The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Juzi Kati kuna katekista aliniuliza Kuhusu bahasha fulani wanatoaga za mwisho wa mwaka.Sa si ugome kuchanga? Umeshikiwa bunduki? Binafsi sichangi mchango wowote wa kanisa zaidi ya sadaka.
Nimevimbiwa nimetoka kula ugali na mbaazii
Nilitegemea waumini wao waliokidhi vigezo vya utumishi wa Kanisa ulioyukuka angalau kupewa upendeleo fulani na pia waumini wao wawe Wana bima ya nafuu kwenye huduma za jamii maana hizo taasisi zinaendeshwa.kibiashara na Kwa sadaka zao.Ingawa umejikita kwa KKKT lakini mimi nimeshakutana na hiyo adha pale nilipojaribu kumtafutia Mwanangu nafasi kwenye moja ya shule zinazisimamiwa na Kanisa Katoliki kupitia moja ya tawi lao la Masista.
Ada zipo juu sana na hata uombe vipi sidhani kama utapata bahati ya kusikilizwa.
Ninachojiuliza hizi shule si ndio zinapata 'ruzuku' kutoka Makanisa tunayoyatolea sadaka kila wakati wa Ibada?.
Hivi hizi shule zilizo chini ya Kanisa/ Masista/Mapadri n.k kwa nini zisiwe na uataratibu kama unaofanywa na Shule ya st Jude Arusha?.
Muumini maskini anachangia ujenzi wa shule ya kanisa, shule ikikamiliza Ada inakuwa kikwazo kwa mtoto wa maskini kusogelea shule hiyo.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Unachosemaa ni kwamba kanisa lianzishe Social Protection schemes!Huwaga najiuliza hili swali kama kkkt tuna mchango kabisa wa mfuko wa elimu unachangia kila jumapili kwenye bahasha yako ya ahadi na jengo
Wangeweka utaratibu wa kila msharika akiwa anajaza form ya shule kuwe na kipengele cha dhehebu unalotokea na no ya ahadi na kuwe na unafuu wa ada
Juzi Kati kuna katekista aliniuliza Kuhusu bahasha fulani wanatoaga za mwisho wa mwaka.
Kwanza nilishangaa nikasema Muulize mama fulani,kumbe mimi nilishakataa kitambo kuchangia kwa hiyo nikamwambia mwanamke akomae mwenyewe atafute pesa mimi sina.
Sitakagi ujinga mimi,mahospital yao yote gharama kubwa,mashule ndio hivyo na hakuna kitu wanatoa hata kuwashukuru waumini.
Inaumiza sana ...ninlazima tusimame kidete kupingaMuumini maskini anachangia ujenzi wa shule ya kanisa, shule ikikamiliza Ada inakuwa kikwazo kwa mtoto wa maskini kusogelea shule hiyo.
NakaziaTutafute tu hela, mambo mengine tutatoa lawama za bure.
Nchi ishakuwa ya kibepari hii, hakuna ujamaa tena
Michango yenu inatumika kujenga shule za gharama kwa ajili ya watoto wa ma don nyie mnaochanga muwapeleke watoto wenu Saint NyangemaLeo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Toa sadaka kwa wingi ili ujiwekee hazina mbinguni ambako wevi hawataiba, ya dunia yanapita.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Ndugu yangu Tafuta fedha vinginevyo umasikini sio mzuri!!...Shule za Misikiti nazo Ada zao zikoje?!!....Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Tupe na Islamic schools!!Kuna shule Fulani ya Kidini ipo Ruaha Mbuyuni, mtoto wako akiwa na uwezo darasani ...wanakuruhusu ulipe ada hata kwa awamu Sita[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kama mtoto ni zile kuunga Sheriaa msumeno...unalipa ada awamu mbili TU!
Hawa ni Wakristo...wanainajisi Injili !
Kwani umelazimishwa kutoa michango?!!Nani kasema ujamaa,tunataka sisi Waumini tujiulize hii michaango tunatoa ya mini?
Halafu CCM watoto wao ndiyo wanasoma kwenye hizo shule.Kanisa linawapenda kwa sababu huwa hawasumbui kulipa ada.Hii ndiyo Prof Chachage aliita Collective Imbelization....!
Ambayo Kanisa na CCM wanaitumia sana kuwachezesha Sindimba!
Umaskini sio sifaLeo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Hili si tatizo la kkt tu, ni madhehebu yote ya kikristu pamoja Sda pia, wakati wa ujenzi mnatangaziwa kuchangia, unajitutumua kuchangia. Lakini inapofikia mtoto wako kusoma kwenye hizo shule zao sarakasi ziaanza, kwanza interview na kama mtoto hajapata wastani walio weka hata kama una hela na mshiriki uiyeichangia shule mtoto hasomi.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!