Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Sawa Joyce Karia
 
Wahubiri wa 50/50 aka Beijing Conference hawapractise kabisa mf USA, China, UK etc
 
Mnaobishana mtajua wenyewe tupo wave ya ngapi...
JamiiForums1503416758.jpg
 
Peace be upon you all.

Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.

Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.

Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.

Kinyume chake nimekuwa navutiwa sana na wanamake wanaoikubali nafasi yao kama wanawake, hawajishindanishi wala kujilinganisha na wanaume. Nakiri wazi nawapenda sana wanawake hawa Mungu awape mairha marefu.

Hali hi ya kutotaka ukaribu na "masupawuman" imenisababisha kuwaweka kando wanawake wengi na kuonekana naringa na sina time ya kuwaeleza kwanini nimewaweka kando kwasababu siwezi hata kuongea na wanawake mafeminists naona napoteza muda wangu kwa viumbe wanaofake mambo, limbukeni na wajinga wa utandawazi.
Upo kama mimi mkuu.
 
Huwa mnashindwa tu kutuelewa mkuu. Yaani mimi siwezi kuamka asubuhi nitake kushindana na mwanaume. Never! Sasa katika ile hali ya kueleweshana ndo tunaonekanaga wajuaji na wenye matusi wanakuja nayo.

We respect you as men na tunatamani mlione hilo. tunachoomba ni nyinyi mtuangalie kwa jicho positive hata kidogo. Hata tuwe tumesoma vipi msituchukulie kama tunawadharau. Mkiskia tunabishana mjue ni kwenye fursa za kimaendeleoila family wise simameni katika nafasi zenu kwa upendo na amani mbona sisi tutakua submissive hadi mtashangaa.
👏👏👏🙏🙏🙏
 
wanawake ambao joyce kiria ni role model wao hawawezi kua na akili hata kidogo
Ila nimegundua wanawake ni waoga wa kutetea haki zao. Yani wamekaa kimya wanatukanwa wanakashifiwa wapo kimya tu kwa hali hii atawakomboa nani? Tutaendelea kupelekeshwa hadi mwisho maana ni waoga sana
 
Na ndo kinachoniuma. Yani kwanini mwanaume ahisi mimi kuwa kwenye nafasi flani basi namdharau? Wakati mimi natamani aelewe mimi kuwa hapa ni juhudi tu na haibadilishi nafasi yake ya kiume.

Yani wote wakiweza kuelewa hilo I swear dunia itabadilika sana. Na wengi wanashindwa kukiri kwamba inferiority complex inajengwa kwa kudhani mwanamke alie na uwezo flani anadharau. Wakati sio kweli.

Yani mi siskii raha kumtawala mwanaume wangu. I will feel shitty mimi kuwa na last say kwenye nyumba. Why should it be. Sasa unakuta ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke unapojaribu kujieleza kwamba “you’re my man and I want you to be that forever, be strong for us and be the leader “ aisee mwanaume ni kama anaziba maskio anachoskia yeye ni kwamba unamdharau. Yani ukifungua tu mdomo kusema neno tayari anaona unajibizana nae😂😂 Yaani sijui hiyo hali tutairekebishaje. Maana naiona hata humu jf kazi ni kubwa.
Umeongea vizur sana lakin hata demu wangu huwa nasikiliza maneno yake 5 na matendo yake 10 ndo nayafanyia kazi ,kwann nasema ivyo baada ya kukaa na wanawake tofauti tofauti nilikuja kugundua wanawake hua ni waongo kuliko kawaida ,MTU unaona kabadilika jumla lakin ukimwambia anaruka jumla haina maana hawasemi kwel lakin wanaume wanafaa kuangalia matendo yenu na mienendo yenu zaid kuliko Yale mnayosema
 
Yaan mwanamke femist siyo mpaka amwambie mwanaume osha vyombo, pika ,deki na kama ipo hii bhasi nyie ni masela sio mke na mme,ufeminism unazungumziwa apa ni Kwamba mwanamke kunaka Uhuru flani ananza kuwa nako let say anafanya Jambo sensitive na hajakushirikisha,
 
Hii jamii tuliyopo wanawake mnatakiwa mkae kimya. Hata mtukanwe vipi msinyanyue midomo kuteteana. Ukiongea tayari ni adui. Ila nilichogundua people need to heal, wameumizwa sana na wanawake wa aina flani.

Sure ukisoma mtu anachoandika between the lines utagundua mtu kabeba maumivu ndani mwake kwa kuumizwa na mwanamke/ wanawake wa aina fulani. Anatoa kejeli na hadi wengine matusi kwa wanawake wote
 
Yaani mimi huyu huyu Mtoto wa Mzee Robert nianze kubishana na wewe kwa point ya pili uliyoiandika hapo[emoji23] ntakua naumwa kichaa.

Niache mie nimalizie kazi zangu nikampikie Hubby[emoji23] khaaa eti makazini tunatafta nini. Kuna wanaume alafu kuna wewe[emoji23] na mnasapotiana. Kwahiyo nishinde nyumbani nakuomba ela ya kununua sidiria. Nyembe zikiisha bado nikuombe.
Sasa ndo nimekuelewa. Kwa mentality hiyo hata mtukane vipi wanawake sie tutasema hewala. Ni malezi tu na tunapotoka ndo kunafanya kila mtu ajione timamu kichwani. Kha.! Nimecheka kwa sauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake hakuna kufanya kazi mnaambiwa huku[emoji1787]

[emoji3][emoji3] asipeleke watoto wake wa kike shuleni kama anao, wakae wakiandaliwa kuolewa
 
Yaan ni kiujumla mwanamke hutakiwi kujiamulia chochote ukishakuwa kwenye ndoa haijalishi ni kizur au kibaya. Ukisema unataka kwenda sehem flan mwanaume akise sitaki uende unabaki,ukitaka kufanya project flan akikataa imeishia hapo apo utakuwa mwanamke hata unaeza ukajiskia vibaya lakin huwezi Amin ata nkiwa njian nakumbuka kukujia hata na kazawad sababu nakupenda daily
 
Back
Top Bottom