Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Kn hatua zozote anachukuliwa mtu akigomea uteuzi wa rais?
Sidhani kwani huo ni uhuru wa mtu, ila si vyema kukataa kutumiakia Taifa, lakini inategemea na vitendo vya chama kilichopo madarakani. Waweza kupata adhabu kiaina kutokana na chama kilichopo madarakani na serikali yake, hili laweza kutokea hasa kwenye nchi za uongozi wa kiimla, mchanganyiko wa kiimla na kidemokrasia, zinazoendelea, na kusini mwa jangwa la sahara!
 
haita tafsiriwa kuwa umedharau mamlaka ya rais na uteuzi? Ukaadhibiwa kwa hilo?
 
Hii ndio Serikali ya CCM ukipiga kelele sana wanajua ni njaa wanakupa kazi
Unanyamaza. Sasa ona kama atafungua Tena chuo Cha uongozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haki ya kukataa anayo naatabaki kuwa mbunge kwa sababu vigezo vya mtu kutolewa ubunge vipo kikatiba sio matakwa ya mtu binafsi.
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…