Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Mtaendelea kupigwa enyi Waafrika mliofungwa fahamu!
Poleeeeeeeeeeee!
😁😁😁😁
Poleeeeeeeeeeee!
😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan unapigwa hela mpka unashangaa hii hospitali ya kanisa kweli [emoji3][emoji3]Ongezea na zahanati zao sasa
Halafu tuna lalamika tunatulia!😭Yaan unapigwa hela mpka unashangaa hii hospitali ya kanisa kweli [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uasi dhidi ya uovu Kwa hiyo una baraka za Mungu,itamsiadia hata parolo aende ParadisoParoko hebu ingia jukwaani uone watu wanavyopanga Uasi,na hii yote wameacha kutii Amri za kanisa na Viongozi wao,wasipoangalia hawatakwenda peponi
st. jude wanasoma watoto wa masikini haswa... kaangalie matokeo kitaifa na mkoa wa arusha... watoto hawalipi hata sent ni michango toka kwa wahisani ndio ina wasomeshaWakisomesha bure masikini elimu yao itashuka. Kanisa linafanya biashara na halipo tayari kupata hasara nendeni huko kayumba
St.jude wahisani wake wengi ni wazungu.st. jude wanasoma watoto wa masikini haswa... kaangalie matokeo kitaifa na mkoa wa arusha... watoto hawalipi hata sent ni michango toka kwa wahisani ndio ina wasomesha
feza ukipasua ktk kumi bora kitaifa yoyote ile unasomeshwa bureeeee...
Faida zipo nyingi tu, mfano pesa inayopatikana inajenga mashule zaidi, makanisa ya kisasa, mahosipitali zaidi na ziada inatumika na maaskofu kujikimu kimaisha...Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Kabisa mkuu, fikiria pale kijijini synagogue ambalo limejengwa kwa jasho na machozi ya watu masikini(waimini) linganisha na hali zao (nyumba za waamini zinazozunguka hilo kanisa) linganisha na maisha wanayoishi “wenye kanisa”😅😅Kweli kabisa! Hiyo sadaka tutunze tupeleke watoto shule zao.
Wao wajenge kwa vyanzo vingine!
Niliumia sana binti mmoja alikuwa analalamika anakatwa mshahara LAKI 2,Kuchangia ujenzi was kitega Uchumi wcha Kanisa Fulani jijini Dodoma!
Huu ni wizi!
Kuna moja iko Arusha pale mjini, nikiangalia jinsi waumini wanavyochanga na outcome yake kwao. Mmmm!Ongezea na zahanati zao sasa
Nafikiri matokeo ya hizo faida kwa muumini wa kawaida ni sifa kwamba dhehebu langu lina miradi kila aina, kama ulivyosema siga nyingine ni maaskofu mshahara na mavieite kuongezeka plus faida nyingine ni wale wenye uwezo wa lobbying (hasa waamini wafanyibiashara😃) kupata tenda fulani fulani ndaniFaida zipo nyingi tu, mfano pesa inayopatikana inajenga mashule zaidi, makanisa ya kisasa, mahosipitali zaidi na ziada inatumika na maaskofu kujikimu kimaisha...
Na sifa wala haziliwi,,, sisi wapangani tunashukuru mmetujengea mashule na hospitali nzuri[emoji3][emoji3]Nafikiri matokeo ya hizo faida kwa muumini wa kawaida ni sifa kwamba dhehebu langu lina miradi kila aina, kama ulivyosema siga nyingine ni maaskofu mshahara na mavieite kuongezeka plus faida nyingine ni wale wenye uwezo wa lobbying (hasa waamini wafanyibiashara[emoji2]) kupata tenda fulani fulani ndani
Kabisa ,kiongozi ,kama Yesu alipindua meza za wafanya biashara kanisani ...Sisi ndio wafuasi wake ...Lazima Tupindue meza!Hii mada tamu na fikirishi sn. Vijana wakileo wameamka sn ni suala la muda hizi Biashar zitabalansiwa kuwepo na unafuu.