Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe


 
Huwezi kujua mtu amepitia yapi mpaka akafikia hatua ya kuokoa,elewa kuwa sikuwahi kuokoa,Kwaiyo nlishazini before.Saiv ndio nmeamua kuishi maisha mapya,Mungu akusaidie uwe mwepesi wa kuelewa kabla ya kucoment kitu kwa mtu.
 
Vitu gani ambavyo huwezi kuvivumilia kwenye maumbile?
Umevijuaje?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mimi sio mbaguzi ila let say mke wangu amefanyiwa FGM na mimi siwezi kuishi na mwanamke aliyefanyiwa FGM,lakini mimi sikugundua hilo maana hatukuwahi kuvuliana nguo..huoni hili litapunguza upendo na ndoa itakuwa hatarini kwani tayari mimi mume nitakuwa sifurahii tendo?.


N.b
Walaaniwe wale wote wanaowafanyia FGM watoto wa kike bila concern yao.
 
Mpenzi (mtaje kwa jina lake),

Kuna jambo linanitatiza sana. Na kwa hili naomba nikueleze yanayonisibu.

Kwanza, tambua ya kuwa nakupenda na hakika nakupenda mno. Hilo halina shaka yeyote na wewe walifahamu vema. Naamini ya kuwa hata wewe unanipenda.

Pili, naamini ya kuwa misuko suko ya hapa na pale hayatahitimisha mapenzi yetu kama kweli yanatoka miyoyoni mwetu. Tumeshajenga msingi, kinachofuata ni ukuta imara wa kutukinga.

Tatu, najua fika ya kuwa mapenzi (kulalana) ni nguzo moja imara katika kuimarisha mahusiano. Na tumeshafanya hivyo mara kadhaa. Unanijua nje ndani.

Lakini, hivi karibuni nimeanza kupitia misukosuko fulani (itaje). Na nimeoteshwa pia ndoto juu ya misukosuko hii (mhadithie ilivyokuwa). Na katika kutafuta suluhisho la changamoto hii, nimeelezwa kuwa usinzi ndiyo mlango unapotokea. Na nikijaribu kufikiri naona kama kweli kwa kuwa kabla ya hapo haikuwa hivi.

Kwa hiyo, ikikupendeza naomba tuendelee kuwa wapenzi bila ya kushiriki tendo la ndoa mpaka pale ambapo tutafunga ndoa. Narudia nia yangu siyo kukunyima tendo kwa sababu ni kwa manufaa yetu sote. Na ingekuwa hivyo nisingekubali tangu hapo mwanzo.

.......

Kaa tulia mpe akujibu. Mtapata muafaka na utaendelea na maisha.
 
Reactions: Cyb
Asante kwa ushauri Mparee2,nmekuelewa sana sana.
 
Yaani kidume nisipime quality ya papuchi niuziwe mbuzi kwenye gunia?..Hivi vitu kwa dunia ya sasa ni rarely possible.
Me too....i chase to bash but quality ones i struggle to keep. Sasa ilitokea wife materials kashanielewa kila kitu na guest/geto anakuingia ila ataki tutumie mpaka eti niende kwao... whaaat im not that nut. 3 incidents wananielewa ila no testing dah kidume siezi kubali mbuzi kwenye gunia lazma nitest kwanza is it alive? Is it healthy?
 
kwa mfano wewe mwanamke ulishatembea na mwanamme wako tuseme miaka hata 5 halafu mkaachana, umeanza mahusiano mengine yana mwaka mmoja. Halafu unafosi huyu jamaa mpya akuoe do you think that's fair
Ni sawa tu.
Mwanamke kufanya dhambi wakati uliopita,haimpi uhalali wa kuendelea kuitenda eti kwa sababu tu nyuma alishatenda.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Wajuaji tupo ili kuwaondolea ujinga mnaoukumbatia hapa! Hivi unaelewa kwamba huyo Nabii wenu anatembea na waumini wenzio humo humo kanisani licha ya vitisho vyake kwenu?

Swala jingine ni kuwa ukipenda ua penda na boga lake! Ukitaka mchumba ukubali na kugongwa kama hutaki kugongwa tafuta kaka wa kiroho muendele kusindikizana kwenye misa za week nzima!
 
Kumbe ni FGM tu inayokupa wasiwasi,hakuna lingine?
Hayo mambo unatakiwa uulize kabla hamjafunga ndoa.
NB:Uulize,siyo ujaribu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hii ishu iko kiroho zaidi wengi hawawezi kukuelewa, mwambie kwa uwazi tafuta sababu yoyote yenye mantiki atakayoelewa then achana nae, ama punguza mawasiliano nae,

Wengine tukizini tunapitia mateso sana kwenye maisha unafulia mpk unakoma nafsi inatukutika tu muda wote, kwahiyo nakuelewa Sana tu unachopitia
 
Reactions: ABJ
Ndo akae single mpaka pale atakapopata wake ambae atakubali kuvumilia mpaka watakapofungua ndoa, au adate na mtu wa kanisani kwake ili iwe rahisi maana ni imani moja wataelewana
Nasali Kkkt dia...sisali yale makanisa ya watu private ila tu kutokana na changamoto zangu,ilikuwa rahisi kuwa karibu na viongozi wa dini pale kanisani.
 
Nashukuru sana,Kweli Mungu ni zaidi ya mtu na kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…