Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli na mi mmeona hapoTunaomba story behind.
Kuna familia hapa naiona kuna shida sehemu ukute alimrubuni binti ya mzee hapo.
Ndiyo visasi kesi tamu sana 3 yrs to come sio leo hiiii
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hahahah nimeipenda hii "Unafiki mamboleo" ama tuuite "Neo-snitchism"
Jike dumeAlieua alikuwa mwanamme?
Alikuwa na vyote mdudu na kipochi manyoya. I mean shemale?Jike dume
Sheria zetu zinahitaji maboresho ili haki itendeke hasa Sheria ya Uendeshaji Wa Makosa Ya Jinai, mtu apandishwe mahakamani endapo tu upelelezi umekamilika haijalishi ni muda gani utachukua itapunguza mianya ya uonevu.Haya mambo ya kusema mahakamanhaina uwezo wa kusikiliza wakati wameshasikikiza tayari yanakera, pandisheni vyeo hizo mahakama ziwe na uwezo
aNa GGM hii kesi wataisimamia ipasavyo. Wanaamini kwa haki za binadamu na ndiyo wmaana kwenye tangazo la kifo walitumia pronoun "He" na siyo "She".
Na itakua wengi tu wamejiua sema hatujajua,Sijui watu akili zao zikoje, unafanya mauaji halafu unataka uendelee kuishi kawaida. Mwishowe hofu na aibu ya kukamatwa ikampelekea kujiua.
Ila dogo unanichekeshaga sana. Halafu nahis his wewe ni mkaldayo. Hivi iyo ni sura yako kwenye avatarOya Maghayoo..
Haku uawa kwa sababu ya usagaji wake kwasababu hata huyo shetani aliye kuwa afanya naye huo upumbavu naye amekamatwa na kuunganishwa kwenye miongoni mwa wahusika wa mauaji kwa hiyo hapo ishu wenda ni kuhusu mali.Waje na humu jf kuna walioshangilia kweli ukute ni ndugu wa hiyo familia hapo juu wakidhani mkono wa serikali ni mfupi,
Natamani Lemutuz angekua hai aone hao wauaji aliokua anawashangilia kwa kumuua msagaji wanavyopigwa mvua ya maisha,
Na hii iwe fundisho kwa wajinga wote hakuna aliye juu ya sheria, ukikoswa na sheria ya Dunia basi Mungu mwenyewe atakuadhibu kwa kujipa majukumu yasiyokua yako (ref, kwa Lemutuz hakuchukua hata mwezi)
Hongera jeshi letu la polisi, hongera serikali ya Mama Samia, naona hata humu nyuzi za Ushoga zimeisha kabisa watu wameufyata kama Mbwa kaona Chatu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia wewee njereea
Yaani nchi hii hii ya Nyerere she anaitwa he??
Walibadili wakatumia 'yeye wakike'Na GGM hii kesi wataisimamia ipasavyo. Wanaamini kwa haki za binadamu na ndiyo maana kwenye tangazo la kifo walitumia pronoun "He" na siyo "She".
Hivi Ile kesi iliishia wapi? Hata sikufuatilia wahusika wa mauaji. Zaidi nilisikia kwenye kundi la wauaji kulikuwa na Mzee wa kanisa Moja la Lutherani. Nilistaajabu Sana.Hii kesi itafichua mambo mengi Kama ilovyokuwa kesi ya yule mzungu mwanaharakati wa meno ya tembo aliyeuawa.
Bada ya watu kuwashambulia mitandaoni wakaona aibu. Ila Moyoni Wana support Uhuru na demokrasia ya mtu hata iwe huu upuuzi wa kina Milembe.Walibadili wakatumia 'yeye wakike'
Bado yule dogo wa bank aliyechomwa moto kibaha naona watu hawajadakwa hawa wazembe wamedakwa fasta
Motive ya kufanya mauaji? Au ndio hadi tusubiri kesi itaposikilizwa kwenye mahakama ya juu...