Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Umeelewa mada kweli? Au na wewe ni mmoja wao?
 
Peace be upon you all.

Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.

Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.

Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.
Tumekusikia
 
Sure ukisoma mtu anachoandika between the lines utagundua mtu kabeba maumivu ndani mwake kwa kuumizwa na mwanamke/ wanawake wa aina fulani. Anatoa kejeli na hadi wengine matusi kwa wanawake wote
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu.
 
Feminist wengi akili yao haipo sawa, wana shida kubwa ya kisaikilojia, walishawahi kufanyia ukatili iwe wao au mtu wao wa karibu wanaompenda

Kuna huyo mmoja ni rafiki angu ana hizo pigo nilivomchimba vizuri nikaja kugundua Mzee wake aliwatelekeza yeye, wadogo zake na mama yao wakiwa wadogo, kwahyo mama ni single mother na kawalea kigum sana, kati ya hao watoto watu mmoja ni wa kiume kwenye makuzi yake kapata tabu sana kama mtoto kiume mama yao akitaka awe sawa na hawa wakike hata kwenye mambo yasiyo na maana, huyo mama yao ndio anachukia wanaume kama nini.

Kuna siku Kuna issue ilitokea na tulikuwa wote nikamski "lakini mi ni mwanamke ujue[emoji23][emoji23]" nikajua hamna kazi

Wataimba sana humu ndani nyimbo zao ila feminist wote wana shimo ndani yao ambalo linafunikwa na hisia za kujiona yupo sawa au juu ya mwanaume, ni kama porno na madawa tu hawezi kurudi nyuma.
Ni kweli asilimia kubwa ya matrue "supawuman" wanakuwa wanahistoria mbaya kama ulivyoelezea hapo juu.
 
Ila tafuteni ela aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣vi challenge kidogo mnatoka povu kama mmenyweshwa OMO.

Mi ndo maana napenda wanaume wenye amri. Like tell me what to do in a respectful way deep down ntajiskia raha.

Sio ulalamishi inakushushia heshima.
Mwanaume mwenye amri na mfeminist hawawezi kukaa nyumba moja maana utakuwa unatengeneza bomu ambalo litawasambaratisha wote au mmoja wao.

Kwani mwanamme kwenye amri akiona utii amri yake kifuatacho ni vitasa vya uhakika.
 
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Kwani bibie huwa mnataka haki sawa au kufanana kwa haki ?

Kingine kuosha vyombo au kuwasaidia wake zetu kazi za nyumbani ni katika jambo letu na ni katika mapenzi. Hili haliwezi kuwa hoja na mimi ni katika waume ambao tunawasaidia wake zetu kaziza nyumbani na hili huleta mapenzi.

Hoja ilipo ni pale ambapo mnataka kufanana na sisi. Hili ndiyo tatizo. Shida yenu hizi fikra mmeletewa toka nje na mkazivagaa pasi na kuzichambua. Mpaka Leo hii imefikia hatua Mwanamke unafanywa bidhaa na unaona unapata unacho stahiki na hakuna zama ambazo mwanamke amekuwa taka taka na asiye kuwa. A thamani kama zama hizi. Shida yenu si wafanyaji tafiti sababu mmekuwa mazwazwa sana.

Bibie hakuna mwanaume mwenye akili anayetaka kushindana na mwanamke au akawa na mwanamke mwenye fikra kama zako. Namuongelea mwanaume hasa siyo hawa mfano wa wanaume.

Kingine sisi hatutaki kuinamiwa sababu kuinamiwa si katika mapenzi, ila sisi tunataka wanawake mjitambue na mjue mipaka yenu na msiwe wajinga kama mlivyo wajinga leo hii.

Kama maumbile yetu hayafanani vipi tufanane katika majukumu na wajibu ? Hili halihitani akili kubwa sana.
 
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Kapuku wa akili.
 
Na hawataki kueleweshwa kwamba wanawake hawawadharau ni wao wenyewe ndo wanajidharau. Defence yao kubwa ni matusi na mikwara utasema itasaidia. Wanadhani sisi ni wajeuri tungeishi kwenye ndoa hadi leo?😂 hakuna binadamu atakaetukanwa akanyamaza.

Humu Jf kumejawa na threads nyingi sana zinazoongelea negativity za wanawake ila sijawahi ona mwanamke akianzisha thread za kukashfu wanaume na hakuna sababu ya kufanya hivyo.

AJIWAZIAVYO MTU MOYONI MWAKE NDIVYO ALIVYO.
Hivi mfano bibie nikakwambia, kaa nyumbani usifanye kazi utakubali ? Yaani kila kitu juu yangu.
 
Ni jambo zuri lakini mnatakiwa sometime mjitetee coz mkipiga kimya mnaonekana kila siku mnamakosa madam
Analosema lipo kuna wanawake wana tabia ambazo hata sisi wanawake wenzao zinatukera...mwanamke much know yani yule anaejiona mwamba hapa tofautisha mwanamke msomi na bado ana uanamke wake na ana hoja za kujenga na anasikiliza pia...but kuna mwanamke ni msomi yess ila ni vile anataka elimu yake ndo iwe inaendesha maisha... yani ofisi yake anaileta home amri mpk kwa watu wanaomzunguka..so wapo hawa na ni vigumu kuishi nao
 
You are already intimidated [emoji23][emoji23][emoji23] wanaume mtapata lini confidence?

Yani mimi kujiamini tayari ni a “manipulative pussy bitchass” tusi lote hilo baki nalo mwenyewe. Just to show you that I’m confident enough not to be shattered by a mere opinion of a loose ass n***a. Surround yourself with self motivated ladies hutokua na tu uoga uoga na other ladies.
Man up[emoji1787]
Send this to your papa
 
Analosema lipo kuna wanawake wana tabia ambazo hata sisi wanawake wenzao zinatukera...mwanamke much know yani yule anaejiona mwamba hapa tofautisha mwanamke msomi na bado ana uanamke wake na ana hoja za kujenga na anasikiliza pia...but kuna mwanamke ni msomi yess ila ni vile anataka elimu yake ndo iwe inaendesha maisha... yani ofisi yake anaileta home amri mpk kwa watu wanaomzunguka..so wapo hawa na ni vigumu kuishi nao
Hayo ndo maneno sasa madam Kalpana kumbe mnaweza pasa sauti vizuri bhana

Nimefurahi kusikia toka kwako

Pamoja sana
 
Ila tafuteni ela aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]vi challenge kidogo mnatoka povu kama mmenyweshwa OMO.

Mi ndo maana napenda wanaume wenye amri. Like tell me what to do in a respectful way deep down ntajiskia raha.

Sio ulalamishi inakushushia heshima.
Mleta Mada Hakuna sehemu kaongelea pesa. We unaruka ruka tu na pesa Nani kwanza kamwambia tunacoment huku hatuna hela.?? Wewe ndo huna kitu ndo maana umekazania tafuteni hela Mara 1000.
 
Mtu fulani kabadili id na profile pic kaja kivingine ndio mjue hawa watu ni faki kiasi gani wanataka mwanaume traditional ila wao hawataki kua traditional women.

Hakuna uhalisia bongo movie mpaka katika maswala ya msingi ndio maana yanaishia kua masingle mothers yasio na thamani taka taka used condoms, ila mwanamke anaeikubali nafasi yake kwanza wanapendeza na wana furaha zaidi sio haya manungaiyembe yaliyojaa jf.
 
Analosema lipo kuna wanawake wana tabia ambazo hata sisi wanawake wenzao zinatukera...mwanamke much know yani yule anaejiona mwamba hapa tofautisha mwanamke msomi na bado ana uanamke wake na ana hoja za kujenga na anasikiliza pia...but kuna mwanamke ni msomi yess ila ni vile anataka elimu yake ndo iwe inaendesha maisha... yani ofisi yake anaileta home amri mpk kwa watu wanaomzunguka..so wapo hawa na ni vigumu kuishi nao
Word!
 
Mleta Mada Hakuna sehemu kaongelea pesa. We unaruka ruka tu na pesa Nani kwanza kamwambia tunacoment huku hatuna hela.?? Wewe ndo huna kitu ndo maana umekazania tafuteni hela Mara 1000.
Yani mianamke mingi jf ni zero jambo lolote utawasikia "tafuteni hela" wtf bitches mmeigia mifukoni mwetu na kukuta hakuna hela ?! Haya tuseme basi hatuna hela hata tukitafuta hela ni kwaajili yetu na wanawake halisi sio madume kije a.k.a mafeminists ya Buza yaliyojazana jf we go for real women sio misukule.
 
Back
Top Bottom