mwalimu_wa_IT
Member
- Nov 5, 2024
- 93
- 165
- Thread starter
- #41
Kuna watu wanabisha mkuu .. Hongera sanaAsante mleta mada kwa andiko hili, kuna kitu nimejifunza.
Juzi kati nimefanya tukio fulani kwa kutumia nguvu kidogo kwa mwenye nguvu zaidi yangu na nikafanikiwa.
Kuna namna ukionyesha nguvu ya mamlaka iliyo ndani yako unabluwa mshindi .