HakiKwanza_2015
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 381
- 557
Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Maana hata wanaume wenzie wanaparamia mada hawajasoma hadi mwisho ila as long as anaeshambuliwa ni mwanamke wanaunga tela bila kujua wanaemsapoti ni kichaa. Wanaume wanaomsapoti huyo unpaid seller na wao hawajasomesha mabinti zao? So mtoto wa kike atabaki nyumbani asubiri tu kuolewa ili asije akampanda kichwani mmewe. Na hivi sijui kubishana namshangaa tuAfadhali nawe umeliona hilo pia
Mkuu don't get me wrong honestly namaanisha ninachokisema juu ya hawa dada zangu.Yale mafunzo ya Cuba course ya take their side, be among them to eat them naona uliielewa kwa kina nakupa remeurse ha ha haa
Same there arif, blessed night that side pal.Mkuu don't get me wrong honestly namaanisha ninachokisema juu ya hawa dada zangu.
Nawapenda na wanastahili kuheshimiwa pia mkuu
Gudnight everyone!
Umeisema katika njia bosa sana mkuu wasipoelewa wanathibitisha ujinga wao.Mi niseme ukwel wanawake hata walioko kwenye ndoa wanapokosea wenyewe hawajui kama wanakosea ,lakin mwanaume akizingua anajua kazingua hata asipokuomba misamaha. lakini wanawake hawajui na ndo maana wanaume ni viongozi ili kuwasaidia kujua kama wanapotea au VP. So wanapokuwa wanaobadilika huwa hata hawatambui,na ndiyo sababu naturally mwanamke hapendi nice guy anataka mwaume mwenye msimamo anayemkemea pale anapokuwa amekosea na siyo kumchekea tu
Kwani umesikia kuna malalamiko ya mwanamke yeyeto kukosa matunzo humu .......? We kinembe usie jitambuaWanaume wote humu mnaolazimisha kuonekana mna tunza na kujali familia zenu.
Hivi hawa tunaowaona humu mtaani wanakimbia majukumu wanaitwa marioo najua humu jf wamo na ndo wenye midomo sana. Mnaukataa ukweli mnajificha kwenye miamvuli ya kutukana wanawake. Familia ngapi zinalelewa na wamama peke yao? Waume zao wanasema hawana hela na wanaacha kabisa majukumu. Humu wamo ila ndo wa kwanza kuita wanawake masingle mothers. Mbona mna kazi kubwa sana. Yani hamtaki kuambiwa ukweli mnaita watu ni feminist ili kujipa moyo.
Bebeni majukumu yenu ipasavyo hutoskia mwanamke akikuzungumzia. Nani ataka kuwa sawa na mume wake sasa? Ila unarudi nyumbani unakuta mwanaume kalala kuanzia asubuhi hadi jioni anakuomba hela akanywe bia. Kujishughulisha hataki.
We kama unajijua una tabia hizi na unafoka humu mbona pole sana
You sound trash.Sasa kwasababu tushayaona ndo tunajaribu kuelewesha na wengine kwamba dunia hii ukimtegemea mwanaume, hata ufanyeje siku ataamua kukuacha na kutafuta mwanamke wa design yake utaenda kutafuta maisha wapi?
Basi uki raise hiyo mada watakwambia kwanini mwanaume akuache lazima ulimkorofisha[emoji23] wanasahau tena wanasema mwanaume kuwa na mwanamke mmoja sio rahisi. So akiamua kwenda kwa huyo mwengine bado kosa ni lako.
Ukiwaeleza ndo unaambulia kuitwa feminist[emoji23] hii dunia hii akili kichwani mwako
Sasa wewe ndo umeongea kistaarabu wenzako wanakuja na matusi.
Hapa tutaenda sawa, personally siamini katika 50/50 ndani ya nyumba. Kwanini mwanaume arudi kutoka kazini ajifanyie kazi zake? Kwanini apike au afue wakati mkewe nipo? Kwanini nisimtengee chakula. Yaani vyote hivyo ni mwanamke ndo napaswa kufanya.
Tatizo linakuja pale ambapo mwanamke analazimisha haki sawa anazoskia kwenye tv kuzileta nyumbani. That’s not right. Nadhani haki sawa wanazosema ni kwenye elimu na fursa kwenye jamii na sio wajibu wa mwanamke kwa mume wake.
Kwanza mimi siwezi kuolewa au kuishi na mwanaume ambae hana say kwangu, siwezi kuishi na mwanaume ambae mimi ndo nafanya maamuzi seriously tutashindwana.
I like a decision making man tena mwenye utashi aisee hapo ntakua submissive vizuri tu. Kinachonishinda ni inferiority complex. Wanaume wengi wana wanawaangalia wanawake with a negative mentality na kuanza kuwadharau ndo maana mtu anajitetea. Being submissive is sexy bwana.
They look strong outside Ila wengi wapo very weak inside, fragile self esteem Mwisho wanakua intimidated na vitu vidogo kama confidence ya mwanamke. Wanataka mwanamke weak because they're weak too ila wanajiticha kwenye ubabe,kashfa na dharau.
Mwanaume ukiwa na confidence inside no matter Hali uliyonao uwe maskini,tajiri au Hali yoyote Ile you can still bag a nice women. Utakuta mtu katafuta pesa Kwa shida akitegemea itampa wanawake akikutana na high quality women akizodolewa na pesa zake anabaki na makasiriko.
Sibishani na watu wasio na hoja. Matusi yatakusaidia nini unazidi kujidhihirisha uanaume suruali wako. Mnadhani ntarudi nyuma kusimamia hoja yangu? Never.You sound trash.
Mkuu, wanaume design yako kwanini msiwekewe label humu jf tukawatambua tukawa tunawapa salute tu? Sasa mi unadhani hata ningekua madam wako ningetaka kukupa darasa? You already sound smart. Na mimi mtu alie smart namuacha aniongoze.Kwa maelezo yako haya bado sijaona u feminism wako, bali naona mwanamke anayekataa kuwa ung’ombe.
Mwanamke hafai kuwa ndio ndio, lazima uwe na viji challenge kwenye mipango ya familia, challenge sio pingamizi bali ni kufungua zaidi akili.
Madam ana elimu ya uchumi na ni mtaalam sector kubwa tuu ila nampa nafasi ya kuniweka chini kunipa darasa kwenye kutumianpesa kupata pesa kibiashara ila kweny maamuzi nafanya mimi, ki boss boss, life linaenda.
Amri zinakuwepo ila kuna nyakati vitu vidogo vidogo hata, huoni ni feminism kwake unaona kama team work.
Kama vile ambavyo unamsaidia mwanamke majukum na yeye pia atakusaidia, muhimu kujua as man wakati gani wa kutoa amri na wakati gani wa kusikiliza, nguvu , ubabe haulei familia.
Tyrone KG.
Na ndo wanachopenda. Hivi mkuu, mkeo akisema anaomba akuongezee mifuko ya cement 30 kwenye ujenzi wenu ni feminist? Amekutukana? Mi naamini katika kazi zenu kuna mda mishahara huwa inachelewa au maisha yanayumba. Wife atashindwa kukuita ndani akakwambia Baba najua umekwama chukua kiasi hiki sort mambo yako familia isikwame.Kweli, kuna zile unasikia mtu anasema, mwanamkw akileta nyodo mtie vikwazo kiuchumi, nawazaga naona bado tunasafari ndefu.
" Hakuna mwanaume mkorofi kama atapewa heshima yake na kupewa hadhi yake,nadhani bahati mbaya Sana wanawake wengi wanajisahau juu ya hili."
Si ndo maana mnaenda kushirikiana na michepuko hadi mnazaa nao kwasababu hamtaki wake zenu wajue mienendo yenu. Mkeo unamletea watoto wa nje watatu plus wakwake watatu awalee. Siku unakufa umemwacha mkeo hana kitega uchumi chochote ndugu zako wanakuja kubeba mali wanamwacha na mzigo wako. Wanaume shkamoomwanaume hasa vijana wasasa Kama unataka kujinyonga au kuwa chizi mambo yanayo husu maendeleo yako fanya nahuyo unae mwita mkeo. utakuja kufurahi badae.
Kama unanduguzako wakiume sizani Kama utawashauri mambo yaujenzi au miradi ashirikiane na mkewe namwanamke mwenyewe awe dizaini yako Bibi hakisawa. atapata hasara Mana hio ndoa haitaenda popote nahizo mali watazigawa mwisho wasiku anaanza moja au anajikatia tamaa kabisa.Na ndo wanachopenda. Hivi mkuu, mkeo akisema anaomba akuongezee mifuko ya cement 30 kwenye ujenzi wenu ni feminist? Amekutukana? Mi naamini katika kazi zenu kuna mda mishahara huwa inachelewa au maisha yanayumba. Wife atashindwa kukuita ndani akakwambia Baba najua umekwama chukua kiasi hiki sort mambo yako familia isikwame.
Sasa vijana wanakwambia huyo ni feminist. Wanakwambia kwanini mwanamke afanye kazi wakati yeye kidume yupo. Ikatokea mume amekufa na mke hana kazi ndo balaa linapoanzia.
Anyway muwe mnawashauri na wenzenu kwamba maisha ya sasa ubabe na matusi ni part ya kuficha inferiority flani. Wajiamini kwamba hakuna mwanamke anaetaka kushindana nao.
Mkuu,Si ndo maana mnaenda kushirikiana na michepuko hadi mnazaa nao kwasababu hamtaki wake zenu wajue mienendo yenu. Mkeo unemletea watoto wa nje watatu plus wakwake watatu awalee. Siku unakufa umemwacha mkeo hana kitega uchumi chochote ndugu zako wanakuja kubeba mali wanamwacha na mzigo wako. Wanaume shkamoo
Siku ukilala hiyo miezi sita umejipangaje na ilhali wewe unategemea mshahara tu. Au vibarua. Familia yako utaiendeshaje ukiwa kitandani na ulishamwambia mkeo asijishughulishe na chochote wewe utamuhudumiaMkuu,
Mimi nadhani kila mtu ana namna yake ya kuendesha familia yake, humu mitandaoni ni sehemu tu ya kueleimishana lakini sio kila elimu ni ya kuchukua. Kila mtu ana definition ya feminism na kila mtu ana namna yake ya ku-handle situations tofauti ndani ya nyumba yake.
Mfano, nikisema mke wangu akae nyumbani na mimi nitaleta kila kitu na kumlea( which is the right thing), je ninaweza kutengeneza mazingira mazuri ili hata siku nikilala mwezi au miezi sita nisije kuwa kituko kwenye jamii? Ndio maana nikasema kila mtu ana namna yake ya kuendesha familia kutokana na aina ya mke/mume aliyenae.