mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Na ww soma hapa ili ujue kwamba shetani nae ana Limited Power!;Soma mwanzo Mungu alivompa Adam mamlaka.. na kumbukumbu la Torati pia
Mathayo 4:8-9
8 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
9 akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.