- Thread starter
- #21
Nani kasema ujamaa,tunataka sisi Waumini tujiulize hii michaango tunatoa ya mini?Tutafute tu hela, mambo mengine tutatoa lawama za bure.
Nchi ishakuwa ya kibepari hii, hakuna ujamaa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema ujamaa,tunataka sisi Waumini tujiulize hii michaango tunatoa ya mini?Tutafute tu hela, mambo mengine tutatoa lawama za bure.
Nchi ishakuwa ya kibepari hii, hakuna ujamaa tena
Kwa lugha nyingine masikini ambao nddio Yesu alokuwa anawatetea wanazidinkuongezeka Kwa mgongo was Kanisa lake🙄🙄Suluhisho ni kutafuta njia ya kupata ufadhili kwa watoto wa masikini wanaofaulu vizuri mitihani ya kujiunga na shule hizi. Bila kufanya hivi tabaka la masikini na matajiri litazidi kuwa kubwa.
Kuna kipindi tulihoji..hela ya ujenzi inaenda wap wakati sisi tumemaliza ujenzi?...Ni muda muafaka Sasa tuanke na kuhoji!
Toa mfano wa hiyo ada kubwa. Ninacho kifahamu mimi kuna watoto wazaxi wao wana pesa lkn watoto zero brain wameshindwa kusoma hizo shule.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Ninamaanisha tutafute mbinu za kuhakikisha watoto wa masikini wananufaika bila kupunguza thamani ya elimuKwa lugha nyingine masikini ambao nddio Yesu alokuwa anawatetea wanazidinkuongezeka Kwa mgongo was Kanisa lake🙄🙄
Msife mioyo. Masikini wote Ufalme wenu unawasubiri mbinguni baada ya kifo. Mbinguni = up above in the blue sky far and beyond the clouds.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Sa si ugome kuchanga? Umeshikiwa bunduki? Binafsi sichangi mchango wowote wa kanisa zaidi ya sadaka.Kama mnafanya biashara ,SI mfaanye biashara nyie matajiri ,sisi maskini mnatuchangisha za Nini!
Unajibu kama.umevimbiwa baada ya kula nje ya kaamba yako!😂😂
Na Hali ndio inauporomomosha UKRISTO DUNIANI ,inaonekana ni biashara TU!
Zinafaulisha wtoto waliofaili la saba wajati za kata zinachagua watoto wote waliofikisha wastani.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Aloo mimi siwezagi kutoa sadaka wakati sioni "mechanism" ya hiyo sadaka yangu kufika mbinguni.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Usivimbiwe ...kula kwa kiasi!Sa si ugome kuchanga? Umeshikiwa bunduki? Binafsi sichangi mchango wowote wa kanisa zaidi ya sadaka.
Nimevimbiwa nimetoka kula ugali na mbaazii
Usivimbiwe ...kula kwa kiasi!Sa si ugome kuchanga? Umeshikiwa bunduki? Binafsi sichangi mchango wowote wa kanisa zaidi ya sadaka.
Nimevimbiwa nimetoka kula ugali na mbaazii
Ninamaanisha tutafute mbinu za kuhakikisha watoto wa masikini wananufaika bila kupunguza thamani ya elimu
Nasali KKKT nimeshaacha kutoa sadaka ya mfuko wa elimu, tunachangia hela shule zenyewe hata hazifanyi vizuri kabisa, hazisikiki popote....go go shule za masister....Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Thamni ya Elimu SI kuwa na A 300 thamni ya Elimu ni pale inapomkomboa masikini!Ninamaanisha tutafute mbinu za kuhakikisha watoto wa masikini wananufaika bila kupunguza thamani ya elimu
Ni ipi hiyo[emoji23]Njooni kwenye dini yetu ubwabwa ni bwerere
Haamna lolote...woga TU huo!Nimesema wote mnaopinga kesho jmapili muende kuungama kwa Padiri,hiyo ni dhambi kubwa,mnataka kupingana na Viongozi
Mambo kama haya labda yaanzie kwenye jumuiya ndogo ndogo wapeleke malalamiko ngazi za juu ila sidhani km inawezekana maana kanisani kumejaa unafiki zaidi Kuliko utu.Usivimbiwe ...kula kwa kiasi!
Hili suala ni tete ,ni lazimaa tulijadili,hata kamma sio Mimi Kuna watu wanhitajinkukombolewa kutoka kwwnye huu Utumwa ,..Tusiogope vivuki vya dini zetu...Yesu aliwachapa viboko watu walio kuwa wanalichukulia poa Kanisa' la Mungu
Na sisi tuwachape viboko,na tupindue meza watu wanaofanya biashara kwa.mgongo was Kanisa
Pole Pole tunawezaMambo kama haya labda yaanzie kwenye jumuiya ndogo ndogo wapeleke malalamiko ngazi za juu ila sidhani km inawezekana maana kanisani kumejaa unafiki zaidi Kuliko utu.