Sisi Wakristo masikini tunanufaika vipi na shule za Kanisa?

Sisi Wakristo masikini tunanufaika vipi na shule za Kanisa?

Sa si ugome kuchanga? Umeshikiwa bunduki? Binafsi sichangi mchango wowote wa kanisa zaidi ya sadaka.
Nimevimbiwa nimetoka kula ugali na mbaazii
Juzi Kati kuna katekista aliniuliza Kuhusu bahasha fulani wanatoaga za mwisho wa mwaka.

Kwanza nilishangaa nikasema Muulize mama fulani,kumbe mimi nilishakataa kitambo kuchangia kwa hiyo nikamwambia mwanamke akomae mwenyewe atafute pesa mimi sina.

Sitakagi ujinga mimi,mahospital yao yote gharama kubwa,mashule ndio hivyo na hakuna kitu wanatoa hata kuwashukuru waumini.
 
Mi ni KKKT nilishaachaga kutoa sadaka ya mambo ya mfuko wa elimu sijui benk mara hospital maana vikiisha hata siwezi kuvimudu hata mwanangu sitaweza kumsomesha hapo. Hizo ni business na wanaofaidika ni hao waliojuu wanaondesha V8. Na siku ukinyoosha kidole kuuliza Haya mambo watakuparura kila kona maana unawaingilia maakuli yao. We makanisa yana kila ruzuku kutoka serikali ie hawana wakodi kama sekta binafsi but still wanafamya biz kabisa. Huku zikiwa zimejengwa BURE kabisa na waumini Masikini.... Ni WIZI.
Now Kanisa ni Business entity sio tena kueneza Injili na ndio maana mahubiri yao 90% ni pesa... 5% mafanikio 5% ndio injili ya Yeshua.
 
Ingawa umejikita kwa KKKT lakini mimi nimeshakutana na hiyo adha pale nilipojaribu kumtafutia Mwanangu nafasi kwenye moja ya shule zinazisimamiwa na Kanisa Katoliki kupitia moja ya tawi lao la Masista.

Ada zipo juu sana na hata uombe vipi sidhani kama utapata bahati ya kusikilizwa.

Ninachojiuliza hizi shule si ndio zinapata 'ruzuku' kutoka Makanisa tunayoyatolea sadaka kila wakati wa Ibada?.

Hivi hizi shule zilizo chini ya Kanisa/ Masista/Mapadri n.k kwa nini zisiwe na uataratibu kama unaofanywa na Shule ya st Jude Arusha?.
Nilitegemea waumini wao waliokidhi vigezo vya utumishi wa Kanisa ulioyukuka angalau kupewa upendeleo fulani na pia waumini wao wawe Wana bima ya nafuu kwenye huduma za jamii maana hizo taasisi zinaendeshwa.kibiashara na Kwa sadaka zao.

Pia lengo liwe huduma sio biashara.
 
Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!

Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!

Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!

Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!

Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!

Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?

Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.

Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!

Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!

Tutafakari!
Muumini maskini anachangia ujenzi wa shule ya kanisa, shule ikikamiliza Ada inakuwa kikwazo kwa mtoto wa maskini kusogelea shule hiyo.
 
Huwaga najiuliza hili swali kama kkkt tuna mchango kabisa wa mfuko wa elimu unachangia kila jumapili kwenye bahasha yako ya ahadi na jengo

Wangeweka utaratibu wa kila msharika akiwa anajaza form ya shule kuwe na kipengele cha dhehebu unalotokea na no ya ahadi na kuwe na unafuu wa ada
Unachosemaa ni kwamba kanisa lianzishe Social Protection schemes!
 
Juzi Kati kuna katekista aliniuliza Kuhusu bahasha fulani wanatoaga za mwisho wa mwaka.

Kwanza nilishangaa nikasema Muulize mama fulani,kumbe mimi nilishakataa kitambo kuchangia kwa hiyo nikamwambia mwanamke akomae mwenyewe atafute pesa mimi sina.

Sitakagi ujinga mimi,mahospital yao yote gharama kubwa,mashule ndio hivyo na hakuna kitu wanatoa hata kuwashukuru waumini.
Muumini maskini anachangia ujenzi wa shule ya kanisa, shule ikikamiliza Ada inakuwa kikwazo kwa mtoto wa maskini kusogelea shule hiyo.
Inaumiza sana ...ninlazima tusimame kidete kupinga
 
Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!

Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!

Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!

Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!

Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!

Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?

Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.

Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!

Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!

Tutafakari!
Michango yenu inatumika kujenga shule za gharama kwa ajili ya watoto wa ma don nyie mnaochanga muwapeleke watoto wenu Saint Nyangema
 
Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!

Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!

Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!

Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!

Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!

Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?

Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.

Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!

Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!

Tutafakari!
Toa sadaka kwa wingi ili ujiwekee hazina mbinguni ambako wevi hawataiba, ya dunia yanapita.
Bwana asifiwe!
 
Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!

Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!

Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!

Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!

Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!

Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?

Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.

Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!

Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!

Tutafakari!
Ndugu yangu Tafuta fedha vinginevyo umasikini sio mzuri!!...Shule za Misikiti nazo Ada zao zikoje?!!....
 
Kuna shule Fulani ya Kidini ipo Ruaha Mbuyuni, mtoto wako akiwa na uwezo darasani ...wanakuruhusu ulipe ada hata kwa awamu Sita[emoji23][emoji23][emoji23]

Ila kama mtoto ni zile kuunga Sheriaa msumeno...unalipa ada awamu mbili TU!
Hawa ni Wakristo...wanainajisi Injili !
Tupe na Islamic schools!!
 
Unakuta mmachangishwa mjenge kanisa,mnachanga weee miaka 10 kanisa linaisha..mnahamia.Mnaanza tena kuchangishwa eti ujenzi wa Kitega uchumi cha kanisa na vitisho kibao vya maandiko...bila hiyana mnachanga mnajenga hicho kitega uchumi,kikimalizika mapato yote wanakula wao.

Dadaadeki sitoi zaidi ya buku 3 kwa wiki kanisani hizo zinawatosha.
 
Hii ndiyo Prof Chachage aliita Collective Imbelization....!
Ambayo Kanisa na CCM wanaitumia sana kuwachezesha Sindimba!
Halafu CCM watoto wao ndiyo wanasoma kwenye hizo shule.Kanisa linawapenda kwa sababu huwa hawasumbui kulipa ada.
 
Kanisa ndo limekusababishia umaskini wako?

Hao wanaopeleka watoto hizo shule wanawezaje?

Pambana na hali yako it's everyman for himself dunia ya leo usipende vya bure.
 
Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!

Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!

Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!

Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!

Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!

Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?

Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.

Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!

Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!

Tutafakari!
Umaskini sio sifa
 
Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!

Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!

Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!

Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!

Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!

Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?

Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.

Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!

Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!

Tutafakari!
Hili si tatizo la kkt tu, ni madhehebu yote ya kikristu pamoja Sda pia, wakati wa ujenzi mnatangaziwa kuchangia, unajitutumua kuchangia. Lakini inapofikia mtoto wako kusoma kwenye hizo shule zao sarakasi ziaanza, kwanza interview na kama mtoto hajapata wastani walio weka hata kama una hela na mshiriki uiyeichangia shule mtoto hasomi.
Pengine mtoto amefikisha wastani na unaamua kukijitutumua na viela vyako vya mawazo unamlipia ili asome siku ukikwama tu kidogo anarudishwa kama kawaida.
Hitimisho mimi nilishaamua sichangii shule wa chuo nitaenda kulipia huduma wakishajenga Shule zao
 
Back
Top Bottom