatilia labda wewe kwa vile bado mtoto , acha mtu afanye atakavyo kikubwa ni kwake sio eneo lake .

Nchii hii ipo huru kila mtu afuate sheria sio ujinga wenu , mnalewa anapiga mziki wala hatuna time nanyi.
 
Acha kufuatilia yasiyo kuhusu yatakuumiza , mambo ni mengi hutoweza kuishi na watu ...Na sisi tuanze kukataza watu wasivae nusu uchi barabara kwa vile inatukera , unafikiria kuna maisha hapo?
 
Hakika unajitambua sio hawa wanafuatilia maisha ya watu .
 
Una matatizo ya akili ambayo sio kila mtu anayo, binadamu wa kawaida huwa anapenda utulivu muda mwingi hasa usiku hadi asubuhi au akiwa usingizini.
Mimi ni mtu mzima siwezi kufuatilia mtu , ngoja ukue kwanza maana bado mdogo sana ..Tatizo ni nyie vijana wanywa pombe na punyeto.
 
Hakika majini hayakosagi Salah Al jummah tena tunaambiwa aljinu wanakaa kushoto kwa mumin na kulia wanakaa almalayika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…