- Thread starter
- #61
Hizo ni jargon mkuu...suala hapa hii miradi ya Kanisa ...Shule ,Hospitali haiwagusi Maskini ,ambao ndio pia wameiamzisha iwe kwa sadaka au michango!Tofautisha sadaka na michango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni jargon mkuu...suala hapa hii miradi ya Kanisa ...Shule ,Hospitali haiwagusi Maskini ,ambao ndio pia wameiamzisha iwe kwa sadaka au michango!Tofautisha sadaka na michango.
Ni jina tu lakini yote itahusisha pesa kwa namna moja au nyingine.Tofautisha sadaka na michango.
Inasikitisha ndani ya Jamii moja kuna Watoto wanasoma shule yenye miundo mbinu yote ya kumuwzsha Mtoto asome vizuri na wengine ndio hao wa kutebea kilpmita saba kila siku kwenda shule isiyo na hata robo ya miundo mbinu iliyokamilika kwa Mtoto kuapata elimu.Suluhisho ni kutafuta njia ya kupata ufadhili kwa watoto wa masikini wanaofaulu vizuri mitihani ya kujiunga na shule hizi. Bila kufanya hivi tabaka la masikini na matajiri litazidi kuwa kubwa.
KKKT ,nilitumia kamq mfano TU!Ingawa umejikita kwa KKKT lakini mimi nimeshakutana na hiyo adha pale nilipojaribu kumtafutia Mwanangu nafasi kwenye moja ya shule zinazisimamiwa na Kanisa Katoliki kupitia moja ya tawi lao la Masista.
Ada zipo juu sana na hata uombe vipi sidhani kama utapata bahati ya kusikilizwa.
Ninachojiuliza hizi shule si ndio zinapata 'ruzuku' kutoka Makanisa tunayoyatolea sadaka kila wakati wa Ibada?.
Hivi hizi shule zilizo chini ya Kanisa/ Masista/Mapadri n.k kwa nini zisiwe na uataratibu kama unaofanywa na Shule ya st Jude Arusha?.
Kwa hiyo ni lazima ,tuchukue hatua!Inasikitisha ndani ya Jamii moja kuna Watoto wanasoma shule yenye miundo mbinu yote ya kumuwzsha Mtoto asome vizuri na wengine ndio hao wa kutebea kilpmita saba kila siku kwenda shule isiyo na hata robo ya miundo mbinu iliyokamilika kwa Mtoto kuapata elimu.
Haya Makanisa na Taasisi yoyote ya Dini wajitafakari ni nini majukumu yao hapa Duniani...hiki kinachofanyika ni ubaguzi tu na hakuna tafsiri nyingine.
Kwani wana CCM masikini wananufaika nini na viwanja vya mpira ambavyo kwa wakati mmoja watanzania wote walichangia kuvijenga na sasa umiliki uko CCM?Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Tulia ustadhi mwenzangu ya wakatoliki na shule zao tuwaachie wenyewe sisi tuendelee kupambania bikra saba elimu dunia haina maana kwetu.
Kwani wana CCM masikini wananufaika nini na viwanja vya mpira ambavyo kwa wakati mmoja watanzania wote walichangia kuvijenga na sasa umiliki uko CCM?
Shule nyingi zilizoongoza na zinazomilikiwa hasa na kanisa katoliki si zao la moja kwa moja la michango ya waumini Bali kanisa limejenga kwa vyanjo vyake lenyewe.
Ukiangalia historia ya nchi hii elimu ililetwa na kanisa na shule nyingi zilikuwa zakanisa zikifundisha wanachi wote bure.....Wakati wa azimio la Arusha shule hizi zilitaifishwa na serekali ikaanza kuziendesha
Kanisa lilianza tena jenga shule zingine na mojawapo ni hizo zinazoongoza sasa...so kanisa katoliki limesaidia sana watanzania maskini kielimu na afya sidhani kama wanastahili lawama yeyote kwa status ya shule zao sasa.
Yawezekana ukawa kwako ukiristo ni huduma kama ngurumo za upako au hujui mchango wa ukiristo katika elimu na afya ya watanzania....makanisa ya Roman Catholic, Lutheran,Anglican n.k yamefanya makubwa katika kumsaidia mtanzania maskini.kielimu na Afya....sasa wenye jukumu la kutoa elimu bure ni serikali si makanisa..makanisa tayari yalishatekeleza hilo na serikali ikazichukua shule zao (za makanisa)Dini yetu ya ukristo imekaa kiupigaji zaid. sio elimu tu hata huduma zao zingine mfano za hospital ni gharama mno, dini ni baishara tu kama biashara nyingne.. ngoja maskin wafia dini watavyokuja kukushika mashati hapa.
Kuanza kufikiri hivi ni mwanzo wa kupata akili kwa waumini wengi ambao mmefungwa na ujinga wà kwenye dini..Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Uzuri ni kuwa ukiachana na seminary za kuandaa mapadre shule na hospitali za kikiristo zilihudumia na zinaendelea kuhudumia watu wa jamii yeyote bila kujali rangi wala dini ya mtuni sawa tu waachiwe kujenga na kujenga mashule na mahospitali na wakatoriki wakasome huko, na waislam nao kesho nao waanze sasa kujenga mashule na mahospitali yao na waislam wakapate huduma huko..
Kesho na keshokutwa, misikiti na makanisa yaanze kujenga hoteli zao, kuwa na mabasi yao, ndege zao nk huduma nyinginezo na watu wadini hizo wazifuate huduma huko...
Mkuu ,Mimi waakati St Augustine inajengwa nilikuwa Mwanza na kulikuwa na michango ya kufa Kwa waumini wote!Kwani wana CCM masikini wananufaika nini na viwanja vya mpira ambavyo kwa wakati mmoja watanzania wote walichangia kuvijenga na sasa umiliki uko CCM?
Shule nyingi zilizoongoza na zinazomilikiwa hasa na kanisa katoliki si zao la moja kwa moja la michango ya waumini Bali kanisa limejenga kwa vyanjo vyake lenyewe.
Ukiangalia historia ya nchi hii elimu ililetwa na kanisa na shule nyingi zilikuwa zakanisa zikifundisha wanachi wote bure.....Wakati wa azimio la Arusha shule hizi zilitaifishwa na serekali ikaanza kuziendesha
Kanisa lilianza tena jenga shule zingine na mojawapo ni hizo zinazoongoza sasa...so kanisa katoliki limesaidia sana watanzania maskini kielimu na afya sidhani kama wanastahili lawama yeyote kwa status ya shule zao sasa.
...kipato je?!Uzuri ni kuwa ukiachana na seminary za kuandaa mapadre shule na hospitali za kikiristo zilihudumia na zinaendelea kuhudumia watu wa jamii yeyote bila kujali rangi wala dini ya mtu
Mbona umepaniki shekh?ZWAZWA,haya kutokana na kejeli yako hii uislamu haupo tena Duniani.Umefurahi kufari?