Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Alipowabinya wapinzani tuliona raha tukizani sisi WanaCCM tutakula kuku kwa mrija, lkn kumbe muda wetu wa kulia ulikuwa bado haujafika. Hakika Sasa tunajuta.
Muungwana hukiri makosa take,ninacho hofia ni mpango wake wa kutaka kuongezewa muda awamu ijayo. He has to go akimaliza miaka mitano ijayo .
 
Mwaka huu ni kichekesho. Mtaongea kila uongo. Sasa hao wagombea wenu ambao hata udiwani hawawezi kupata unadhani wana Ccm wasingepiga kura zote kwa JPM kwa mambo anayofanya?

Ukiona kiongozi anapigiwa kura na kupata 100%, fuatilia vizuri mfumo wa uchaguzi, utakuta mengi nyuma ya pazia. Na kama kweli kapata 100%, basi jua anaoongoza makondoo.
 
Nilijua una problem kwa kichwa toka mwanzo ndo mana nika ku-quote, mwenzio keshaamka akili, wewe sijui utaamka lini!.

Unazungumzia kwenye TV wakati mwenzio alikuwa eneo la tukio kama mshiriki!.
Mchakato umefanyika kwa uwazi kabisa. WanaCcm wanaimani na JPM ndio maana amepata kura zote. Na huu upotoshaji wa kijinga ndio unawanyima credit.
 
wewe lazima utakuwa ndiye yule mjumbe wa NEC kutoka Songwe aliyemuuliza mwenyekiti wake swali gumu jana wewe.... si bure!!
Swali hill. Ni sawa like swali kwa nini chadem walimruhusu Lowassa kugombania kitu cha Urais kupitia chadema. Au ACT kutaka Membe achukue form hili kugombania ACT Urais.....
 
Ukiona kiongozi anapigiwa kura na kupata 100%, fuatilia vizuri mfumo wa uchaguzi, utakuta mengi nyuma ya pazia. Na kama kweli kapata 100%, basi jua anaoongoza makondoo.
Kondoo? Au kondoo ni watu kama wewe ambao kazi yenu ni kupinga tu hata jambo ambalo mnanufaika nalo. Wanachama wa Ccm wameona kazi aliyoifanya ndio maana wamempa kura kwa 100%. Subiri JNHPP ikamilike ule matunda ya Ccm.
 
Poleni sana
 

Inawezekana wewe ni B Membe, kuanzi kesho tangaza chama unachohamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…