Siri ipi iliyojificha kati ya 'Space and Time' kwa kutumia 'Relativity Theory' ya Albert Einstein?

Siri ipi iliyojificha kati ya 'Space and Time' kwa kutumia 'Relativity Theory' ya Albert Einstein?

The twin paradox proves this to be true.
Mapacha wawili waliozaliwa siku moja, mmoja anasafiri kwenda anga za mbali akiwa kwenye chombo chenye kasi ya mwanga. Anaondoka hapa duniani akiwa ana umri wa miaka X na hivyo kumwacha pacha wake naye pia akiwa na umri huo huo wa miaka X.

Huyu msafiri anasafiri kwa muda wa miaka 100 bila kutua popote na hatimaye kurudi tena hapa duniani, akimkuta mwenzake alishafikisha miaka 100+X, huku yeye akiwa na umri wa miaka isiyozidi 40!

Hawa watu walizaliwa siku moja lakini leo mmoja ana miaka zaidi ya 100 na mwingine ana miaka chini ya 40. TIME DILATION

Hiki kitu kipo na kinawezekana, tatizo tu lipo kwenye utaalamu wa kuweza kutengeneza chombo chenye uwezo wa kusafiri kwa kasi ya mwanga na mwanadamu akaweza kukaa na kusafiri kwenye chombo cha aina hiyo bila kudhurika

Ni kama ilivyo kwenye effect ya g (acceleration due to gravitaty) kwenye free fall. Jiwe la tani 100 na unyoya wa kuku vyote vinaweza kudondoshwa kutoka juu umbali ulio sawa KWENYE VACUUM na vyote vikatua chini kwa wakati mmoja. Hii haina shaka wala ubishi kwa sababu tayari iko PROVED. Ni kwa sababu for free fall of bodies, the velocity of a body is independent of its MASS.

hapa relativity inafanya kazi.

kwamba speed =distance/time,itategemea unachokipima unakiangalia ukiwa umekaa wapi??

aliye nje ya dunia anahesabu tofauti ya mwaka ukilinganisha na aliyepo duniani,jinsi anavyozidi kuacha jua ndivyo anamaliza miezi 12 kwa tabu zaidi.

sijui nawaza vibaya!!!!
 
Mkuu hauwezi kurudi kwa past labda usafiri zaidi ya spidi ya mwanga.

Na hakuna kitu chenye mass kinaweza kusafiri kwa spidi ya mwanga.

Hakuna kitu chochote kinaweza kuvuka spidi ya mwanga

Ukisafiri kwa spidi ya mwanga, muda unasimama.

Yani mfano wewe ukisafiri kwa spidi ya mwanga kwa miaka billioni moja halafu ukasimama...Wewe utaona ni kufumba na kufumbua haijachukua hata sekunde.
Tatizo ni kwamba utasafiri kwenda wapi[emoji848]
 
Tatizo ni kwamba utasafiri kwenda wapi[emoji848]
Ulimwengu ni mkubwa sana.
Kuna mabillioni ya galaxies.
Na kwenye hii galaxy nyumbani tuliopo tu (milky way), mwanga unatumia miaka laki 1 kusafiri kutoka upande mmoja kwenda mwingine.
 
Mtaalamu Albert Einstein kaacha maswali mengi kuliko majibu kupitia Three dimension (3D) theory, Einstein anasema kwamba kitu chochote kinachokwenda katika mwendo kasi kitaloss gravitation na kucover large space at short time.

Na Ndipo hapa suala la space and time linaleta sintofahamu. Ukitumia speed kubwa sana kuikaribia speed ya mwanga kifizikia 3×10^8m/s una uwezo wa kurudi nyuma ya MUDA(TIME).

Anasema basi mwanadamu atakua na uwezo wa kwenda at the PAST (TIME TRAVELER).

Wataalamu wa Anga na fizikia inawezekanaje hili Jambo kwa dunia ya Sasa? Kuna Siri gani?
Time ni nn!??
Ukijibu hilo swali basi inawezekana.
Ukisoma kitabu cha stephene Hawk na kile Reality is not real kuna concept nyingi za future science kwenye cosmology kitabu kimeelezea mpaka mwanzo wa mda na before big bang kulikuwa na nn, kuna promising kubwa majibu yatapatikana.
Pia kimeeleza mpaka ulimwengu ni duara ya 4d ukisafiri in straight line utarudi pale pale
 
Naomba niulize hicho chombo chenye spidi ya mwanga kitakua kinatumia mafuta,gesi au umeme?
 
Mtaalamu Albert Einstein kaacha maswali mengi kuliko majibu kupitia Three dimension (3D) theory, Einstein anasema kwamba kitu chochote kinachokwenda katika mwendo kasi kitaloss gravitation na kucover large space at short time.

Na Ndipo hapa suala la space and time linaleta sintofahamu. Ukitumia speed kubwa sana kuikaribia speed ya mwanga kifizikia 3×10^8m/s una uwezo wa kurudi nyuma ya MUDA(TIME).

Anasema basi mwanadamu atakua na uwezo wa kwenda at the PAST (TIME TRAVELER).

Wataalamu wa Anga na fizikia inawezekanaje hili Jambo kwa dunia ya Sasa? Kuna Siri gani?

kuna mtu anaitwa Stephen Hawking ni mwingereza ameeleza vizuri sana kwenye nadharia zake ie black holes na Hawking radiation kuhusu kasi, muda na uvutano
 
Kutravel 'Slightly beyond the speed of light' sasa haiwezekani.
Kumbuka nothing can travel through space with a speed greater than that of light.
So kurudi past Haiwezekani.
Lakini space yenyewe inaexpand kwa spidi kubwa kuliko mwanga. So hata sisi space inatusafirisha jwa spidi kubwa kuliko mwanga.
You are very right!
Our relative speed with respect to that of the expansion of the UNIVERSE is zero; whereas the speed of the later with respect to that of light is X-c; where X is the speed of the rate of expansion of the UNIVERSE (in persec)and c is the speed of light
Thus our relative speed with respect to that of the universe is X-X=o. To be able to travel slightly beyond/ beyond the speed of light, we will need to break first the barrier of Einstein 1905 theory of relativity
Kumbuka pia kuwa pamoja na kwamba hii theory imekaa unchallenged for more than a century now; si ile iliyosababisha akapewa Nobel Prize ya Physics mwaka 1921. Kilichosababisha akapewa Nobel Prize ni THEORY OF PHOTO-ELECTRIC EFFECT ambayo sasa hivi imesababisha maeneno yasiyokuwa na umeme kuwa na umeme wa solar
Wataalamu wetu kweye SPACE STATION nao pia huwa wanatumia umeme wa Solar muda wote. Kwa kweli watu wengine huwa wanazaliwa na vichwa vya ajabu sana
 
Katika theory za physics ambazo sijawahi kuzielewa zimekaa kiimani zaidi ni hii ya relativity
Gari mbili zinazosafiri zikiwa sambamba na kwa kasi iliyo sawa, wewe ukiwa mmojawapo wa abiria kwenye mojawapo ya gari hizo; gari hizo zitaonekana kwako kuwa zimesimama wakati in reality zinakimbia, tena kwa kasi kubwa

Kwa yule aliye nje ya gari hizo ambaye si mmojawapo wa abiria, ataziona gari hizo zinakimbia zikiwa sambaba, ila zinakimbia kwa kasi fulani. Tuseme kwa mfano, gari hizo zinakimbia kwa kasi ya km 80 kwa saa, aliye nje atapima na kuziona zinakimbia kwa kasi hiyo wakati wewe uliye ndani, utaziona hazitembei, zimesimama
 
Hakuwa kwenye past. Time kwake ilikuwa inamove slowly lakini sio kurudi nyuma.
Kwenda past ni pale time inarudi nyuma, yani miaka inarudi nyuma.
Uko sahaihi kabisa, ila ikitokea sasa chombo anachosafirira kika-break the barrier ya Theory of Relativity, ndiyo sasa unachokiongelea hapa kinatokea.

Alikuwa hajarudi nyuma ndiyo ila alikuwa yupo kwenye mchakato huo na barrier yake kwa wakati huo ilikuwa ni speed ya chombo kile alichokuwa anasafirira
 
Impossible is possible mkuu ata hapa tulipofikia Kuna watu walisemaga haiwezekan ,labd limit itakua ni technology tu na knowledge miaka 1000 mbele ,kwa kizazi Chao watakua wamemodify vitu atleast
Watu huwa wanachanganya sana kati ya vigumu na visivyowezekana; there are difficult things but possible
 
Uko sahaihi kabisa, ila ikitokea sasa chombo anachosafirira kika-break the barrier ya Theory of Relativity, ndiyo sasa unachokiongelea hapa kinatokea.

Alikuwa hajarudi nyuma ndiyo ila alikuwa yupo kwenye mchakato huo na barrier yake kwa wakati huo ilikuwa ni speed ya chombo kile alichokuwa anasafirira
Watu huwa wanachanganya sana kati ya vigumu na visivyowezekana; there are difficult things but possible
Nyie ndio mnachanganya...hii sio ngumu ni impossible.
You can not travel through space faster than light hiyo ni sheria ya ulimwengu tunaoishi.
Hiyo sheria ndio imefanya matter na energy kuexist.
Kungekuwa hakuna speed limit, kusingekuwa na causality na ulimwengu tunaoujua na kuupenda usingeform.
 
The twin paradox proves this to be true.
Mapacha wawili waliozaliwa siku moja, mmoja anasafiri kwenda anga za mbali akiwa kwenye chombo chenye kasi ya mwanga. Anaondoka hapa duniani akiwa ana umri wa miaka X na hivyo kumwacha pacha wake naye pia akiwa na umri huo huo wa miaka X.

Huyu msafiri anasafiri kwa muda wa miaka 100 bila kutua popote na hatimaye kurudi tena hapa duniani, akimkuta mwenzake alishafikisha miaka 100+X, huku yeye akiwa na umri wa miaka isiyozidi 40!

Hawa watu walizaliwa siku moja lakini leo mmoja ana miaka zaidi ya 100 na mwingine ana miaka chini ya 40. TIME DILATION

Hiki kitu kipo na kinawezekana, tatizo tu lipo kwenye utaalamu wa kuweza kutengeneza chombo chenye uwezo wa kusafiri kwa kasi ya mwanga na mwanadamu akaweza kukaa na kusafiri kwenye chombo cha aina hiyo bila kudhurika

Ni kama ilivyo kwenye effect ya g (acceleration due to gravitaty) kwenye free fall. Jiwe la tani 100 na unyoya wa kuku vyote vinaweza kudondoshwa kutoka juu umbali ulio sawa KWENYE VACUUM na vyote vikatua chini kwa wakati mmoja. Hii haina shaka wala ubishi kwa sababu tayari iko PROVED. Ni kwa sababu for free fall of bodies, the velocity of a body is independent of its MASS.
Mkuu napenda sayansi ila hii story nadhani iko uku bongo tu alienda wap akat mwanadanu hajawai safiri zaid ya 2second of speed of light ambao ni umbali wa dunian na kwenye mwezi uyo alienda wapi na kwa chombo gani? Hii ni nadhalia tu
 
Nyie ndio mnachanganya...hii sio ngumu ni impossible.
You can not travel through space faster than light hiyo ni sheria ya ulimwengu tunaoishi.
Hiyo sheria ndio imefanya matter na energy kuexist.
Kungekuwa hakuna speed limit, kusingekuwa na causality na ulimwengu tunaoujua na kuupenda usingeform.
Hapana inaweza ikawa siyo impossible milele. Ni poossible kama itakuja kutokea kwenye utafiti, theory nyingine ambayo ita-break barrier ya theory ya 1905 ya Einstein

Kuna kipijdi watafiti wamewahi ku-observe particles ambazo walidhani kuwa zina speed kubwa kuliko ya mwanga lakini baadaye walipokuja kuangalia energy spectrum yake ikawa iko sawa na ile ya mwanga na hivyo waka-conclude kuwa walikosea kwa sababu particle mbili zenye speed tofauti haziwezi kuwa na energy iliyo sawa
 
Back
Top Bottom