NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Bado atalipa Ada mwamba!hela ya kula hamna kabisa hapo!I know ila mpk anafika 3rd year, alikua anaishije? Kingine avumilie mpunga unatema j3...
Daah umenikumusha miaka hiyo UDSM mlo mmoja na lectures za engineering daah hatari sana sahivi nakula ninachojisikia. Mungu akusimamie usikate tamaaMaisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).
Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.
Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.
Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.
Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Kivipi? Funguka mkuu!Usishindane na girl.
Ulisoma UDSM engineer mwaka gani mwamba tujuane!Daah umenikumusha miaka hiyo UDSM mlo mmoja na lectures za engineering daah hatari sana sahivi nakula ninachojisikia. Mungu akusimamie usikate tamaa
Ukitoa wanaodanga...Wadada wanajibana wanapika magetoni..wakaka wavivu kupikaHivi hii hali ngumu ya maisha ya chuo mbona wengi lialia ni jinsia ya kiume? Jinsia ya kike wote wanapata boom 💯 au? Wao wanawezaje au mkipata hela wanawakamua mpaka zikiisha wanawabwaga?
Kama bwana mdogo anasema Ni ya kweliMaisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).
Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.
Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.
Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.
Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Mpaka amefika mwaka wa 3, hakutakiwa kuwa kwenye situation hii, kuna mambo tu yamemwendea kombo. Ajipange boom likitema.Bado atalipa Ada mwamba!hela ya kula hamna kabisa hapo!
Cafeteria yenyewe msosi buku kama ngumi!
Mwamba anatakiwa ale ugali mkubwa was kisukuma kabisa ili gut ikae sawa!
Anateseka Sana jamaa!
Akitia huruma mood wanapita uzi yahn shwaaaKwa vile umesema hutaki kuonewa huruma BASI TEGA TAKO SINDANO YA UGUMU WA MAISHA IKUINGIE
Hauna boom?Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).
Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.
Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.
Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.
Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Angalia tu usije ukakosa cheti pia honestly naijua dhiki naijua njaa Ina ladha gani...........Mkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu
Qmmk😁😁😁Shukuru Mungu angalau wewe unakula mlo mmoja kwa siku. Wengine wana kula mlo mmoja kila baada ya siku tatu.
Ulipangiwa utaishi hivyo unavyoishi Pindi tu tangu ulipozaliwa.
Third year huwa pagumu sana!Mpaka amefika mwaka wa 3, hakutakiwa kuwa kwenye situation hii, kuna mambo tu yamemwendea kombo. Ajipange boom likitema.
We unaonekana ni wife material...agiza soda nakuja kulipaUkitoa wanaodanga...Wadada wanajibana wanapika magetoni..wakaka wavivu kupika