Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Jidanganye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuNitafanya hivi. Asante
Huwezi kuwa Tajiri bila kuwa na Mamlaka wewe kama unabisha bishaJidanganye
Anakumotiveti mkuu, chukua madini kayafanyie
Huwezi kufanya kwa njia zisizo z kawaida bila kuwa na Power power inakupa wewe ujasiri au uthubutu so ndo tunarudi Pale pale PowerUtajiri unakuja, kutokana na kufanya vitu vya kawaida kwa njia zisizo za kawaida na kukupa mafanikio makubwa; hizi njia ambazo si za kawaida, ndio tuzitafute ili nasi tuweze kuwa matajiri.
Vinginevyo, wote tungekuwa matajiri.
Ukiwa chini ya Mtu huna Power huna MamlakaKama ni hivyo ndugu zetu warangi wanaofanya kazi kwa wahindi wote wangekuwa matajiri.
unazungumzia power ipi? Nguvu ya kimwili/nguvu ya kiroho/nguvu ya namna gani?Huwezi kufanya kwa njia zisizo z kawaida bila kuwa na Power power inakupa wewe ujasiri au uthubutu so ndo tunarudi Pale pale Power
Hiyo power tunaipataje?Huwezi kufanya kwa njia zisizo z kawaida bila kuwa na Power power inakupa wewe ujasiri au uthubutu so ndo tunarudi Pale pale Power
Nazungumzia mamlaka ya Uthubuu ya risk takerunazungumzia power ipi? Nguvu ya kimwili/nguvu ya kiroho/nguvu ya namna gani?
Ninavyozungumzia Power nmaanisha Uthubutu au ujasiri sasa kama wewe hivi vitu huna ni tatizo na ndo mana sio kila mtu ni tajiriHiyo power tunaipataje?
Ninavyozungumzia Power nmaanisha Uthubutu au ujasiri sasa kama wewe hivi vitu huna ni tatizo na ndo mana sio kila mtu ni tajiri
Ninavyosema Power nazungumzia zaidi Nguvu ya uthubutu risk Taker