Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu natwanga maji kwenye kinu, muoga mno.
Unaweza kukuta bado ana kamba mguuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hajui kabisa kuhamasisha itakuwa kazoea sana wa kimboka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maandishi makavu eti, “ Tukutane Emily hotel nikakuonyeshe kazi ww hunijui” khaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu kaka angu kupata chuma classic atasubiri sana kwa aina yake hiyo ya utongozaji.
Upo?
😂😂😂😂 Wewe jana si ulikuwa busy na eid tukaona tusikuharibie udhu
Mama la mama, pisi ya kuombea pensheni naona umetia mguu [emoji9][emoji9][emoji9]...
Msuuze mtima mleta mada aache kuleta tena nyuzi ka hizi...
Sio poa,nilikuwa nalewa tu mbona....😂😂😂😂 Wewe jana si ulikuwa busy na eid tukaona tusikuharibie udhu
Habari Za Toto Za Kizigua Zimemchanganya Hata Mimi Kuna Uncle Zangu Wamefichwa Tanga Huko Kama Mboso🙌🙌😂Kumejaa kama ndoo ya maji aende tu kwingine [emoji23]
Valuwence mode activated 😁 imagine Kuna manzi inaona hapa mpaji anafundishwa jinsi ya kugrab mutoto ya darUwe una update mitongozo app upate new version boya wee 🤣🤣🤣
Sikufundishi tena
Mzigo wangu haukufika sisy 😜Sio poa,nilikuwa nalewa tu mbona....
Hahahah ! Haitowezekana.mi naeza respond back with big shots, we uta Baki kusema sihusiki 😂🤣
Tuna weza ambiwa ni majongoo ya kibiti😀🤣Hahahah ! Haitowezekana.
Hahahaha
Ila wewe mkuu Mzigua90 utakuwa ni Mali safi na salamaAu sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujaufungua moyo wako bado ?Mwambie ndo ukubwa avumilie [emoji23]
Aaah wachachuaji tunasubiri kadi ya kamati, usituangushee plz,Hamna kitu kajisikia tu kufungua uzi
Tatizo bwana shemeji jina lako linachekesha, unajipunguzia maksi [emoji23]