Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Kama hauna hoja wala reja zozote za kidini au maagizo ya Mungu kuhusu msimamo wangu kua mwanamke hapaswi kutafuta bali kulea na kutafuta ni jukumu la mwanaume nakubali mawazo "mgando" yangu ni bora kuliko mawazo ya dume jike anaetaka kuaminisha dunia kwa mitazamo ya kishenzi
Nilikua najua mafeminist ni wajuaji ila sikujua kua ni mazwazwa pia, yani majukumu yote ya familia niyamudu ila pedi na nyembe ati "utakua unanipa?" Hell how bogus are these creatures?
Mtoto akikua na akiwa shule wewe utakua umeota mapumbu mpaka ufanye majukumu mwanaume ?! Na je kwanini umtelekeze kabla umri wa kwenda shule ?
Defense yako ni matusi. Hayo nnayo mengi tena makubwa tu. So wanawake wanaokuzunguka ni mbwa pia?Mimi nina changamoto juu ?! Ila wewe ulie umbwa mwanamke ila umejigeuza dume jike uko sawa juu ?! Eti ?
Wewe kubali kwamba HUJIAMINI! Karne hii hakuna mwanaume anaeoa golikipa wa kulihudumia miaka kumi na zaidi. Hayupo labda wewe na akili zako hizo.
Hata utukane vipi ndo inazidi kujidhihirisha kwamba you are absurd. Very illogical. Mtazamo wa kishenzi nnao mimi au wewe unaeamini kwamba mtoto wa kike akisoma atakuja kuwa tishio kwa mwanaume wake. It’s either umelelewa kwa uoga au HUNA HELA. Usimalizie hasira zako kwa wanawake wa watu😂 kasake hela hutotamani hata kuja kutukana wanawake humu. Unasikitisha.