Siri ya kuwa Tajiri na watu wengi sana hawaijui leo sasa nakuambia hii siri

Asante mleta mada kwa andiko hili, kuna kitu nimejifunza.

Juzi kati nimefanya tukio fulani kwa kutumia nguvu kidogo kwa mwenye nguvu zaidi yangu na nikafanikiwa.

Kuna namna ukionyesha nguvu ya mamlaka iliyo ndani yako unabluwa mshindi .
Kuna watu wanabisha mkuu .. Hongera sana
 
Ukisoma kitabu cha mwanzo Mungu alimpa Adam mamla ka Power ya kutawala na kuongoza kwa hyo binadamu outmatically ana Power na Mamlaka
 
Ili Uwe Tajiri!; Kwa Nguvu na Akili zako HUWEZI sababu ww ni Dhaifu lazima Utafute Nguvu ya ziada Toka Kwa MWENYEZI MUNGU au shetani!
Utajiri Unaopatikana na Nguvu za shetani Mwisho wake unakuwa Mbaya!
Utajiri Unaopatikana kutokana na Nguvu za MUNGU ni ENDELEVU!.....
 
Soma mwanzo Mungu alivompa Adam mamlaka.. na kumbukumbu la Torati pia
 
utajiri..
utajiri.

maana isiyo sahihi ya utajiri amabayo wengi tumeikariri...πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
"""Utajiri ni hali ya kuwa na mali nyingi au rasilimali za thamani, kama vile pesa, ardhi, biashara, au vitu vingine vya thamani""""


maana halisi ya utajiri...
utajiri hauhusiani tu na fedha pekee; unaweza kuwa wa maarifa, afya, uhusiano mzuri na watu, au hata furaha ya ndani.
Kila mtu anaweza kuwa tajiri kwa namna tofauti kulingana na vipaumbele vyake maishani.

jitahidi kupambana ili kuweza kumudu gharama za maisha yako.

Mtu awezaye kumudu gharama za maisha yake na familia yake pasi na bughudha basi huyu ndie tajiri
ndio yeye ni tajiri..
 
Mafanikio au utajiri ni siri.... hata wewe ukiigundua hiyo huwezi kuisema...

Matajari wengi wanasema wanafanya kazi kwa bidii, wanalala mapema nakuamka mapema, pia watakwambia wanapata muda wa kupumzika na wanamwomba Mungu. Hivyo vyote ni muhimu katika kusaka mafanikio hapa ulimwenguni lakini mbona watu wengi wanafanya hivyo na bado masikini au wana maisha ya kawaida tu?

Baadae katika utafiti wangu nikagundua pamoja na hayo wanayosema matajiri kama moja ya njia za mafinikio/utajiri lakini NIKAJA KUGUNDUA KWAMBA MAFINIKIO NI SIRI. HATA WEWE UNAE ANDIKA HIZO MBINU, UKIJA KUFANIKIWA HUTAKAA USEME ABADAN ASILANI, LABDA KAMA UNATAKA MALI ZAKO NA BIASHARA ZAKO ZIISHI, YAANI ZIWE ENDELEVU UTAMWABIA MTOTO/MRITHI WAKO AMBAE UMEMPIKA AMEIVA KIASI KWAMBA ANAJUA LIPI LAKISEMA NA LIPI HAPASWI KUSEMA.....

KIUFUPI NI HAYO TU .. KAMA MTABISHA SAWA TU...
 
Hakuna uhalisia wowote
 
La tatu uwe mwaminifu na mwadilifu. Mfano ukikopa mahali uwe tayari kutimiza ahadi ya kurudisha mkopo.
 
Utajiri siyo Hela tu unaweza kuwa tajiri wa mapenzi n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…