Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Na GGM hii kesi wataisimamia ipasavyo. Wanaamini kwa haki za binadamu na ndiyo maana kwenye tangazo la kifo walitumia pronoun "He" na siyo "She".
 
Haya mambo ya kusema mahakamanhaina uwezo wa kusikiliza wakati wameshasikikiza tayari yanakera, pandisheni vyeo hizo mahakama ziwe na uwezo
Sheria zetu zinahitaji maboresho ili haki itendeke hasa Sheria ya Uendeshaji Wa Makosa Ya Jinai, mtu apandishwe mahakamani endapo tu upelelezi umekamilika haijalishi ni muda gani utachukua itapunguza mianya ya uonevu.
 
Waje na humu jf kuna walioshangilia kweli ukute ni ndugu wa hiyo familia hapo juu wakidhani mkono wa serikali ni mfupi,

Natamani Lemutuz angekua hai aone hao wauaji aliokua anawashangilia kwa kumuua msagaji wanavyopigwa mvua ya maisha,

Na hii iwe fundisho kwa wajinga wote hakuna aliye juu ya sheria, ukikoswa na sheria ya Dunia basi Mungu mwenyewe atakuadhibu kwa kujipa majukumu yasiyokua yako (ref, kwa Lemutuz hakuchukua hata mwezi)

Hongera jeshi letu la polisi, hongera serikali ya Mama Samia, naona hata humu nyuzi za Ushoga zimeisha kabisa watu wameufyata kama Mbwa kaona Chatu [emoji23][emoji23][emoji23]
Haku uawa kwa sababu ya usagaji wake kwasababu hata huyo shetani aliye kuwa afanya naye huo upumbavu naye amekamatwa na kuunganishwa kwenye miongoni mwa wahusika wa mauaji kwa hiyo hapo ishu wenda ni kuhusu mali.

Unacho takiwa kujua ni kuwa kufanya usagaji au ushoga ni laana unatakiwa kuacha na utubu kwa muumba wako, mwenyezi mungu hakuwa mjinga kuumba mwanamke na mwanaume.

Narudia tena Mungu hakuwa mjinga kuumba mwanamke na mwanaume.

Narudia tena Mungu hakuwa mjinga kuumba mwanamke na mwanaume.
 
Back
Top Bottom