Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kaka hivi moudytunechi anaweza kutuambia kwa nini rainbow inakuwa na shape ya sphere? Na sio line moja tu kama inavyokuwa kwa zile ndege zinazosafiri umbali mrefu?
Kwanini anga ina umbo kama la duara?

Je anga nalo ni duara?

Hao hao wataalam unaowasikiliza wanasema kuwa unaona duara ya anga kama duara kutokana na macho yako tu lakini haipo hivyo.Lakini linapokuja suala la kuona mbali na kuibuka kwa meli wanasema ni kwasababu ya duara tufe ya dunia,ajabu kabisa hii.....
 
Wanasema kuwa dunia inazunguka na atmosphere yake hivyo kama ndege ikiganda itajikuta iko pale pale kwasababu nayo itakuwa inazungushwa na dunia kwasababu iko ndani ya atmosphere.....

Lakini hii bado ni dhana tu kwakuwa hakuna ushahidi wowote wa kueleweka wa dhana hii.....
 
Soma thread ina majibu ya kijiswali chako hiki acha uvivu....
 
Yaani unashindwa tu kujua kuwa hicho kifaa kina limitation ya uwezo wa kuona mbali?

Je hicho kifaa unachotumia kina uwezo wa kuona umbali upi?

Unataka kutumia kifaa cha kuonea umbali wa maili 2 uone umbali wa maili 10 itawezekanaje?

Hata jambo dogo kama hili umeshindwa kujielewa?
 
Mi naona hawa wasomi wanatuzingua tu kwa sababu hata huo muhimili ulioshikilia dunia hata cjui unapatikana maeneo gani ya Dunia hii
 
Mi naona hawa wasomi wanatuzingua tu kwa sababu hata huo muhimili ulioshikilia dunia hata cjui unapatikana maeneo gani ya Dunia hii
Mhimili ni neno tu linalowakilisha nguvu ya mvutano ambayo haionekani......

Nadhani hii siyo hoja nzuri kabisa.....
 
Mi naona hawa wasomi wanatuzingua tu kwa sababu hata huo muhimili ulioshikilia dunia hata cjui unapatikana maeneo gani ya Dunia hii
Hizi ni akili mbaya sana kwa maendeleo ya taifa, hivi unategemea kuwa kuna "physical axis" imeshikilia dunia??
 

Nimeelewa maandiko yako lakini sikubaliani nayo.


Duh, "kaka" sijui upeo wako wa uelewa, ila naona ngoja niachie hapa.
You are defying science with some irrelevant, unproven evidences that the planet earth is not spherical.
Suala la dunia ni duara ya cd kama unavyodai ndivyo nilivyo kuelewa (kama picha ya mleta uzi juu hapa nimeambatanisha) na bado sikubaliani nalo. Hapo ni wewe ndie umeshindwa kunielewa!! Suala la darubini ndio maana nimesema hata darubini kali bado zenji hautaoona, aliyekwambia mwisho wa uwezo wa darubini ni maili 2 ni nani?? wewe kusema kuwa kwa naked eyes zenji huioni ila wanasema kwa darubini unaiona, ni nani kasema hivyo au unaongeza ukubwa wa goli ufunge kiurahisi??
Common sense pia itumike mkuu!
You are playing devil's advocate to spice up the topic but the truth is very obvious, just common sense!
The earth flat society hata upatikanaji wa usiku na mchana haujajitosheleza!!
 
Kwa hyo hilo bara la Antractica limezunguuka dunia nzima.. Maana kama ni duara ukingo hauwezi kuwa sehem moja ya dunia!
Nasema hivyo kwa ajili ya route ya australia na bara la south america... north pole likewise ni hivyohivyo
 
View attachment 429652

Nimeelewa maandiko yako lakini sikubaliani nayo.
Sawa......

Kutokubaliana na maandiko yangu ni haki yako ya msingi,hapa hatuangalii unakubali au haukubali isipokuwa ni kwanini hukubaliani na hayo maandiko yangu.....
Duh, "kaka" sijui upeo wako wa uelewa, ila naona ngoja niachie hapa.
You are defying science with some irrelevant, unproven evidences that the planet earth is not spherical.
Hakuna mahali popote nilipoielezea sayansi kwenye maelezo yangu isipokuwa nimeelezea hali halisi,hali halisi inaweza kuwa ni sayansi kwa sehemu tu na inaweza ikawa siyo sayansi kwa sehemu kubwa.Makosa yako ni kuanza kufikiri namna hii.....
Unasoma maandiko yangu huku unaongozwa na mihemko,nitakueleza ni kwanini nakuambia hivyo....

Hakuna mahali nimesema kuwa mwisho wa darubini ni maili 2 isipokuwa nimekuambia kuwa huwezi kutumia darubini yenye uwezo mdogo kutaka kuona sehemu inayohitaji darubini yenye uwezo mkubwa na nikatoa mfano wa umbali wa maili 2.Wewe umesema "hata ukitumia darubini 'kali' kiasi gani huwezi kuona",hivi Zenji kuna umbali upi? unajua darubini ya uwezo wa juu zaidi iliyoko duniani ni ya uwezo upi?

Ushawahi kuitumia?

Unahemkwa hadi unashindwa kuzingatia vitu vidogo kama hivi kwenye maandiko yako....
wewe kusema kuwa kwa naked eyes zenji huioni ila wanasema kwa darubini unaiona, ni nani kasema hivyo au unaongeza ukubwa wa goli ufunge kiurahisi??
Common sense pia itumike mkuu!
Kwa logic ya kuiona meli ambayo huioni kwa macho yako inashindikana nini kuiona Zenji?
You are playing devil's advocate to spice up the topic but the truth is very obvious, just common sense!
Usijali,soon utajua ni nani kati yangu mimi na wewe anayeifanya kazi ya Shetani,nadhani hata Shetani humjui wewe.....
The earth flat society hata upatikanaji wa usiku na mchana haujajitosheleza!!
Kivipi?
 
Duh, mbona unaandika kwa mihemko kiasi hiki mkuu?? Kuna nini??
Ishu hapa nibkwamba hatujakubaliana kimtazamo, mfanyakazi wa shetani anatoka wapi tena!!
Tufanye "nimekuelewa", case closed kati ya mimi na wewe, HAPPY NOW??
Cheerz!
 
Duh, mbona unaandika kwa mihemko kiasi hiki mkuu?? Kuna nini??
Ishu hapa nibkwamba hatujakubaliana kimtazamo, mfanyakazi wa shetani anatoka wapi tena!!
Tufanye "nimekuelewa", case closed kati ya mimi na wewe, HAPPY NOW??
Cheerz!
Kaazi kweli kweli......
 
Mtoa post mim niljua nawewe umefanya utafit wako binafsi nakuja na ushahid kamil kuthibitisha ilo ila naonà umekot tu hao hao wazungu wenye mtizamo tofaut na wale wanaosema dunia ni duara.Na wanaosema dunia ni duara wanahoja zaid maana wanasema kitu kinachofikirika ata kwa akil ya kimaskin ambao hatuwez kwenda uko anga ya juu nakupiga picha ila tunaweza kwenda uchina ama amerika nakuona tofaut ya masaa na majira na wameleta angalau na picha ya dunia.Jambo jingine unaposema kuna vitu vinafichwa wakat aya mambo yote yako kwenye mitandao mtu yoyote dunian anaweza soma kama wewe ulivyosoma nakutuletea.Mim nikushaur kua badala yakuleta mawazo ya binadam wengine wabish wasio na uthibitisho kua dunia ni tambarare ungefanya kwanza nawewe tafit ili uje na kitu kipya zaid vinginevyo ngoja tuendelee kuamin wanaosema dunia ni duara.
 

Ukisimama juu ya mlima Kilimanjaro kuna kitu gani kinachozuia usiione misri? Au kuna mlima mrefu zaidi ya Kilimanjaro ambao unazuia? Dunia kuwa duara ndio Inatuzuia tusiione misri. Sio milima wala bonde.
Na mwanga wa blue sio mwisho wa macho yetu kuona labda mimi sijaelewa ulimaanisha nini. Ila ule ni mwanga tu wa jua ambao pia unatuzuia tusione nyota mchana, au wewe unajua mchana nyota huwa zinapotea ndo mana hatuzioni?..
 
Yani na wewe unamuamini kabisa...
Nyota hutoa mwanga ndo maana tunaiona... sayari ya mars hutoa mwanga ndo maana tunaiona...

Zanzibar na misri zingekuwa bondeni au kilimani ungeziona kama zingekuwa znatoa mwanga wa taa zake usiku...
Mars haitoi mwanga. Mars tunaiona kwasababu inamulikwa na mwanga wa jua ambao pia unamulika misri na Zanzibar. Tena dunia upo karibu na jua kuliko mars so dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi.
 
Dunia flat kama CD???... Hahahaaa... nacheka kwa dharau
 
Kaka hope unafahamu nini kinasababisha rainbow, reflection na refraction ya mwanga wa jua kwenye waterdrops, na rainbow inatokea duniani na since Dunia iko Spherical basi hizo droplets za maji zinafata hiyo spherical shape ya dunia na zinapopigwa na mwanga zinaonyesha hiyo round petern
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…