Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Jamani huu Upweke unataka kuwa ugonjwa wa hatari kuliko hata Corona, dengue, ukimwi nk
Tujaribu kuangalia namna ya kuukabili,
πNilikwambia ukajifanya unaona aibu wenzio wanambeba ππππ
Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?nimeghaili kufa... maisha matamu... but my friend stress is really a bad thing πππ.... nawashukuru sana wana JAMIIFORUMS walinipa mawazo na wengine walinipigia simu... wengine walinitafuta physically tukaongea...
jf ni jungu kuu lisilo isha ukoko...!
Manyanza dah mbona ume maliza manenoπ€πNever ever dishi liliyoyumba lile aiseee hata kama atatanua for free sina kabisa hata hisia zake. Nilikuwa namshauri tu na kumbe hata muelekeo wenyewe hana
Aisee ndo maana wazee mna ongozwa kwenye listπSidhani kama matangazo yana impact yoyote. Wazee wa underground wanakula na kunawa mdomo kimya kimyaπ€£π€£
Siku shauriπ, Zulu man ambia kijana ukweliπOne day yes. Namm nitaConfess kwa Crush wangu
Zee Simba la mazeeππ, kumbe competition ni kubwa Humuπ€£Ukikumbuka vile alivyokuwa ana kumegea uno la uzazi Kwa bed lazima umind kiaina
Na kama alikuwa na kile kisauti cha kulilia, hapo lazima mwenye Mali ujitokeze ku-clear the air
Wazee tunapata shida Mkuu π
Ndo hao Breki bumpu tu au sio π€Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?
Kuna list mkuu?π€ͺAisee ndo maana wazee mna ongozwa kwenye listπ
Tufurahie Eid mzeeπ, binafsi arsenal kadrooKuna list mkuu?π€ͺ
Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?
We all have problems lakini tumeamua ku stay wisely huku maumivu yapo moyoni. Hakuna Mtu asiye na furaha asilimia zote Mkuu. Enjoy tu haya maisha as long as ni mzima mengine ni majaliwa ya Allahyap... I'm in recovery mode... kipindi kile nilikuwa kwenye flight mode βοΈ au offline mode π€£π€£π€£
We all have problems lakini tumeamua ku stay wisely huku maumivu yapo moyoni. Hakuna Mtu asiye na furaha asilimia zote Mkuu. Enjoy tu haya maisha as long as ni mzima mengine ni majaliwa ya Allah
Kawaida hiyo Mkuu kila siku huwa na mambo yake usiiwazie sana kesho wakati leo haujamalizakweli kabisa but... bahati mbaya kwa wengine hatuna wa kutusaidia kabisa yani ukikwama ndio kabisaaa...!