Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Wanaume wote humu mnaolazimisha kuonekana mna tunza na kujali familia zenu.

Hivi hawa tunaowaona humu mtaani wanakimbia majukumu wanaitwa marioo najua humu jf wamo na ndo wenye midomo sana. Mnaukataa ukweli mnajificha kwenye miamvuli ya kutukana wanawake. Familia ngapi zinalelewa na wamama peke yao? Waume zao wanasema hawana hela na wanaacha kabisa majukumu. Humu wamo ila ndo wa kwanza kuita wanawake masingle mothers. Mbona mna kazi kubwa sana. Yani hamtaki kuambiwa ukweli mnaita watu ni feminist ili kujipa moyo.

Bebeni majukumu yenu ipasavyo hutoskia mwanamke akikuzungumzia. Nani ataka kuwa sawa na mume wake sasa? Ila unarudi nyumbani unakuta mwanaume kalala kuanzia asubuhi hadi jioni anakuomba hela akanywe bia. Kujishughulisha hataki.

We kama unajijua una tabia hizi na unafoka humu mbona pole sana
 
Awe Feminist Au Tomboy Giza Style Ni Moja Tu DOGGYSTYLE
Na hata ukilitomb.a janamke feminist ni kulitomb.a na ku dump huko hakuna kuwekeza upendo na care kwa limsukule wanawake halisi ndio wanastahili upendo, ulinzi, faraja na matunzo sio manungaiyembe kama haya yaliyolundikana jf
 
Huu uzi ulipaswa uishie hapa, umemaliza mkuu
Yani hata haya mashangazi yanavyo bishana hapa ni uthibitisho wa ngebe na u-much know wa asilimia kubwa na wanawake wa kifeminist.

Yani janamke linabishana masaa matatu na ni lisingle mother ila hata halijali kubadili nepi za mtoto ni linabishana mwanzo mwisho hebu imagine unaoa hilo jinga humo ndani ya nyumba itakuwaje ?!
 
Wanaume wote humu mnaolazimisha kuonekana mna tunza na kujali familia zenu.

Hivi hawa tunaowaona humu mtaani wanakimbia majukumu wanaitwa marioo najua humu jf wamo na ndo wenye midomo sana. Mnaukataa ukweli mnajificha kwenye miamvuli ya kutukana wanawake. Familia ngapi zinalelewa na wamama peke yao? Waume zao wanasema hawana hela na wanaacha kabisa majukumu. Humu wamo ila ndo wa kwanza kuita wanawake masingle mothers. Mbona mna kazi kubwa sana. Yani hamtaki kuambiwa ukweli mnaita watu ni feminist ili kujipa moyo.

Bebeni majukumu yenu ipasavyo hutoskia mwanamke akikuzungumzia. Nani ataka kuwa sawa na mume wake sasa? Ila unarudi nyumbani unakuta mwanaume kalala kuanzia asubuhi hadi jioni anakuomba hela akanywe bia. Kujishughulisha hataki.

We kama unajijua una tabia hizi na unafoka humu mbona pole sana
Unadhani watakuja kukiri hapa? Wamejifunika na akili zao hivyo hivyo wanajiona wako sawa.
 
Sasa wewe ndo umeongea kistaarabu wenzako wanakuja na matusi.

Hapa tutaenda sawa, personally siamini katika 50/50 ndani ya nyumba. Kwanini mwanaume arudi kutoka kazini ajifanyie kazi zake? Kwanini apike au afue wakati mkewe nipo? Kwanini nisimtengee chakula. Yaani vyote hivyo ni mwanamke ndo napaswa kufanya.

Tatizo linakuja pale ambapo mwanamke analazimisha haki sawa anazoskia kwenye tv kuzileta nyumbani. That’s not right. Nadhani haki sawa wanazosema ni kwenye elimu na fursa kwenye jamii na sio wajibu wa mwanamke kwa mume wake.

Kwanza mimi siwezi kuolewa au kuishi na mwanaume ambae hana say kwangu, siwezi kuishi na mwanaume ambae mimi ndo nafanya maamuzi seriously tutashindwana.

I like a decision making man tena mwenye utashi aisee hapo ntakua submissive vizuri tu. Kinachonishinda ni inferiority complex. Wanaume wengi wana wanawaangalia wanawake with a negative mentality na kuanza kuwadharau ndo maana mtu anajitetea. Being submissive is sexy bwana.
Asante.
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa" hosea 4:6
Wadada huwa hatujui ni wapi paku apply na kwa kiasi gani ndo kero zinapo anziaga
 
Hii mambo ya so called superwomanity ndo imetengeneza mang'ombe kama kina James na mwenzake kisura wa wapi sijui 😡😡
 
Wanaume wanaotukana wanawake humu unawaona mkuu? Una lipi la kuwashauri
Nashukuru madam Kwa kunishirikisha

Ukweli nawaona Sana,lakini naweza sema hofu Yao na machungu Yao huenda imetokana na uzoefu ambao ima wao wenyewe wamepitia au wameona Kwa wanaume wenzetu waliokutana na kadhia hiyo.

Nina mitazamo miwili juu ya hili Jambo.

Mosi, ni makosa kutoka Kwa wanawake wenyewe ambao wameshindwa kujua sehemu Yao katika jamii au familia,huenda Kwa kupata elimu au muingiliano na dunia kwakuwa imekuwa kijiji sasa hivi basi huenda wamejifunza au kuona jinsi tamaduni nyingine zinavyoishi hivyo kuwafanya nao waige Maisha ya wengine ambao kwao wao ustaarabu wa nafasi ya mwanaume na mwanamke katika jamii haujapewa uzito unaostahili


Pili,tatizo naliona pia Kwa Sisi wanaume wenyewe,nadhani haya mabadiliko ambayo tunayaona Kwa wanawake ambao kila kukicha yanaongezeka Kwa kujitegemea kiuchumi na kielimu yanatufanya tupate hofu juu ya utiifu wao kwetu kama waume zao,hivyo tunaishi nao Kwa kujihami Sana na kutoaminiana kunaongezeka.

Sasa nini kifanyike........

Nadhani wanawake pamoja na kujitegemea kiuchumi na kuwa na elimu kubwa,ifike kipindi mtambue kuwa pamoja na yote hayo bado wanaume watabakia kuwa wanaume Tu, unaporudi nyumbani Kwa mumeo hata huko ofisini wewe ni CEO Fulani basi Acha cheo ofisini kwako na nyumbani uwe mke mtiifu Kwa mumeo na mama WA watoto wako.

Na hata kama kuna mambo ambayo wewe na Mr wako hayapo Sawa basi ongea nae Kwa upole na heshima kubwa kama mke,hapo mtaenda Sawa kwani wanasema hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Hakuna mwanaume mkorofi kama atapewa heshima yake na kupewa hadhi yake,nadhani bahati mbaya Sana wanawake wengi wanajisahau juu ya hili.

Na wanaume pia tuache hofu na dhana mbaya juu ya wanawake kama wako submissive kwetu na wanatusikiliza,huenda siku moja moja wanaweza teleza lakini tusisahau kuwakumbusha kuwa wanaume watabakia kuwa wanaume,naamini tukiwakumbusha haya Kwa mapenzi na mahaba watatuelewa na kubadilika.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo Tu!
 
Hii mambo ya so called superwomanity ndo imetengeneza mang'ombe kama kina James na mwenzake kisura wa wapi sijui 😡😡
Mind set ya kua superwoman imewaharibu wasichana wazuri kua wanawake jeuri na much know kwa kisingizio ati "wamejikomboa"

vichekesho kutwa wanajazana mitandaoni kutafuta wa kuwaoa unajiuliza hawa ngombe si walisema wamejikomboa sasa vipi wanahangaika kutafuta kuolewa ?! Mpaka kwa manabii kina Mwamposa wanakwenda kununua maji ya upako wapate kuolewa unajiuliza hawa mbuzi wana akili gani na hutapata jibu.
 
Duh ukisoma huu Uzi apo kati kuna Mahal Moto umewaka hatar du watu wamechafukwa hatar hawataki kuona superwoman kabisa
 
Nashukuru madam Kwa kunishirikisha

Ukweli nawaona Sana,lakini naweza sema hofu Yao na machungu Yao huenda imetokana na uzoefu ambao ima wao wenyewe wamepitia au wameona Kwa wanaume wenzetu waliokutana na kadhia hiyo.

Nina mitazamo miwili juu ya hili Jambo.

Mosi, ni makosa kutoka Kwa wanawake wenyewe ambao wameshindwa kujua sehemu Yao katika jamii au familia,huenda Kwa kupata elimu au muingiliano na dunia kwakuwa imekuwa kijiji sasa hivi basi huenda wamejifunza au kuona jinsi tamaduni nyingine zinavyoishi hivyo kuwafanya nao waige Maisha ya wengine ambao kwao wao ustaarabu wa nafasi ya mwanaume na mwanamke katika jamii haujapewa uzito unaostahili


Pili,tatizo naliona pia Kwa Sisi wanaume wenyewe,nadhani haya mabadiliko ambayo tunayaona Kwa wanawake ambao kila kukicha yanaongezeka Kwa kujitegemea kiuchumi na kielimu yanatufanya tupate hofu juu ya utiifu wao kwetu kama waume zao,hivyo tunaishi nao Kwa kujihami Sana na kutoaminiana kunaongezeka.

Sasa nini kifanyike........

Nadhani wanawake pamoja na kujitegemea kiuchumi na kuwa na elimu kubwa,ifike kipindi mtambue kuwa pamoja na yote hayo bado wanaume watabakia kuwa wanaume Tu, unaporudi nyumbani Kwa mumeo hata huko ofisini wewe ni CEO Fulani basi Acha cheo ofisini kwako na nyumbani uwe mke mtiifu Kwa mumeo na mama WA watoto wako.

Na hata kama kuna mambo ambayo wewe na Mr wako hayapo Sawa basi ongea nae Kwa upole na heshima kubwa kama mke,hapo mtaenda Sawa kwani wanasema hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Hakuna mwanaume mkorofi kama atapewa heshima yake na kupewa hadhi yake,nadhani bahati mbaya Sana wanawake wengi wanajisahau juu ya hili.

Na wanaume pia tuache hofu na dhana mbaya juu ya wanawake kama wako submissive kwetu na wanatusikiliza,huenda siku moja moja wanaweza teleza lakini tusisahau kuwakumbusha kuwa wanaume watabakia kuwa wanaume,naamini tukiwakumbusha haya Kwa mapenzi na mahaba watatuelewa na kubadilika.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo Tu!
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
 
Nashukuru madam Kwa kunishirikisha

Ukweli nawaona Sana,lakini naweza sema hofu Yao na machungu Yao huenda imetokana na uzoefu ambao ima wao wenyewe wamepitia au wameona Kwa wanaume wenzetu waliokutana na kadhia hiyo.

Nina mitazamo miwili juu ya hili Jambo.

Mosi, ni makosa kutoka Kwa wanawake wenyewe ambao wameshindwa kujua sehemu Yao katika jamii au familia,huenda Kwa kupata elimu au muingiliano na dunia kwakuwa imekuwa kijiji sasa hivi basi huenda wamejifunza au kuona jinsi tamaduni nyingine zinavyoishi hivyo kuwafanya nao waige Maisha ya wengine ambao kwao wao ustaarabu wa nafasi ya mwanaume na mwanamke katika jamii haujapewa uzito unaostahili


Pili,tatizo naliona pia Kwa Sisi wanaume wenyewe,nadhani haya mabadiliko ambayo tunayaona Kwa wanawake ambao kila kukicha yanaongezeka Kwa kujitegemea kiuchumi na kielimu yanatufanya tupate hofu juu ya utiifu wao kwetu kama waume zao,hivyo tunaishi nao Kwa kujihami Sana na kutoaminiana kunaongezeka.

Sasa nini kifanyike........

Nadhani wanawake pamoja na kujitegemea kiuchumi na kuwa na elimu kubwa,ifike kipindi mtambue kuwa pamoja na yote hayo bado wanaume watabakia kuwa wanaume Tu, unaporudi nyumbani Kwa mumeo hata huko ofisini wewe ni CEO Fulani basi Acha cheo ofisini kwako na nyumbani uwe mke mtiifu Kwa mumeo na mama WA watoto wako.

Na hata kama kuna mambo ambayo wewe na Mr wako hayapo Sawa basi ongea nae Kwa upole na heshima kubwa kama mke,hapo mtaenda Sawa kwani wanasema hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Hakuna mwanaume mkorofi kama atapewa heshima yake na kupewa hadhi yake,nadhani bahati mbaya Sana wanawake wengi wanajisahau juu ya hili.

Na wanaume pia tuache hofu na dhana mbaya juu ya wanawake kama wako submissive kwetu na wanatusikiliza,huenda siku moja moja wanaweza teleza lakini tusisahau kuwakumbusha kuwa wanaume watabakia kuwa wanaume,naamini tukiwakumbusha haya Kwa mapenzi na mahaba watatuelewa na kubadilika.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo Tu!
" Hakuna mwanaume mkorofi kama atapewa heshima yake na kupewa hadhi yake,nadhani bahati mbaya Sana wanawake wengi wanajisahau juu ya hili."
 
Duh ukisoma huu Uzi apo kati kuna Mahal Moto umewaka hatar du watu wamechafukwa hatar hawataki kuona superwoman kabisa
Mzee nikisikia mwanamke anajiita supawumani au analeta pigo za 50/50 hakika hiyo itakua mara ya mwisho anazungumza na mimi kumsikiliza na kama ni ndugu utaishia hapo na hiyo dumejike sasa itakua mbuzi tu machoni pangu.
 
Back
Top Bottom