Muungwana hukiri makosa take,ninacho hofia ni mpango wake wa kutaka kuongezewa muda awamu ijayo. He has to go akimaliza miaka mitano ijayo .Alipowabinya wapinzani tuliona raha tukizani sisi WanaCCM tutakula kuku kwa mrija, lkn kumbe muda wetu wa kulia ulikuwa bado haujafika. Hakika Sasa tunajuta.
Watu wameona live kwenye Tv huyu mtoa mada analeta uongo na upuuzi wa kijinga.We kiazi soma mchakato wa kura ulivyoendeshwa na mwenyekiti wenu, wacha kukurupuka.
Unahisi?Bila shaka wewe ni mnufaika wa ubabaishaji unaoendelea ndani ya chama
Na wajumbe wakashangiliaAmechukua form peke yake. Wengine wakafungiwa milango.
Wakati wa kumpitisha, katibu mkuu bila aibu anasema katiba inataka wagombea watatu, ila aliyechukua form ni mmoja tu. What a joke!
Ukweli mchunguSiku alipo punguza wajumbe ndio mwanzo wa huu udikteta..
Nilijua una problem kwa kichwa toka mwanzo ndo mana nika ku-quote, mwenzio keshaamka akili, wewe sijui utaamka lini!.Watu wameona live kwenye Tv huyu mtoa mada analeta uongo na upuuzi wa kijinga.
Mwaka huu ni kichekesho. Mtaongea kila uongo. Sasa hao wagombea wenu ambao hata udiwani hawawezi kupata unadhani wana Ccm wasingepiga kura zote kwa JPM kwa mambo anayofanya?
Hapo patanuka, baada yake ni zamu ya waislam kwa utamaduni tuliyojiwekea.Lengo hasa la kupitisha wabunge awatakao, ni ili kupata wabunge wa kumuongezea muda wa kukaa madarakani zaidi ya 10yrs limit.
Siku alipo punguza wajumbe ndio mwanzo wa huu udikteta..
Mchakato umefanyika kwa uwazi kabisa. WanaCcm wanaimani na JPM ndio maana amepata kura zote. Na huu upotoshaji wa kijinga ndio unawanyima credit.Nilijua una problem kwa kichwa toka mwanzo ndo mana nika ku-quote, mwenzio keshaamka akili, wewe sijui utaamka lini!.
Unazungumzia kwenye TV wakati mwenzio alikuwa eneo la tukio kama mshiriki!.
Hapo patanuka, baada yake ni zamu ya waislam kwa utamaduni tuliyojiwekea.
Mchakato umefanyika kwa uwazi kabisa. WanaCcm wanaimani na JPM ndio maana amepata kura zote. Na huu upotoshaji wa kijinga ndio unawanyima credit.
Swali hill. Ni sawa like swali kwa nini chadem walimruhusu Lowassa kugombania kitu cha Urais kupitia chadema. Au ACT kutaka Membe achukue form hili kugombania ACT Urais.....wewe lazima utakuwa ndiye yule mjumbe wa NEC kutoka Songwe aliyemuuliza mwenyekiti wake swali gumu jana wewe.... si bure!!
Utanyooka tu.Mchakato umefanyika kwa uwazi kabisa. WanaCcm wanaimani na JPM ndio maana amepata kura zote. Na huu upotoshaji wa kijinga ndio unawanyima credit.
Kondoo? Au kondoo ni watu kama wewe ambao kazi yenu ni kupinga tu hata jambo ambalo mnanufaika nalo. Wanachama wa Ccm wameona kazi aliyoifanya ndio maana wamempa kura kwa 100%. Subiri JNHPP ikamilike ule matunda ya Ccm.Ukiona kiongozi anapigiwa kura na kupata 100%, fuatilia vizuri mfumo wa uchaguzi, utakuta mengi nyuma ya pazia. Na kama kweli kapata 100%, basi jua anaoongoza makondoo.
Kwani nimepinda?Utanyooka tu.
Poleni sanaTuliwaonya huyu ni dikteta, mkafikiri udikteta utaishia kubagua wapinzani.
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachi.
Magufuli kasema bila aibu kwamba atamkata mtia nia yeyote, si kwa katiba, si kwa miongozo, si kwa taratibu, si kwa utamaduni,bali kwa jinsi takavyojisikia alivyoamka siku hiyo.
Yani kasema wazi yeye ni dikteta.
Kuna vikao ya kumfukuza Membe, anasema hajapeleka mjadala kwenye kikao aliogopa mjadala wa kikao, kamaliza habari mwenyewe katangaza tu. Haoni hata aibu.
Huyu dikteta ataiharibu sana hii nchi.
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.