Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Hawa wanawake wajuaji hata stail yakumgonga anakupangia. ukimwambia kaadog stail anakuona unamambo yakihuni na unamzalilisha
 
Nashukuru madam Kwa kunishirikisha

Ukweli nawaona Sana,lakini naweza sema hofu Yao na machungu Yao huenda imetokana na uzoefu ambao ima wao

Ni hayo Tu!
Mkuu ETUGRUL BEY sijui hata nikupe nini kama zawadi ya utashi ulionao.

Kuanzia leo jua mimi ni shabiki yako namba moja. Yaani ona ulivyoandika maelezo yamenyooka bila matusi wala kashfa na umeeleweka.

Tatizo limeanza pale wanaume walipodhani mwanamke aliesoma atawadharau. Au kuchukua nafasi zao. Narudia, mimi nimeumbwa mwanamke kwanini nijitutumue kuwa mwanaume?? Nafaidika nini.

Sasa shida inapokuja Yaani haturuhusiwi kabisa kutetea tunapokashfiwa, haturuhusiwi kujibu wala kuchangia. Ni matusi kwenda mbele. Inashangaza hakika.

JF ingekua ina wanaume design yako wengi, hizi thread za kejeli zisingekuwepo wala sisi tusiopenda kukashfiwa tusingekua tunaongea. Ila kila kona ni kashfa na tumenyamaza.

Ila nlichoona matusi kwa wanawake yanawapa watu wengi amani.
 
Kitu ninachoona watu wanataka kutenga ufeminism na mafanikio ya Wanawake ,jaman hivi vitu havitengani ni kuku na yai,na ndo maana wanaoleta ufeminism hawaachi kuleta women empowerment.Tukubali tukatae huu ufeminism hauji bure kuna namna mnalingana economically au kakupiga gap, yaan kama wewe mwanaume ndo kilakitu kwake uwo ufeminism huwez uona milele
 
Zamani ilikua Baba akienda, watoto wanasoma kwa shida,biashara zinakufa, maisha yana rudi nyuma n. K..... Tunafanya kazi na kusoma kupambana ili kujaribu kuli fix hilo sio kushindana
Huyu hawezi kukuelewa. Mtazamo wake juu ya wanawake ni asi. Unaweza kubishana nae hadi mwakani anachojua ni kutukana. Anakwambia kwanini ufanye kazi?
 
Yaani mimi huyu huyu Mtoto wa Mzee Robert nianze kubishana na wewe kwa point ya pili uliyoiandika hapo😂 ntakua naumwa kichaa.

Niache mie nimalizie kazi zangu nikampikie Hubby😂 khaaa eti makazini tunatafta nini. Kuna wanaume alafu kuna wewe😂 na mnasapotiana. Kwahiyo nishinde nyumbani nakuomba ela ya kununua sidiria. Nyembe zikiisha bado nikuombe.
Sasa ndo nimekuelewa. Kwa mentality hiyo hata mtukane vipi wanawake sie tutasema hewala. Ni malezi tu na tunapotoka ndo kunafanya kila mtu ajione timamu kichwani. Kha.! Nimecheka kwa sauti😂😂😂😂

Wanawake hakuna kufanya kazi mnaambiwa huku🤣
Just wa imagine "mara ghafla kakuacha! Au lolote limetokea"
Wanataka tufe njaa
 
Zamani ilikua Baba akienda, watoto wanasoma kwa shida,biashara zinakufa, maisha yana rudi nyuma n. K..... Tunafanya kazi na kusoma kupambana ili kujaribu kuli fix hilo sio kushindana
Wewe na wachache mnafanya kazi kufix hilo la kuondokewa na mwanaume (japo kuna njia bora zaidi) ila wengi wanawake mafeminist wanafanya kazi ili "kujikomboa" kuwa sawa na mwanaume "usinibabaishe kama kusoma na mimi nimesoma"

Na ndio kundi kubwa la wanawake hata hapa jf wanawake wengi wanafanya kazi ili kujiamulia watakalo jema au baya, kuweza kuwatawala waume zao (hawa wanaume nao ni wajinga) matokeo ya jeuri ya wanawake hao ndio kukithiri kwa ndoa kuvunjika na ongezeko la masingle moms kwa speed ya mwanga.
 
Mkuu ETUGRUL BEY sijui hata nikupe nini kama zawadi ya utashi ulionao.

Kuanzia leo jua mimi ni shabiki yako namba moja. Yaani ona ulivyoandika maelezo yamenyooka bila matusi wala kashfa na umeeleweka.

Tatizo limeanza pale wanaume walipodhani mwanamke aliesoma atawadharau. Au kuchukua nafasi zao. Narudia, mimi nimeumbwa mwanamke kwanini nijitutumue kuwa mwanaume?? Nafaidika nini.

Sasa shida inapokuja Yaani haturuhusiwi kabisa kutetea tunapokashfiwa, haturuhusiwi kujibu wala kuchangia. Ni matusi kwenda mbele. Inashangaza hakika.

JF ingekua ina wanaume design yako wengi, hizi thread za kejeli zisingekuwepo wala sisi tusiopenda kukashfiwa tusingekua tunaongea. Ila kila kona ni kashfa na tumenyamaza.

Ila nlichoona matusi kwa wanawake yanawapa watu wengi amani.
Nimefurahi kujua nimepata shabiki ambaye ni wewe,karibu Sana.

Binafsi naamini wanawake mna haki ya kujitetea pale inapo bidi kwani nanyi mna nyongo pia.

Kwahiyo endeleeni kutetea kile mnachoamini ni sahihi,natambua baadhi yetu humu ustaarabu ni zero lakini isiwafanye mkate tamaa,endeleeni kupaza sauti mpaka kieleweke

Nawapenda Sana.
 
Big up sana Man
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Big up sana Man, niliachana na mtu wangu kwasabu ya maswala kama hayo hayo, kutojiamini
 
Just wa imagine "mara ghafla kakuacha! Au lolote limetokea"
Wanataka tufe njaa
Sasa kwasababu tushayaona ndo tunajaribu kuelewesha na wengine kwamba dunia hii ukimtegemea mwanaume, hata ufanyeje siku ataamua kukuacha na kutafuta mwanamke wa design yake utaenda kutafuta maisha wapi?

Basi uki raise hiyo mada watakwambia kwanini mwanaume akuache lazima ulimkorofisha😂 wanasahau tena wanasema mwanaume kuwa na mwanamke mmoja sio rahisi. So akiamua kwenda kwa huyo mwengine bado kosa ni lako.

Ukiwaeleza ndo unaambulia kuitwa feminist😂 hii dunia hii akili kichwani mwako
 
Nimefurahi kujua nimepata shabiki ambaye ni wewe,karibu Sana.

Binafsi naamini wanawake mna haki ya kujitetea pale inapo bidi kwani nanyi mna nyongo pia.

Kwahiyo endeleeni kutetea kile mnachoamini ni sahihi,natambua baadhi yetu humu ustaarabu ni zero lakini isiwafanye mkate tamaa,endeleeni kupaza sauti mpaka kieleweke

Nawapenda Sana.
Hata sisi tunakupenda kwakweli.

Yaani wanaume igeni mfano hapa jamani.
Ubarikiwe mkuu🙏
 
Wewe na wachache mnafanya kazi kufix hilo la kuondokewa na mwanaume (japo kuna njia bora zaidi) ila wengi wanawake mafeminist wanafanya kazi ili "kujikomboa" kuwa sawa na mwanaume "usinibabaishe kama kusoma na mimi nimesoma"

Na ndio kundu kxbwa la wanawake hata hapa jf wanawake wengi wanafanya kazi ili kujiamulia watakalo jema au baya, kuweza kuwatawala waume zao (hawa wanaume nao ni wajinga) matokeo ya jeuri ya wanawake hao ndio kukithiri kwa ndoa kuvunjika na ongezeko la masingle moms kwa speed ya mwanga.
Mi nafikiri hilo lina tegemeana na mentality ya mtu na malezi alio kulia...
Wengine tunaambiwa kabisa tunasoma kujikomboa tu
Kaka haoshi viombo hapiki atalala chumba cha nnje wewe huwezi! Ataruhusiwa kuchelewa kurudi etc.... Na Kujua nafasi zetu sehemu mbali mbali katika jamii
 
Big up sana Man

Big up sana Man, niliachana na mtu wangu kwasabu ya maswala kama hayo hayo, kutojiamini
Mi siwezi kuwa na mtu mwenye inferiority complex jamani.

Yaani kuna raha mwanaume kuwa na amri huku unampenda mkeo. Sasa kuna watu wanachanganya inferiority zao, hasira juu ya wanawake waliosoma plus umaskini, basi anaekoma ni mwanamke anaekutana nae.
 
Nimefurahi kujua nimepata shabiki ambaye ni wewe,karibu Sana.

Binafsi naamini wanawake mna haki ya kujitetea pale inapo bidi kwani nanyi mna nyongo pia.

Kwahiyo endeleeni kutetea kile mnachoamini ni sahihi,natambua baadhi yetu humu ustaarabu ni zero lakini isiwafanye mkate tamaa,endeleeni kupaza sauti mpaka kieleweke

Nawapenda Sana.
Gear nzuri sana ya kutafuta mbususu ni kujifanya kuwatetea wanawake ila deep down your bones you know the facts and they are plain clear, I have been there pal.

Keep it up unaweza ukala mashangazi kimasiala.
 
Gear nzuri sana ya kutafuta mbususu ni kujifanya kuwatetea wanawake ila deep down your bones you know the facts and they are plain clear, I have been there pal.

Keep it up unaweza ukala mashangazi kimasiala.
Una shida sana kaka yangu. Hata mwanaume mwenzio anapoongea something positive unamwambia anatafuta kula tunda sijui. Una chuki na wanawake sijui walikufanyia nini
 
Back
Top Bottom