Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Ada kulipa mpaka January,huwezi nikosesha ada,mishe zangu nashika mwenyewe,mamaangu mdogo kabisa ana miaka 60
Kumbe mwanafunzi maskini. Sasa kosa sio letu ukazaliwa kwenye kipochi cha kuuzwa basi unatukana tukana tu wanawake unadhani wote ni kama ulikotoka. Em lala mapema uote njozi za kubalehe. Acha baba zako na mama zako tuchoshane uwanjani. Alaa
 
Kama humo kuna wa kike unasomesha wa nini. Kamtoe haraka asije akaja kuwa mjeuri kwa mumewe.
Kwani unafikiri ujeuri unaotokana na elimu!!..mama yao kanizidi elimu lakini si jeuri,anajua majukumu yake,mistari yake,ukiwa na elimu ya mazingira,elimu ya dini na hekima mbona unakua mke Bora,yaani nawahi kurudi home niongee na wife,very wise,friendly and wifely
 
Kwani unafikiri ujeuri unaotokana na elimu!!..mama yao kanizidi elimu lakini si jeuri,anajua majukumu yake,mistari yake,ukiwa na elimu ya mazingira,elimu ya dini na hekima mbona unakua mke Bora,yaani nawahi kurudi home niongee na wife,very wise,friendly and wifely
Wa humu jf msiowajua wanawatoa jasho. Kama sio uoga ni nini. Mtu hujasoma comments ukaelewa tayari ushaparamia na matusi. Wanaume wanaojiamini na wenye wake waliosoma na wenye utashi wanajua tunaongelea nini. Wenye mabwanyenye waliowafuga ndani wanapanic wanawaita mafeminist. What a shame.

Sasa wewe umekuja umeparamia hata hujamsoma vizuri mtoa mada. Hataki hata huyo mkewe ajishughulishe kisa asije akamdharau. Na anasisitiza kabisa hakikisha mkeo hajakuzidi kwa chochote lazima akudharau. Wewe unaleta maneno yako eti mkeo kakuzidi elimu eti unarudi uwahi kumsikiliza. Nyie tu wenyewe kwa wenyewe mnakinzana. Hamjui nini mnataka exactly. Mkijielewa undeni vikundi viwainue msiwe na inferiority complex kwa wanawake
 
Wa humu jf msiowajua wanawatoa jasho. Kama sio uoga ni nini. Mtu hujasoma comments ukaelewa tayari ushaparamia na matusi. Wanaume wanaojiamini na wenye wake waliosoma na wenye utashi wanajua tunaongelea nini. Wenye mabwanyenye waliowafuga ndani wanapanic wanawaita mafeminist. What a shame.

Sasa wewe umekuja umeparamia hata hujamsoma vizuri mtoa mada. Hataki hata huyo mkewe ajishughulishe kisa asije akamdharau. Wewe unaleta maneno yako eti mkeo kakuzidi elimu eti unarudi uwahi kumsikiliza. Nyie tu wenyewe kwa wenyewe mnakinzana. Mkijielewa undeni vikundi viwainue msiwe na inferiority complex kwa wanawake
Itakua humjui feminist...mi sijakuoa tushindane/bishane,Kama unataka kubishana na wanaume wajomba zako wapo,baba wadogo,kaka..kabishane nao hao,kimsingi kwa Sasa mke wangu ni kuzaa na kulea,namshirikisha kwenye shughuli za familia,nisije anguka asijue pa kuanzia,mishe anazijua in out
 
Kuna rafiki yangu ofisini akikuskia unasema unapenda kuwa submissive anakushangaa eti. Sijui wanaona ni weakness ila unaweza kuwa msomi na majukumu ya mume ukafanya pia
Siku hizi the term that is used is "cooperative" instead of " submissive".
 
Itakua humjui feminist...mi sijakuoa tushindane/bishane,Kama unataka kubishana na wanaume wajomba zako wapo,baba wadogo,kaka..kabishane nao hao,kimsingi kwa Sasa mke wangu ni kuzaa na kulea,namshirikisha kwenye shughuli za familia,nisije anguka asijue pa kuanzia,mishe anazijua in out
Ndo maana nakwambia wewe unakinzana kimawazo na wenzako ila ulikuja kwa kutukana just because umekuta watu wanatukana wanawake ukaparamia the joy.

Wewe unasema unashirikisha mwanamke wako. Wenzio wanasema mwanamke hatakiwi kushirikishwa chochote. Sijui mnataka nini.

Nyinyi wanaume ndo hamjui feminist ni nani. Mnadhani mwanamke yoyote anaechangia mada anabishana. Au anashindana na wanaume. Mko so negative.

Wewe pitia vizuri comments za wenzio. Furaha yao ni kutukana wanawake. Ukawaunga. Mmejidhalilisha wenyewe aisee. Comments zangu ngapi umeona nasema napenda kubishana na mume wangu.?! Au kwamba simuheshimu? Au kwamba nataka 50/50 nayeye. Kichaa mwenzenu mmoja anakuja na matusi kama punga yaani. Mara ooh hata akisema hawataki 50/50 ni wanafki. Yaani jema hakuna. Nyinyi mnachukia tu wanawake. As long as anapumua kwenu nyinyi tayari ni feminist. Mna safari ndefu sana. Usipojiamini watakudharau kweli.
 
Ndo maana nakwambia wewe unakinzana kimawazo na wenzako ila ulikuja kwa kutukana just because umekuta watu wanatukana wanawake ukaparamia the joy.

Wewe unasema unashirikisha mwanamke wako. Wenzio wanasema mwanamke hatakiwi kushirikishwa chochote. Sijui mnataka nini.

Nyinyi wanaume ndo hamjui feminist ni nani. Mnadhani mwanamke yoyote anaechangia mada anabishana. Au anashindana na wanaume. Mko so negative.

Wewe pitia vizuri comments za wenzio. Furaha yao ni kutukana wanawake. Ukawaunga. Mmejidhalilisha wenyewe aisee. Comments zangu ngapi umeona nasema napenda kubishana na mume wangu.?! Au kwamba simuheshimu? Au kwamba nataka 50/50 nayeye. Kichaa mwenzenu mmoja anakuja na matusi kama punga yaani. Mara ooh hata akisema hawataki 50/50 ni wanafki. Yaani jema hakuna. Nyinyi mnachukia tu wanawake. As long as anapumua kwenu nyinyi tayari ni feminist. Mna safari ndefu sana. Usipojiamini watakudharau kweli.
Kwa hivi unavyojenga hoja wanapukutika mmoja baada ya mwengine baada ya kujiona ni mataaira. Wanaume hawajui wanachotaka huyu nimemsoma mwanzo mwisho anachoelezea na wenzie wanachoelezea ni tofauti. Ila mwanzoni alikuja kukutukana utasema walienda kuitana. Wamejivua nguo tu kumbe mwanaume asipojiamini kwa mwanamke mtashi wanakuwaga kama mafala. Basi wanaume humu jf wanahesabika. Waliobaki ni wavulana wenye ndevu zilizokomaa. Wanadumaa na ujinga wao
 
Ndo maana nakwambia wewe unakinzana kimawazo na wenzako ila ulikuja kwa kutukana just because umekuta watu wanatukana wanawake ukaparamia the joy.

Wewe unasema unashirikisha mwanamke wako. Wenzio wanasema mwanamke hatakiwi kushirikishwa chochote. Sijui mnataka nini.

Nyinyi wanaume ndo hamjui feminist ni nani. Mnadhani mwanamke yoyote anaechangia mada anabishana. Au anashindana na wanaume. Mko so negative.

Wewe pitia vizuri comments za wenzio. Furaha yao ni kutukana wanawake. Ukawaunga. Mmejidhalilisha wenyewe aisee. Comments zangu ngapi umeona nasema napenda kubishana na mume wangu.?! Au kwamba simuheshimu? Au kwamba nataka 50/50 nayeye. Kichaa mwenzenu mmoja anakuja na matusi kama punga yaani. Mara ooh hata akisema hawataki 50/50 ni wanafki. Yaani jema hakuna. Nyinyi mnachukia tu wanawake. As long as anapumua kwenu nyinyi tayari ni feminist. Mna safari ndefu sana. Usipojiamini watakudharau kweli.
Nilisoma mada ya mtoa mada,nilipoku-quote nilikua sahihi kwa rhythm ya posts zako
 
Nilisoma mada ya mtoa mada,nilipoku-quote nilikua sahihi kwa rhythm ya posts zako
Ndo maana nakwambia hujazisoma ukazielewa. Ulizisoma
Ili uni- quote. Uje ujimwambafy. Nilikua nawajibu na wale wanaotukana tu wanawake bila sababu. Sasa unachosema wewe na anachosema mwenzio kwamba wanawake wote ni brainless hawatakiwi kukuzidi akili wala hatakiwi kufanya kazi kwasababu wataanza kukudharau. Wewe unaweza kumwachisha mkeo kazi kwa kuamini kwamba anavyofanya kazi anakudharau?
Ndo maana nakwambia hukuelewa.

You were reading to reply not to understand.
 
Personally, it's big turn off nikiona mwanamke ana opinions na wengi wao huwa ni ugly women. Mara nyingi huwezi kuta demu mzuri anaAct smart. Wanawake wazuri huact stupid infront of men, that is why wanawin kwenye aspect nyingi kuliko these ugly opinionated women.
 
Personally, it's big turn off nikiona mwanamke ana opinions na wengi wao huwa ni ugly women. Mara nyingi huwezi kuta demu mzuri anaAct smart. Wanawake wazuri huact stupid infront of men, that is why wanawin kwenye aspect nyingi kuliko these ugly opinionated women.
Big turn off kuona mwanamke ana opinion. So mwanamke aitikie tu. Useme unaenda ku bet na kunywa pombe kwa ela ya kiwanja aseme
Ndio mzee. Nashukuru sina mume kama wewe na huwezi kua na mke kama mimi.

Leo tena mmehama kwenye point yenu ya kwamba wanawake wazuri hawaolewi wanaolewa wabaya😹😹😹 hao unaosema wanaact stupid hawaact ni kweli ndo walivyo. Mtu smart anaejiact anajulikana unless kama na wewe ni stupid mwenzao unashindwa kutofautisha.

Kwa sasa hakuna cha kuturudisha nyuma. Endeleeni kuoa wanawake wa ndio ndio kama mbuzi wa kafara. Mngekua hata mnatulia kwenye hizo ndoa ambazo wanawake mnawafuga hawarahusiwi hata kuguna. Ndo kwanza mnawapelekea na ukimwi juu. Mxiew
 
Big turn off kuona mwanamke ana opinion. So mwanamke aitikie tu. Useme unaenda ku bet na kunywa pombe kwa ela ya kiwanja aseme
Ndio mzee. Nashukuru sina mume kama wewe na huwezi kua na mke kama mimi.

Leo tena mmehama kwenye point yenu ya kwamba wanawake wazuri hawaolewi wanaolewa wabaya[emoji81][emoji81][emoji81] hao unaosema wanaact stupid hawaact ni kweli ndo walivyo. Mtu smart anaejiact anajulikana unless kama na wewe ni stupid mwenzao unashindwa kutofautisha.

Kwa sasa hakuna cha kuturudisha nyuma. Endeleeni kuoa wanawake wa ndio ndio kama mbuzi wa kafara. Mngekua hata mnatulia kwenye hizo ndoa ambazo wanawake mnawafuga hawarahusiwi hata kuguna. Ndo kwanza mnawapelekea na ukimwi juu. Mxiew
Ugly women mara nyingi mna Big Ego which is driven by frustration, i hate to say nachukia wanawake wenye Opinions, huwezi kuta mwanamke attractive mwenye opinions, it's like insecurity i think ni defense mechanism mliyonayo, sitamani ht ofcoz i dont associate with women like you.
 
Ugly women mara nyingi mna Big Ego which is driven by frustration, i hate to say nachukia wanawake wenye Opinions, huwezi kuta mwanamke attractive mwenye opinions, it's like insecurity i think ni defense mechanism mliyonayo, sitamani ht ofcoz i dont associate with women like you.
Hata sisi, we don’t associate ourselves with loosers. Una inferiority complex kwa kuamini mwanamke mwenye opinion ni mjuaji. Wewe ni muoga na unatishika na mwanamke mwenye confidence. Jiamini mwanaume ili usiitwe mwanaume kwa sababu ya jinsia tu bali matendo, sasa kati ya sisi wenye opinions na nyie msiotaka mwanamke mwenye opinion nani yuko insecure??

So kama mko ofisini na mwanamke ni bosi unataka akulambe matako ili ujione mwanaume. Fala nini
 
Mwanamke na mwanaume hawawezi kuwa sawa na huo ndio uhalisia, kila mtu atimize majukumu yake, manamke atabaki kuwa ni mlezi wa familia na mwanaume atabaki kuwa nguzo ya familia.

Ibaki kuwa hivyo
Wee binti umeolewa?. Lkn pia usisahau wapuuzi wapo jinsia zote. Asiyetimiza wajibu asivumiliwe!
 
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Dada zangu wachaga soko lenu linaenda kuporomoka kwa akili kama hzi, ata sisi kaka zenu tunawakacha , eti kishoia nyie ndo mnapenda vishoia ili muwapande , kampen ni moja moshi inaenda kuwa na wenye trako hamtaamin
 
Dada zangu wachaga soko lenu linaenda kuporomoka kwa akili kama hzi, ata sisi kaka zenu tunawakacha , eti kishoia nyie ndo mnapenda vishoia ili muwapande , kampen ni moja moshi inaenda kuwa na wenye trako hamtaamin
Sasa mwanaume mzima anaongelea tako? Seriously? Alafu mnataka muheshimiwe. Mbona wenye matako hamuwaoi mnawatumia kwenye mabaa mnawashindisha guest mnawafanya michepuko ila hamuwaoi. Kila mtu anasema anataka mwenye elimu na uwezo wa kujihudumia. Ndo maana marioo mmejazana kama vindege. Nilichogundua jf ina wapumbavu wengi saana.
 
Back
Top Bottom