Siri ya kuwa Tajiri na watu wengi sana hawaijui leo sasa nakuambia hii siri

Soma mwanzo Mungu alivompa Adam mamlaka.. na kumbukumbu la Torati pia
Na ww soma hapa ili ujue kwamba shetani nae ana Limited Power!;
Mathayo 4:8-9
8 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,

9 akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.
 
Asante mleta mada kwa andiko hili, kuna kitu nimejifunza.

Juzi kati nimefanya tukio fulani kwa kutumia nguvu kidogo kwa mwenye nguvu zaidi yangu na nikafanikiwa.

Kuna namna ukionyesha nguvu ya mamlaka iliyo ndani yako unakuwa mshindi .
Weuwee hebu share kidogo tujifunze mkuu
 
Mkuu maana halisi ya utajiri ni hiyo uloitaja mwanzo yaani kumiliki vitu au mali. Huo utajiri mwingine sio rasmi na unaweza usionekane kirahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…