Feminist wengi akili yao haipo sawa, wana shida kubwa ya kisaikilojia, walishawahi kufanyia ukatili iwe wao au mtu wao wa karibu wanaompenda
Kuna huyo mmoja ni rafiki angu ana hizo pigo nilivomchimba vizuri nikaja kugundua Mzee wake aliwatelekeza yeye, wadogo zake na mama yao wakiwa wadogo, kwahyo mama ni single mother na kawalea kigum sana, kati ya hao watoto watu mmoja ni wa kiume kwenye makuzi yake kapata tabu sana kama mtoto kiume mama yao akitaka awe sawa na hawa wakike hata kwenye mambo yasiyo na maana, huyo mama yao ndio anachukia wanaume kama nini.
Kuna siku Kuna issue ilitokea na tulikuwa wote nikamski "lakini mi ni mwanamke ujue[emoji23][emoji23]" nikajua hamna kazi
Wataimba sana humu ndani nyimbo zao ila feminist wote wana shimo ndani yao ambalo linafunikwa na hisia za kujiona yupo sawa au juu ya mwanaume, ni kama porno na madawa tu hawezi kurudi nyuma.