Ndio ilivyo Mkuu. Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/= ila ndio nakapaka zaidi ya miezi mitatu maana napaka kidogo mnooo na haibadili muinekano zaidi ya kung'arisha.Kumbe ndio ipo hivyo, wengine wananunua tu
Umeonaeee. Wengi wanakosea hapo na ndio sababu unakuta Mbagala rangi tatu zinakuwa nyingi sababu kuu ni hiyo.
Mie naona waendage kwenye maduka makubwa ya Cosmetics huwa wanashauri kabisa kwamba makeup namba fulani ndio rangi ya ngozi yako. Ziko bei juu ila ni nzuri na haziondoi uhalisia wa mtu.
Nakazia na mie. Wasituchoke. πππ
Ahsante mwaya. πππumetoa ushauri 'kuntuu'my dear!sio mamekup ya 10000/ lazima uwe mbagla rang 3!Kifupi ushauri wako kwa wanawake UMEDAMSHI
Aiseee wengine tunapakaga ronya za elfu 5 ndo mana tunakua mbagala rangi tatuNdio ilivyo Mkuu. Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/= ila ndio nakapaka zaidi ya miezi mitatu maana napaka kidogo mnooo na haibadili muinekano zaidi ya kung'arisha.
View attachment 867822
Kama ako japo sio aina hiyo. Ni mfano tu wa ako kakopo ukubwa wake.
Nini...?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hatuachiiii ng'ooo
Ndioooo[emoji23] [emoji23]Nini...?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Rashes lazima!Ahsante mwaya. πππ
Kabisaaaa hizo za 10000 nyingi ni za kisanii japokuwa wanaopaka wanaeza sema sio. Na hazichelewi kuwaletea vipele na kuharibu nyuso zao.
Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/=
Kwani hujaanza tu bado kumnunulia moneytalk?Ngoa nifunge mkanda sawa sawa, maana hali si shwari kwenye kupendezesha mtu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nasikiaga wanasema na nzuri zipo pia mdogo wangu. Hiyo rangi tatu inaletwa na kama sie wa rangi ya kawaida kupaka ya mtu mweupe mara mweusi ila ikiwa ya rangi yako wala hizo rangi tatu haziwezi kuwepo mdogo wangu.Aiseee wengine tunapakaga ronya za elfu 5 ndo mana tunakua mbagala rangi tatu
Kikubwa tu kama usiku ulikuwa kidot, asubuhi uwe hivyo hivyo.Ndioooo[emoji23] [emoji23]
Hatuachi
πππ yabidi ujifunge hasaaa mdogo wangu.Ngoa nifunge mkanda sawa sawa, maana hali si shwari kwenye kupendezesha mtu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mkanda nishafunga hapa najitahidi niukaze zaidi ili nipate matokeo chanya...[emoji2] [emoji2]Kwani hujaanza tu bado kumnunulia moneytalk?
πππππ huyo jamaa naye ni kiboko.Kuna mdau mmoja humu alileta kisa baada ya kuchukua mwanamke Baa na kwenda kujinufaisha kimwili kwa siku husika.
Ilipofika asubuhi mambo yakawa yamebadilika kwa yule mwanamke kuhusu uzuri wake wa usiku.
Jamaa alitoka nje na kumuacha ndani, aliporudi akawa hamuoni yule mwanamke ndani halafu nje alimpita mwanamke mwingine(ambaye ndio yeye)
Alipotoka nje tena akaanza kumuulizia yule mwanamke anbaye ndio yeye kuwa umemukna fulani? Hakujua ndio yeye maana alirejea kwenye sura yake halisi tofauti na ile fake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanawake tuhurumieni, kama ni mjini mshatuingiza vyakutosha...
Kweli dada lakin bora hizo za bei ghali unakua na uhakika...kizuri gharamaNasikiaga wanasema na nzuri zipo pia mdogo wangu. Hiyo rangi tatu inaletwa na kama sie wa rangi ya kawaida kupaka ya mtu mweupe mara mweusi ila ikiwa ya rangi yako wala hizo rangi tatu haziwezi kuwepo mdogo wangu.
Nawekaga hela yangu kabisaaa maana nikikanunua ako nakaa nacho mpaka nasahahu na maumivu ya hiyo hela hata siyapati.
Umeolewa??Shunie , ukhuty , Mzigua90 , Madame B , Numbisa , Mama Sabrina , Raynavero , maliyamtu , Ulweso , mumu , espy , Heaven Sent, witnessj, Beef Lasagna na wengineo wengi mje jamaani kama na nyie mnatumiaga hii kitu.
Mie jamaani nisiwe mnafki napaka ila kidogo mnoo. Na haiondoi uhalisia wa ngozi yangu.
Kweli kabisa na cha zaidi uso unakuwa soft hasaa.Kweli dada lakin bora hizo za bei ghali unakua...kizuri gharama
Hizi za elfu 5,10...nyingi fake