Sipendi ugali kabisa na ninaishi


MWANAPROPAGANDA MUQAWAMMA WA SHIA KWA UPANDE WA AFRIKA MASHARIKI.
 
Nashukuru sana Nyerere alitokea kwa Mara kwa wakurya (Ingawa yeye ni mzanaki). La sivyo tungechelewa sana kupata uhuru hii nchi hawa wanaume soft wasingeweza kumkoromea muingereza
 
Inapigaje marufuku chakula Cha masikini kwenye nchi ya kimasikini
 
Ni akili hauna au


Chips Ina nguvu kuliko ugali hapo nachukulia ugali gram 200 na chips gram 200
Unasema nini wewe unajua source kubwa ya energy kwenye mwili inatoka kwenye vyakula vya carbohydrates ambayo inatengeneza glucose we komaa kupiga mafuta Uongeze makalio na maradhi ya moyo
 
Mzee wangu hapendagi maharage na sio kwamba ana asaz...

Mzee sabb ya kusoma boarding na kupitia jeshini alichukia sana maharage so mzee wangu hakupenda mboga ya maharage hasa hasa usiku.....

So kwetu mboga ya maharage ilikua ni WANTED
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
huu nao ni uzi? Km huna cha kuandika si bora ulale ili ufiche upumbavu wako?
 
Mi paka wangu nikipika ugali hali kabisa sijajua unamfanyaje
kWa afrika paka huwa hawali wakashiba maana familia nying huwa naona wanawapatia mabaki ya vyakula ambayo unakuta hakuna kitu anachoweza kula humo mpaka kushiba

Ndo maana wengine huanza kuwa na tabia ya kudokoa mboga
 
haha kwa sababu una mambo mengi kichwan
hata ukila huwez furahia
Asbh,
soseji mbili na mayai mawili ya kuchemsha na tende mbili na karanga kiganja kimoja...
Nashushia maziwa au natural juice au artificial I.e Ceres au Azam mango...

Mchana,
Wali au ugali Ina depend na mood ya siku iyo...
Maji lita Moja

Usiku,
Ugali au wali na nyama au kuku au samaki au dagaa au chair fire au maini

Hii ndio Recycling sio Siri inachosha hii Recycling

Ingependeza tupate mawazo tofaut tofaut ya kupangilia mlo 😊😊😊😊
 
huu nao ni uzi? Km huna cha kuandika si bora ulale ili ufiche upumbavu wako?
Kwaio mkuu kwanini umefungua Uzi na kutumia Caroline zako kukoment

Currently
Nilikuja kugundua Lemutuz alikua na akili sanaaa
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…